bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
huko si naskia kulikua hamna kudoji sasa we ulikua unkwepa vipi tizi asbh??Nilikuwa nachukia sana mchakamchaka wa asubuhi. Nilikuwa nakimbia mara chache sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huko si naskia kulikua hamna kudoji sasa we ulikua unkwepa vipi tizi asbh??Nilikuwa nachukia sana mchakamchaka wa asubuhi. Nilikuwa nakimbia mara chache sana.
Nilikuwa nachukia sana mchakamchaka wa asubuhi. Nilikuwa nakimbia mara chache sana.
heeee binti maringo usiniambie na weee ulibahatika kuwa geshini!!!!!!!!!!! si tunaambulia stori tu kama hivi maskini tulikosa mengi pamoja na ya kusimamisha minazi hahaaaaaaaaaa!!! (we veri naughty_)
Bht!...it was good experience kwa kweli!...aaah eeh ile giza giza likifika watu walikwua busy kusimamisha minazi nakwambia...mademu wanakwenda angani wanajiremba kwenda kusimamisha minazi yao....miye na group yangu tulikuwa don't care tulikuwa tunapanga mikakati ya kutoroka tuu!.....yaani Bht omba jeshi lirudi ujiunge ni kazi sana ila ukishatoka unaona raha yake...too bad hata experience ya kupiga range sikuipata...if i would i could!!
dah mi nahisi ningefia huko bana!!!!
hapo kwenye bold hapo inaonekana we wa kiivo sana (sungura) hahaaaaa!!! nice!!
wee mbona jamaa mwingine hapo juu kanitisha eti atashangaa kusikia mtu anajiunga on his/her own accord?? nikapata picha huko kulikua balaaaa!!!
duh quite an experience huh!!!!!!!!!
Nilikuwa Ruvu JKT miaka ya 1975 wengi wenu hamjaona mionzi ya jua kabisa, tulikuwa tunapangwa kwenye kazi mbalimbali. Kwenye mabanda ya kuku tukajifunza kula mayai mabichi kama kenge kila ukicheua ni mayai tu. Ikatokea rafiki yangu mmoja akaona aibe mayai kiasi akayaweka kwenye jungle hat akaivaa akawa anatembea kwa uangalifu sana. alipofika eneo fulani akakutana na afande akaambiwa mbona kofia yako haijakaa vizuri? Kabla hajajijbu afande akaivuta ili ikae vyema kichwani. Mayai yalivunjika na yakaanza kuchuruzika usoni na mwili mzima. Ilikuwa adhabu tosha hata afande hakumfanya kitu tena. Mambo ya JKT hayo....
Mie nilikuwa Mafinga JKT 1991/92,Kombania DANGER - Operesheni Miaka 30 ya Uhuru. Mliokuwa Mafinga mnawakumbuka CO Mlay, Saa Meja Ndosa, Staff Sajenti Sagaya? Waliokuwa Kombania A, mnamkumbuka OC Singano? Mafinga ilikuwa na Winta la ajabu. Unaamshwa saa 10 usiku kufagia, huoni takataka kutokana na giza nene, lakini unafagia hivyo hiyo. Kukicha ni kusafiiiiiiiiiiii ajabu.