Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
[emoji53] [emoji53] [emoji53] Mbona wamefanana sura, sishangai tabia.
Sifa zote unazozisikia hapojuu zinamhusu huyu jamaa. Honey baggers sio wanyama wapenda mademu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji53] [emoji53] [emoji53] Mbona wamefanana sura, sishangai tabia.
Nimeshamuona mkuu kiboro dindaa
Aliachiwa kiatu,,,sijui alijua papuchi,,,Kamnyama kabishi sana haka. Kalimsumbua sana mzungu kwenye movie ya The Gods must be crazy
Hahahaaa! Atapanda Bus mkuuUnachukua asali aliyojambia huko Singida alafu unasafiri nayo kuja Dar. Tuone kama atafika.
...nyegere kangia mjini...ashika kuku majumbani X2Miaka ya sitini kulikiwa na wimbo maarufu ukiimbwa kwenye harusi zetu za kiswahili
. "Nyegere kaingia mjini....*2
. mapanga....shikeni mapanga.."
Sasa naelewa waliimanisha nini
Nimecheka sana hahaha. Mwanadamu ni mwanadamu na mnyama ni mnyama tuUnachukua asali aliyojambia huko Singida alafu unasafiri nayo kuja Dar. Tuone kama atafika.
Hahahahahah... Akipanda basi na raia wasimuone.. huyo mnyama atakuwa wa mazingara. Dah! !Hahahaaa! Atapanda Bus mkuu
Jina lingine la '''''kithungu''''' anaitwa Baja