Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaishi majini.Hata uswahilini wale wanaume vito... wanaitwa fisi maji.anapenda kula mzigo balaaHahahaha hivi huyu fisi maji anakaa majini ??
Dah anakula mzigo full time ? Sasa huyu si atakua amemaliza km za dunia nzima anahamia mars ,kwa mwanaume si wanasema bao moja ni 7 km
Fuata hiyo link kuju ukweli wa mnyama huyo bila chumvi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji85] [emoji85]Duniani hakuna mnyama ana wivu kama fisi maji! Na hakuna mnyama anakula mzigo full time kama fisi maji!Fisi maji ni sex addict! Yeye hata jani likimgusa sehemu za siri analirudia analipiga bao!
Teh Teh asante kwa strong tea.... Mkuu hakika baridiii ya Dar jioni hii imemalizwa kwa chai yako ya kijiweni...Duniani hakuna mnyama ana wivu kama fisi maji! Na hakuna mnyama anakula mzigo full time kama fisi maji!Fisi maji ni sex addict! Yeye hata jani likimgusa sehemu za siri analirudia analipiga bao!
Powder huyo ni mzee aliyejeruhiwa na Nyegere huko Singida...aliiba asali ya mke wa Nyegere,kajamaa kakanusa harufu mpaka home,kakampa kichapo cha maana mpaka wanakijiji walipoingilia kati ndio kakamuachia kakarudi porini kwa madoido kuwa kameshagawa doziMkuu katika hizo picha! Hiyo picha ya Kati Ina uhusiano wowote Na Nyegele???
Mkuu Last emperor zoba wa nini tena?kuna mahali nimekukwaza mimi kama mtoa mada chokonozi?Nimesoma ecology we zoba!Kwanza hujui hata ecology ni nini!
Nimesoma ecology wewe,hujui hata ecology ni nini..Teh Teh asante kwa strong tea.... Mkuu hakika baridiii ya Dar jioni hii imemalizwa kwa chai yako ya kijiweni...
Sijui Ecology mkuu.Nimesoma ecology wewe,hujui hata ecology ni nini..
Sijui Ecology mkuu.
U don't need to attend Ecology classes to know the ABCs of nature & it's environment.
I was born along the Serengeti national park. Raised from a typical hunting tribe, I know lots about animals.....
Safi sana mweto, noche ambhato bhano bhateche amaghana gha mwi pori. Hawajui sisi hizi kolokolo tumekutana nazo tangia utotoni.Ekyonde.!
Unachukua asali aliyojambia huko Singida alafu unasafiri nayo kuja Dar. Tuone kama atafika.
Kila kiumbe kina raha zake, .........ushuzi wa nyegere ni dili sana!
Kalidaka soli ya kiatu cha mzungu na hakakuachia
Teh Teh asante kwa strong tea.... Mkuu hakika baridiii ya Dar jioni hii imemalizwa kwa chai yako ya kijiweni...