Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndio chenyewe haka kwenye ile muvi kalitoa upepo ndege ya wale wazunguDuh! Ha ha ha!
Asante kwa maarifa haya ... Ngoja ni mgoogle nimjue zaidi.
Duh! Nyegere bhana.
Hivi haka ndo kale kajamaa kabishi kwenye mkanda wa BUSH MEN?!!
Huwezi mpata fisi maji serengeti mdogo wangu..Sijui Ecology mkuu.
U don't need to attend Ecology classes to know the ABCs of nature & it's environment.
I was born along the Serengeti national park. Raised from a typical hunting tribe, I know lots about animals.....
Afadhali Ngonidema umeleta ushuhuda hapa...Kuna watu walikuwa wanasema hizi ni chai kama chai za kwenye "Vimbweta" vy ule "mdegree"Msiombe kukutana na Nyegele hafai hafai hata kidogo, Kuna Jamaa uliumizwa na huyo mdudu, alipona baada ya kukutana sisi akauwawa,nakumbuka alikufa kwa fimbo ya mti mbaazi, coz alipigwa sana lakni kufa ikawa ngumu, kuna mzee akaja akasema itafutwe fimbo ya mti wa mbaaz iliyokauka ndo apigiwe, na baada ya kumtindika na iyo fimbo akafa kilain sana
Mbona avatar ni nyingi sana,kwanini wote tutumie moja? na kuna jamaa mwingine nae anaitwa makaveli anatumia avatar yangu.Helloo...can somebody help me pleeeease!Mm hakaniwezi kadude kenyewe hako
#barafu# nyegele ni Noma zaid ya noma, yan nakumbuka tulikuwa wanaume kumi na kitu, baada ya kufka pale kwa hasira ya kufukuzana na jamaa, akavimba kwa hasira na kila tukimtisha kwa mawe ndo anapndisha hasira akataka kupambana sisi wote pale, yan ni kadogo lakn ni kababe sanaAfadhali Ngonidema umeleta ushuhuda hapa...Kuna watu walikuwa wanasema hizi ni chai kama chai za kwenye "Vimbweta" vy ule "mdegree"
Matusi ya nn bro! This is home of the great thinkers,je matuc ndio kipimo chako?grow up bro,sitakutukana ila usidhani siwezi kutukana.wewe utakuwa ni mngese sio bure,yaani niache avatar yangu kwaajili yako!
uchi za kike mbona zote tamu kwa viumbe wa kiume wa hiyo species,Nyegere Wa Kike Atakuwa Na Uchi Mtamu Sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kweli kana nyege saana sanaa kama jina lake,na kakikosa jike kanajipiga punyeto
Sasa ole wako kaone umekaona kanavyopiga punyeto....kazi itaamka
Ni kweli kana nyege saana sanaa kama jina lake,na kakikosa jike kanajipiga punyeto
Sasa ole wako kaone umekaona kanavyopiga punyeto....kazi itaamka
View attachment 342896 View attachment 342897 View attachment 342899
Nyegere ni moja kati ya wanyama wenye wivu sana hapa duniani. Chakula chake kikubwa ni asali,yeye hupanda juu ya mzinga wa asali na kuujambia, baada ya mashuzi yake nyuki wote hulewa na yeye kupakua asali na masega yake na kula. Mwili wake una ngozi ngumu sana kiasi hata nyuki akimuuma hakuna chochote kinatokea
Nyegere ni mnyama mwenye wivu na mapenzi makubwa sana kwa jike lake, hutembea nyuma ya jike huku akiwa ameziba sehemu za siri za jike, hata jani tu likiigusa sehemu ya siri ya jike litararuliwa na kupokea kichapo cha hatari,maana wivu wake ni kuwa jani laitakuwa "limefaidi utamu" wa jike
Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, walina asali ndio waathirika wakubwa wa hasira za Nyegere,anaweza kuujambia mzinga akala kidogo asali na kupeleka kwa mke,mlina asali akifika na kupakua, nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika anavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake(ukizingatia milango ya vijijini si imara). Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii.
Nyegere ndio mmoja kati ya "fearless animal" duniani, huweza kuwakabili Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda,anasaidiwa na ngozi yake ngumu na kucha zake, awapo katika hatari ya kushambuliwa hukakamaa na ngozi yake kuwa ngumu kama "defensive mechanism" yake.
Kuna makabila ambayo waganga wa kienyeji hutumia mchanganyiko wa Nyegere kutengenezea limbwata,Yaani wamama huchukua dawa hiyo kuwawekea waume zao ili wawe na "upendo" wa Nyegere.
Wivu wa Nyegere hufanya awachukie sana binadamu wanaume,mwanaume ukiwa porini ukakutana na Nyegere akiwa na jike lake jiandae kupata kibano, huona wivu kuwa utamtamani jike,hivyo hukimbilia kumvamia mwanaume sehemu za siri akiamini ndizo zinazokupa jeuri ya kumtamani jike lake.
Nyegere hula nyoka wa aina yoyote,ana sumu kali ambayo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi.
Ogopa sana kukutana na mnyama mwenye wivu Nyegere...
Huko Singida aliwahi kusafiri zaidi ya kilomita saba usiku kwa usiku anafuata harufu ya mtu aliyelina mzinga wa asali aliyoijambia, alipofika akavunja mlango na kukuta wamelala watu wanne kwenye mkeka mmoja,akabagua yule mwizi wake, akagawa kichapo halafu akarudi porini kimya kimya.
Honey badger
Duh! Huyu Nyegele noma, but nadhani hawezi fanya kitu kwa wanaume wa Dar!...Powder huyo ni mzee aliyejeruhiwa na Nyegere huko Singida...aliiba asali ya mke wa Nyegere,kajamaa kakanusa harufu mpaka home,kakampa kichapo cha maana mpaka wanakijiji walipoingilia kati ndio kakamuachia kakarudi porini kwa madoido kuwa kameshagawa dozi
Offtopic:Vipi ile mada yako ya mwanamzikk wa Congo na sumu uliisha??