Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Asee situnambiwa ni binadamu na Dolphins tu ndo wanagegedana kwa starehe hao wengine ni kwa kuzaliana tu iyo nyegere niaje ase?

Afu mimi nikigumiana nae porini ntajitahdi nimdake halafu nimfunge nianze kujiachia na jike lake huku yeye anaona, bwege sana uyo nyegere yani anaminyana na K ivo
 
Msiombe kukutana na Nyegele hafai hafai hata kidogo, Kuna Jamaa uliumizwa na huyo mdudu, alipona baada ya kukutana sisi akauwawa, nakumbuka alikufa kwa fimbo ya mti mbaazi, coz alipigwa sana lakni kufa ikawa ngumu, kuna mzee akaja akasema itafutwe fimbo ya mti wa mbaaz iliyokauka ndo apigiwe, na baada ya kumtindika na iyo fimbo akafa kilain sana
 
Msiombe kukutana na Nyegele hafai hafai hata kidogo, Kuna Jamaa uliumizwa na huyo mdudu, alipona baada ya kukutana sisi akauwawa,nakumbuka alikufa kwa fimbo ya mti mbaazi, coz alipigwa sana lakni kufa ikawa ngumu, kuna mzee akaja akasema itafutwe fimbo ya mti wa mbaaz iliyokauka ndo apigiwe, na baada ya kumtindika na iyo fimbo akafa kilain sana
Afadhali Ngonidema umeleta ushuhuda hapa...Kuna watu walikuwa wanasema hizi ni chai kama chai za kwenye "Vimbweta" vy ule "mdegree"
 
Afadhali Ngonidema umeleta ushuhuda hapa...Kuna watu walikuwa wanasema hizi ni chai kama chai za kwenye "Vimbweta" vy ule "mdegree"
#barafu# nyegele ni Noma zaid ya noma, yan nakumbuka tulikuwa wanaume kumi na kitu, baada ya kufka pale kwa hasira ya kufukuzana na jamaa, akavimba kwa hasira na kila tukimtisha kwa mawe ndo anapndisha hasira akataka kupambana sisi wote pale, yan ni kadogo lakn ni kababe sana
 
Ha ha ha ha ha jamani huyo Nyegere wacha habari zake kabisaaa, huyo mimi nilikutana nae kwa Bibi huko sehemu za Iringa,nikiwa bwana mdogo nimeenda likizo,sasa babu akawa amenambia twende na watoto wa kina shangazi na baba mdogo kuchunga
Tukakutana nako huko porini..maana mi nilikuwa napenda sana asali,sbb nimetoka town kila mtu ananipenda na anataka kuonyesha mwamba,tumeenda tumekuta asali tukapakuwa,tumeenda jua linazama tunarudi zetu kunywesha ng'ombe maji

Ee bwana ee, kumbe kijamaa kinatufatilia nyumanyuma muda mrefu...tumefika home tukasikia mbwa wanalia sana nyuma ya zizi,kwenda tunakuta mbwa wamekula sana kichapo...palikuwa na varangati la kufa mtu,yaani ukongwe wa babu tu ,akasema "Beee mele taa ikisonzo kilipanzingo ipo"

Babu alikuwa mfugaji na mwindaji, akavaa ngozi ngumu kiunoni, akaanza kukabliana nako....It was a fighting of one hr and ahalf

Jamani huyu mdudu msikieni tu, kwanza mbishi halafu mgumu sana kufa...yaani sitaki hata kumkumbuka
 
View attachment 342896 View attachment 342897 View attachment 342899

Nyegere ni moja kati ya wanyama wenye wivu sana hapa duniani. Chakula chake kikubwa ni asali,yeye hupanda juu ya mzinga wa asali na kuujambia, baada ya mashuzi yake nyuki wote hulewa na yeye kupakua asali na masega yake na kula. Mwili wake una ngozi ngumu sana kiasi hata nyuki akimuuma hakuna chochote kinatokea

Nyegere ni mnyama mwenye wivu na mapenzi makubwa sana kwa jike lake, hutembea nyuma ya jike huku akiwa ameziba sehemu za siri za jike, hata jani tu likiigusa sehemu ya siri ya jike litararuliwa na kupokea kichapo cha hatari,maana wivu wake ni kuwa jani laitakuwa "limefaidi utamu" wa jike

Nyegere anaweza kununua ugomvi mpaka kijiji cha sita, walina asali ndio waathirika wakubwa wa hasira za Nyegere,anaweza kuujambia mzinga akala kidogo asali na kupeleka kwa mke,mlina asali akifika na kupakua, nyegere ana uwezo ya kufuatilia harufu ya aliyeiba asali yake mpaka nyumbani, na akifika anavunja mlango na kuingia ndani na kumvamia mwizi wa asali yake(ukizingatia milango ya vijijini si imara). Watu wengi vijini wameuwawa kwa namna hii.

Nyegere ndio mmoja kati ya "fearless animal" duniani, huweza kuwakabili Simba na Chui zaidi ya mmoja na kuwashinda,anasaidiwa na ngozi yake ngumu na kucha zake, awapo katika hatari ya kushambuliwa hukakamaa na ngozi yake kuwa ngumu kama "defensive mechanism" yake.

Kuna makabila ambayo waganga wa kienyeji hutumia mchanganyiko wa Nyegere kutengenezea limbwata,Yaani wamama huchukua dawa hiyo kuwawekea waume zao ili wawe na "upendo" wa Nyegere.

Wivu wa Nyegere hufanya awachukie sana binadamu wanaume,mwanaume ukiwa porini ukakutana na Nyegere akiwa na jike lake jiandae kupata kibano, huona wivu kuwa utamtamani jike,hivyo hukimbilia kumvamia mwanaume sehemu za siri akiamini ndizo zinazokupa jeuri ya kumtamani jike lake.

Nyegere hula nyoka wa aina yoyote,ana sumu kali ambayo akimng'ata nyoka wa aina yoyote haponi.

Ogopa sana kukutana na mnyama mwenye wivu Nyegere...

Huko Singida aliwahi kusafiri zaidi ya kilomita saba usiku kwa usiku anafuata harufu ya mtu aliyelina mzinga wa asali aliyoijambia, alipofika akavunja mlango na kukuta wamelala watu wanne kwenye mkeka mmoja,akabagua yule mwizi wake, akagawa kichapo halafu akarudi porini kimya kimya.


Wacha uwongo, nyegere hajambii mzinga wa nyuki hata siku moja. Ni kweli kuwa yeye anakula asali na ndiyo maana anaitwa "Honey Badger," ila ikumbukwe kuwa asali si chakula pendwa ama pekee alikacho. Nyegere ni Omnivores maana kwamba anakula kila kitu bila ubaguzi, anakula nyoka tena mambas (koboko) na aina yote ya nyoka bila tatizo kwani ana anti venom inayomfanya asife kutokana na kugongwa na nyoka. Anakula pia wanyama wadogowadogo kama paka hata vitoto vya mbwa na aina zote za ndege mwituni. Akikuta asali anaishambulia bila tatizo na nyuki wala hawamsumbui. Kule kunuka kwake anatumi ile harufu kwa ajili ya ku-mark territories tu au akiwa under threat kutoka kwa wanyama wengine wakubwa kama Simba, chui, fisi, Rock python na wengineo. Anawajambia kuwatishia.
 
Powder huyo ni mzee aliyejeruhiwa na Nyegere huko Singida...aliiba asali ya mke wa Nyegere,kajamaa kakanusa harufu mpaka home,kakampa kichapo cha maana mpaka wanakijiji walipoingilia kati ndio kakamuachia kakarudi porini kwa madoido kuwa kameshagawa dozi
Offtopic:Vipi ile mada yako ya mwanamzikk wa Congo na sumu uliisha??
Duh! Huyu Nyegele noma, but nadhani hawezi fanya kitu kwa wanaume wa Dar!...

Mkuu ile mada inaendelea mdogo mdogo, wapo wanaosema Kuna ulakini kwa mujibu wa video, wengine wanasema waafrika kila kifo tunakitafutia sababu!
 
Back
Top Bottom