Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Je, unamfahamu mnyama anayeitwa Nyegere/Honey Badger? Mnyama mwenye wivu kupindukia

Nyegere hampati Fisimaji (water oatter) kwa wivu wa kimapenzi

Spotted-necked_otter_1.jpg


cc fisimaji
Fisimaji tatizo lake sio wivu bali ni tamaa ya ngono. Yeye hata akikuta mwamba wa jiwe umetoboka mfano wa papuchi lazima aushughulikie mpaka amalize hamu yake.
 
Haka kanyegere kanaitwa honey badger kwa Kiingereza kanapiga Cobra au black Mamba kama hakana akili nzuri...nyoka zote hatari kanaziua haraka sana huwezi amini...kana ukuda sana haka kadude..kanajiamini kwelikweli ukikaona kanamvimbia Simba utashangaa sana...kitu cha kujifunza kwa haka kadude ni ile hali ya kujiamini sana.

Kanaweza kuingia vitani bila kujali hali na hilo linasaidia sana...
 
Ha ha ha ha ha jamani huyo Nyegere wacha habari zake kabisaaa,huyo mimi nilikutana nae kwa Bibi huko sehemu za Iringa,nikiwa bwana mdogo nimeenda likizo,sasa babu akawa amenambia twende na watoto wa kina shangazi na baba mdogo kuchunga
Tukakutana nako huko porini..maana mi nilikuwa napenda sana asali,sbb nimetoka town kila mtu ananipenda na anataka kuonyesha mwamba,tumeenda tumekuta asali tukapakuwa,tumeenda jua linazama tunarudi zetu kunywesha ng'ombe maji

Ee bwana ee,kumbe kijamaa kinatufatilia nyumanyuma mda mrefu...tumefika home tukasikia mbwa wanalia sana nyuma ya zizi,kwenda tunakuta mbwa wamekula sana kichapo...palikuwa na varangati la kufa mtu,yaani ukongwe wa babu tu,akasema "Beee mele taa ikisonzo kilipanzingo ipo"
Babu alikuwa mfugaji na mwindaji,akavaa ngozi ngumu kiunoni,akaanza kukabliana nako....It was a fighting of one hr and ahalf

Jamani huyu mdudu msikieni tu,kwanza mbishi halafu mgumu sana kufa...yaani sitaki hata kumkumbuka
Uwiiiiiiiiii nimeogopa sana [emoji27] [emoji27] [emoji27] [emoji27]
 
Nimeenda Google, nimesoma sentensi hii, du! nimemuogopa huyu mnyama mdogo. The only sure way of killing them quickly is through a blow to the skull with a club or a shot to the head with a gun, as their skin is almost impervious to arrows and spears.
Ni kweli kabisa mimi kuna siku aliwahi kuingia nyumbani usiku kufuata kuku mimi sikujua huyo ni nyegere nilichukua mpini mfupi na kupambana naye kila alipokuja miguuni kunifuata nilikuwa nampiga kichwani nilicheza naye kama dakika 20 nikafanikiwa kumuua nikamfunga kamba shingoni na kumtupa nje ya nyumba wala sikujua nimeua mnyama gani mpaka kesho yake asubuhi walipopita wapita njia ndiyo wakasema ni nyegere hapo ndipo nikapata uonga kumbe nilipambana na mnyama hatari hivyo lakini nikagundua uonga saa nyingine hufanya mtu asiwe na ujasiri kwani pengine ningekuwa nimejua tangu awali kuwa nyegere kaingia ndani pengine ningeshikwa na woga hivyo mnyama huyo angenidhuru
 
Kuna jiran yangu ntaanza kumwita jina nyegera maana ana wivu kupitiliza.
 
Ni kweli kabisa mimi kuna siku aliwahi kuingia nyumbani usiku kufuata kuku mimi sikujua huyo ni nyegere nilichukua mpini mfupi na kupambana naye kila alipokuja miguuni kunifuata nilikuwa nampiga kichwani nilicheza naye kama dakika 20 nikafanikiwa kumuua nikamfunga kamba shingoni na kumtupa nje ya nyumba wala sikujua nimeua mnyama gani mpaka kesho yake asubuhi walipopita wapita njia ndiyo wakasema ni nyegere hapo ndipo nikapata uonga kumbe nilipambana na mnyama hatari hivyo lakini nikagundua uonga saa nyingine hufanya mtu asiwe na ujasiri kwani pengine ningekuwa nimejua tangu awali kuwa nyegere kaingia ndani pengine ningeshikwa na woga hivyo mnyama huyo angenidhuru
Nitajie jina lako nikuingize kwenye guiness book of records,,,
 
  1. Wacha uwongo, nyegere hajambii mzinga wa nyuki hata siku moja. Ni kweli kuwa yeye anakula asali na ndiyo maana anaitwa "Honey Badger," ila ikumbukwe kuwa asali si chakula pendwa ama pekee alikacho. Nyegere ni Omnivores maana kwamba anakula kila kitu bila ubaguzi, anakula nyoka tena mambas (koboko) na aina yote ya nyoka bila tatizo kwani ana anti venom inayomfanya asife kutokana na kugongwa na nyoka. Anakula pia wanyama wadogowadogo kama paka hata vitoto vya mbwa na aina zote za ndege mwituni. Akikuta asali anaishambulia bila tatizo na nyuki wala hawamsumbui. Kule kunuka kwake anatumi ile harufu kwa ajili ya ku-mark territories tu au akiwa under threat kutoka kwa wanyama wengine wakubwa kama Simba, chui, fisi, Rock python na wengineo. Anawajambia kuwatishia.
    Mkuu Mkereketwa haina haja ya kuniita muongo,ungeweza kutoa usahihi ya maelezo yako ya "kitaalamu" bila kunipa hilo jina.
    Mimi nimefundishwa kwa kurithishwa na mababu zangu wawindaji tabia za mnyama huyu na jinsi ya kukabiliana nae,Wazee hawakuwa wameenda shule kusomea mambo ya wanyama,wao walikuwa wanajuwa mashuzi ya Nyegere si tu kujilinda na maadui kwa harufu kali,bali pia kuwapumbaza nyuki kila wanapokuwa wanakwenda kuvamia asali

    Naahukuru kuwa hujapinga kuwa nyengere hujamba mashuzi yanayonuka,maana hii ndio sifa yake moja wapo kubwa,hizo sababu nyingine ni za elimu darasa ambazo babu zetu hawakupitia.Hata leo ukienda kijijini kwangu ukawaambia mashuzi ya nyegere hayaleweshi nyuki hawatakuelewa na huo "utaalamu" wako
 
Ni kweli kabisa mimi kuna siku aliwahi kuingia nyumbani usiku kufuata kuku mimi sikujua huyo ni nyegere nilichukua mpini mfupi na kupambana naye kila alipokuja miguuni kunifuata nilikuwa nampiga kichwani nilicheza naye kama dakika 20 nikafanikiwa kumuua nikamfunga kamba shingoni na kumtupa nje ya nyumba wala sikujua nimeua mnyama gani mpaka kesho yake asubuhi walipopita wapita njia ndiyo wakasema ni nyegere hapo ndipo nikapata uonga kumbe nilipambana na mnyama hatari hivyo lakini nikagundua uonga saa nyingine hufanya mtu asiwe na ujasiri kwani pengine ningekuwa nimejua tangu awali kuwa nyegere kaingia ndani pengine ningeshikwa na woga hivyo mnyama huyo angenidhuru
Daaah mkuu maalon basi ulikaotea sana haka kajamaa,haka huwa akakubali kushindwa,ni king'ang'anizi sana huyu mdudu...Ama hakika ulikuwa shujaa,vinginevyo kangekuondolea serikali yako yoooote bila huruma,maana kenyewe huwa kanavizia hukohuko "ikulu" kubwa
 
Back
Top Bottom