Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #21
🤣🤣Ndio huyu alisema Jiwe kwenda pale amemuinua?Kuna watu wamevurugwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Ndio huyu alisema Jiwe kwenda pale amemuinua?Kuna watu wamevurugwa
Ipo youtube mkuuWeka hio clip au link yake
Askari kiburi 😂Ni nani huyu
😂😂alimpandishia raisi sauti dah alipigwa mkwara mmoja na JPM hapo hapo akafyata
🤣🤣🤣Hahahaha hii ziara ya Butimba ilijaa watu waliovurugwa, kuna mfungwa mmoja mlemavu alifungwa kwa ubakaji akamuuliza Jembe "eti mimi naweza na kutomber na nikakimbia kweli"
DuuhHakuwahi kubishana na Jiwe, yeye alikua anajitetea tu.... Sema hakua akijua kwa mtu wa aina gani.
Nenda youtube search hiviComments zinachekesha Sana😅😅
Naomba mwenyewe clip au Link ya video
🤣🤣Zeee korofi🤣🤣🤣🤣
🤣Kuna yule engineer aliulizwa we unaweza kujenga nyumba yako bila lifti,akajibu nyumba yangu sio for public use.
😂Na kuna yule maza alikuwa either DED or DC alimjibu nna kazi nyingi siwezi kufuatilia kila kitu,Jiwe akamuuliza unanijibu hvyo mimi.
Huyu mwamba alikufa, nampata alikuwa askari magereza mbishi balaaAlihamishiwa ukerewe akaendelea kuhudum mpaka mauti yalipomkuta rip.
Unajua Mzilankende Alimuuliza Sasa Wewe Ni Mlemavu Bado Unanyanyua Mguu Wa Tano. HaaHahahaha hii ziara ya Butimba ilijaa watu waliovurugwa, kuna mfungwa mmoja mlemavu alifungwa kwa ubakaji akamuuliza Jembe "eti mimi naweza na kutomber na nikakimbia kweli"
Apumzike Kwa Amanihuyu mwamba alikufa, nampata alikuwa askari magereza mbishi balaa
Sahihi Alikwenda HukoAlihamishiwa ukerewe akaendelea kuhudum mpaka mauti yalipomkuta rip.
Mhh 🙁Alihamishiwa ukerewe akaendelea kuhudum mpaka mauti yalipomkuta rip.
IUsiku Alitumbuliwa Alikuwa DED Kagera Huko Moja Ya WilayaNa kuna yule maza alikuwa either DED or DC alimjibu nna kazi nyingi siwezi kufuatilia kila kitu,Jiwe akamuuliza unanijibu hvyo mimi.
Na mikoni ilihesabiwa kama miguu?Unajua Mzilankende Alimuuliza Sasa Wewe Ni Mlemavu Bado Unanyanyua Mguu Wa Tano. Haa
Yule Alimtisha Sana JiweKuna yule engineer aliulizwa we unaweza kujenga nyumba yako bila lifti,akajibu nyumba yangu sio for public use.
SanaZeee korofi🤣🤣🤣🤣
Jiwe Alisema Kwa Hasira Kuna Mteule Wangu Hapa Kisarawe Nimempa KaziNa vipi yule wa kisarawe aliyekuwa anapiga mapicha na madam jokate akatumbuliwa.