Je, unamkumbuka huyu. Mtu pekee aliyejaribu kubishana na Jiwe

Je, unamkumbuka huyu. Mtu pekee aliyejaribu kubishana na Jiwe

Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM



Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa


Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Hahahahaaahhhh yule Mzee lazima alikuwa anachoma sio Bure🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna yule engineer aliulizwa we unaweza kujenga nyumba yako bila lifti,akajibu nyumba yangu sio for public use.
Magufuli alikuwa anasema hakuna sababu ya kuweka lift. Engineer akamwambia wanaweka kwa sababu majengo yote ya serikali yenye gharofa yanatakiwa kuwa na lift. Ni sheria. Magufuli akamuuliza ingekuwa nyumba yako ungeweka lift? Akajibu nyumba yangu siyo ya public.
 
Jiwe Alisema Kwa Hasira Kuna Mteule Wangu Hapa Kisarawe Nimempa Kazi
Anachofanya Ni Kutongoza Wake Za Watu, Tumemuonya Ila Haonyeki
Waziri Jafo Nataka Umpangie Kazi Ya Chini Kabisa Huyu Bwana
1702994304146.png

1702994353621.png

Kalikuwa kanachovya buyu la asali ya wakubwa 😁😁😁
 
Kuna yule albino aliongea mengi sana na Ile lafudhi yake ya kikurya.....

Akawatuhumu uongozi wa maaskari magereza kua wana mihuri ya ikulu 😅😅

Jamaa akaenda mbali zaidi Kwa KUSEMA ukiwa Mwanaharakati au mjuaji unapoumwa unachomwa sindano ya SUMU very sad 😢

Pia akaomba JPM amuhakikishie uhai wake maana Watamuua...
 
Back
Top Bottom