daniel lufumbula
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 106
- 176
Hiv alikufa kweli???Apumzike Kwa Amani
Kazi Aliifanya Vema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiv alikufa kweli???Apumzike Kwa Amani
Kazi Aliifanya Vema
Akiwa bukoba,Hahahahaaahhhh yule Mzee lazima alikuwa anachoma sio Bure🤣🤣🤣🤣🤣
Na haikupita muda jamaa akaachiwa huru ila inaonekana alikuwa mnokonoko sanaKuna yule albino aliongea mengi sana na Ile lafudhi yake ya kikurya.....
Akawatuhumu uongozi wa maaskari magereza kua wana mihuri ya ikulu 😅😅
Jamaa akaenda mbali zaidi Kwa KUSEMA ukiwa Mwanaharakati au mjuaji unapoumwa unachomwa sindano ya SUMU very sad 😢
Pia akaomba JPM amuhakikishie uhai wake maana Watamuua...
Mwamba ndo huyu hapaaaa!!!!Huyu mwamba yupo wapi siku hiziView attachment 2846906
Kuna ndugu yangu alipataga kesi ya mauaji akawa maabusu Kwa muda mrefu sanaaa enzi za utawala wa mkapa....Na haikupita muda jamaa akaachiwa huru ila inaonekana alikuwa mnokonoko sana
Huyo jamaa alikufa??Alihamishiwa ukerewe akaendelea kuhudum mpaka mauti yalipomkuta rip.
Alikuwa Askari Magereza butimba mwanza, alijivutiaga bange akaongea vitu visivyomvutia mkuu akastopishwa…Ni nani huyu
Usikute baada ya kustopishwa Kuna mengi yaliendelea behind the cameraAlikuwa Askari Magereza butimba mwanza, alijivutiaga bange akaongea vitu visivyomvutia mkuu akastopishwa…
😂 washa kitu tuwe HIGHMwamba ndo huyu hapaaaa!!!!View attachment 2847188
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Huyo jamaa alitoka kwa msamaha wa rais Samia pia ukimsikiliza vizuri n kama alieenda kukamilisha mission flan humo gerezaniKuna yule albino aliongea mengi sana na Ile lafudhi yake ya kikurya.....
Akawatuhumu uongozi wa maaskari magereza kua wana mihuri ya ikulu 😅😅
Jamaa akaenda mbali zaidi Kwa KUSEMA ukiwa Mwanaharakati au mjuaji unapoumwa unachomwa sindano ya SUMU very sad 😢
Pia akaomba JPM amuhakikishie uhai wake maana Watamuua...
Hii imeendaa😆😆😆😆😆😆Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
On a serious note , kwa nchi ambazo ziko serious Jiwe asingewahi kuwa rais .Yule Jiwe alikuwa mpumbavu sana
Yaani hata hakuweza kufikiria kuna walemavu ambao wangeweza kuwa waajiriwa au wanafika hapo kupata huduma, na lifti ndio suluhisho lao kufika ghorofa wanayohitaji kufika.
Ni kweliOyaaa acha aisee..ni ukwel au unayazusha tu?
Hii tabia ya viongozi kuwapa vimada vyeo haikuanzia awamu ya 5.Jamaa aliingia choo cha kike. Pembeni alikuwa kakaa kigwangala anacheka kinoma.
Halafu jiwe akamteua maza fulani akamwambia, sasa na wewe kashindane na mwenzako kuchukua mabwana za watu. Ile kitu ilikuwa personal.
Mkubwa akitaka kuwa kama mume wa Grace Mugabe jiondoe kabisa ukae mbali
Alihamishiwa ukerewe akaendelea kuhudum mpaka mauti yalipomkuta rip.
On a serious note , kwa nchi ambazo ziko serious Jiwe asingewahi kuwa rais .
He was a serious psychiatric case.
Huyu makundi ya Msoga na Monduli ndio yalileta ile product .
Mathias Chikawe akakamilisha kazi kazi, ndio maana nikisia suala la vetting kwa viongozi wa bongo huwa nabaki kucheka tu.
huyu mwamba alikufa, nampata alikuwa askari magereza mbishi balaa
Mkuu Kennedy jioni hii ndugu yangu tujiandae kurudi makwetu soga zimetosha sasaKama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa