Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Haa Haa Hakuna Namna MkuuMkuu Kennedy jioni hii ndugu yangu tujiandae kurudi makwetu soga zimetosha sasa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa Haa Hakuna Namna MkuuMkuu Kennedy jioni hii ndugu yangu tujiandae kurudi makwetu soga zimetosha sasa
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
😂😂Mwamba ndo huyu hapaaaa!!!!View attachment 2847188
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
View attachment 2847296View attachment 2847297View attachment 2847298![]()
View attachment 2847300
View attachment 2847300
View attachment 2847294
View attachment 2847295
Kimsingi yule mwendawazimu alituleta majanga hebu ona series ya vituko vya watu alioleta.
Watu waliishi kwa hofu na kufanya vitu vya ajabu ili waonekane, huo sio uongozi thabiti.View attachment 2847302View attachment 2847303View attachment 2847304
View attachment 2847292View attachment 2847292
View attachment 2847293
He was a serious psychiatric caseOn a serious note , kwa nchi ambazo ziko serious Jiwe asingewahi kuwa rais .
He was a serious psychiatric case.
Yule magenge ya Msoga na Monduli ndio yalileta ile product .
Mathias Chikawe akakamilisha kazi , ndio maana nikisia suala la vetting kwa viongozi wa bongo huwa nabaki kucheka tu.
JoJo amahukuru Sana mwendazake kumweka kwenye ramani
Hahaah jiwe alichukia sana, mpaka alitetemeka akaanza kutafuta msaada kwa wakubwa zake na yule askari, eti yuko wapi mkuu wa magereza nyinyi ndio mnamtuma huyu aniambie hivi?.Hahaha! Huyu ndiye kiboko ya Jiwe. Hakutegemea kuwa jamaa angemjibu vile.
Atakuwa kastaafu
Mwamba yuko wapi!??🤣🤣🤣Mwamba ndo huyu hapaaaa!!!!View attachment 2847188
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Hahaaaaa ilikuwa bukoba hiyo.Na kuna yule maza alikuwa either DED or DC alimjibu nna kazi nyingi siwezi kufuatilia kila kitu,Jiwe akamuuliza unanijibu hvyo mimi.
Chanzo cha kifo chake ni nini?huyu mwamba alikufa, nampata alikuwa askari magereza mbishi balaa
HahahaaaaKama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Nzillankenda akaguna.Mwamba ndo huyu hapaaaa!!!!View attachment 2847188
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
hahaha! ila mwamba alikuwa na moyo sana asee😂😂 alafu unaonekana una kiburi sanaNzillankenda akaguna.
Admin hilo jina la jiwe badilisha uandike JPM.Pamoja na mapungufu yake,JPM atabaki katika historia kama Rais aliyeipenda nchi yake kwa dhati kutoka moyoni.Apewe maua yake kwa kutodhihakiwa sababu kwanza alishatangulia mbele ya hakiNdio huyu alisema Jiwe kwenda pale amemuinua?Kuna watu wamevurugwa
Na Sasa mama amempa u das tenaJamaa aliingia choo cha kike. Pembeni alikuwa kakaa kigwangala anacheka kinoma.
Halafu jiwe akamteua maza fulani akamwambia, sasa na wewe kashindane na mwenzako kuchukua mabwana za watu. Ile kitu ilikuwa personal.
Mkubwa akitaka kuwa kama mume wa Grace Mugabe jiondoe kabisa ukae mbali
Sio kila K inalipaJoJo amahukuru Sana mwendazake kumweka kwenye ramani
K inalipa🙏
Yule jamaa alinikosha sana.Yule Alimtisha Sana Jiwe
Alimwambia Kuanzia Ghorofa Moja Nyumba Ya Serikali Hasa Hospital Lazima Kuwe Na Lift
jiwe Akasema Kwako Kuna Lift Jamaa Akasema Kwangu Siyo Jengo La Umma
Pia Lift Inawekwa Kwa Matakwa Ya Sheria Siyo Mtu Kutaka
🤣🤣hahaha! ila mwamba alikuwa na moyo sana asee😂😂 alafu unaonekana una kiburi sana
amekuinua! jiwe anashangaa kwahiyo kuja kwangu hapa ni ili nikuinue 😂 😂