Je, unamkumbuka huyu. Mtu pekee aliyejaribu kubishana na Jiwe

Je, unamkumbuka huyu. Mtu pekee aliyejaribu kubishana na Jiwe

IMG-20210421-WA0002.jpg
images (10).jpeg
download (1).jpeg



IMG-20231219-WA0001.jpg


Kimsingi yule mwendawazimu alituleta majanga hebu ona series ya vituko vya watu alioleta.

Watu waliishi kwa hofu na kufanya vitu vya ajabu ili waonekane, huo sio uongozi thabiti.
images (1).jpeg
IMG_20210518_141551.jpg
JamiiForums1397431097.jpg

IMG-20231219-WA0000.jpg
IMG-20231219-WA0000.jpg

 
On a serious note , kwa nchi ambazo ziko serious Jiwe asingewahi kuwa rais .

He was a serious psychiatric case.

Yule magenge ya Msoga na Monduli ndio yalileta ile product .

Mathias Chikawe akakamilisha kazi , ndio maana nikisia suala la vetting kwa viongozi wa bongo huwa nabaki kucheka tu.
He was a serious psychiatric case
🤣🤣🤣
 
Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM



Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa


Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Hahahaaaa
 
Katika clip zote ambazo JPM alirekodiwa katika ziara,hii kwangu was the best.Naweza hata kuitizama mara kumi kwa siku na kucheka mno.Ambao hawaikumbuki, Nimewawekea hapa chini.
 

Attachments

  • 06c387746c019599bbf41b251f448a98.mp4
    6.8 MB
Jamaa aliingia choo cha kike. Pembeni alikuwa kakaa kigwangala anacheka kinoma.
Halafu jiwe akamteua maza fulani akamwambia, sasa na wewe kashindane na mwenzako kuchukua mabwana za watu. Ile kitu ilikuwa personal.
Mkubwa akitaka kuwa kama mume wa Grace Mugabe jiondoe kabisa ukae mbali
Na Sasa mama amempa u das tena
 
Back
Top Bottom