Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Alihesabu HivyoNa mikoni ilihesabiwa kama miguu?
Tena Hadharani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alihesabu HivyoNa mikoni ilihesabiwa kama miguu?
Hahahaa! Na mguu wa tano ni huo mshedede unaoning'inia katikati ya miguu miwili uliotumika kubaka.Na mikoni ilihesabiwa kama miguu?
Jamaa aliingia choo cha kike. Pembeni alikuwa kakaa Kigwangala anacheka kinoma. Halafu jiwe akamteua maza fulani akamwambia, sasa na wewe kashindane na mwenzako kuchukua mabwana za watu. Ile kitu ilikuwa personal.Jiwe Alisema Kwa Hasira Kuna Mteule Wangu Hapa Kisarawe Nimempa Kazi
Anachofanya Ni Kutongoza Wake Za Watu, Tumemuonya Ila Haonyeki
Waziri Jafo Nataka Umpangie Kazi Ya Chini Kabisa Huyu Bwana
Jamaa alikuwa hataki mtu wa kumchallenge. Sijui kama jamaa alibaki salama.Yule Alimtisha Sana Jiwe
Alimwambia Kuanzia Ghorofa Moja Nyumba Ya Serikali Hasa Hospital Lazima Kuwe Na Lift
jiwe Akasema Kwako Kuna Lift Jamaa Akasema Kwangu Siyo Jengo La Umma
Pia Lift Inawekwa Kwa Matakwa Ya Sheria Siyo Mtu Kutaka
Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua MengiJamaa alikuwa hataki mtu wa kumchallenge. Sijui kama jamaa alibaki salama.
KabisaJamaa alikuwa hataki mtu wa kumchallenge. Sijui kama jamaa alibaki salama.
Umenichekesha sana mkuu. Hii ilinipitaKama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Mwili wake ulipatikana ziwa Victoria baada ya kutafutwa kwa siku 21 akiwa hajulikani alipoHuyu mwamba yupo wapi siku hiziView attachment 2846906
Mimi Wakati Wa Uhai Wa Mzilankende Endapo Mchana Atakuwa Ziara Popote Tanzania Na Sikuweza Kuifatilia Lazima Usiku Niisikilize Vema Sana.Umenichekesha sana mkuu. Hii ilinipita
Sio kweli.Mwili wake ulipatikana ziwa Victoria baada ya kutafutwa kwa siku 21 akiwa hajulikani alipo
Hayupo hai tena huyo jamaaSio kweli.
Kweli mkuu?Hayupo hai tena huyo jamaa
100%Kweli mkuu?
Hapa nimesoma mwa sauti ya JPM " unanijibu hivyo mimi" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na kuna yule maza alikuwa either DED or DC alimjibu nna kazi nyingi siwezi kufuatilia kila kitu,Jiwe akamuuliza unanijibu hvyo mimi.
🤣🤣Hapa nimesoma mwa sauti ya JPM " unanijibu hivyo mimi" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii pia niliiona..[emoji1787][emoji1787]Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Comments zinachekesha Sana😅😅
Naomba mwenyewe clip au Link ya video
Hii niliiona live kwenye tv. Waliounga mkono juhudi hawakutokea.Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Hahahahaaahhhh yule Mzee lazima alikuwa anachoma sio Bure,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa