inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa upepo wa siasa kipindi kile,ulihitajibmtu asiye na kashfa ya ufisadi,kabila kubwa na mkatoliki, uchaguzi ulikua ngumu..so vetting ipoOn a serious note , kwa nchi ambazo ziko serious Jiwe asingewahi kuwa rais .
He was a serious psychiatric case.
Yule magenge ya Msoga na Monduli ndio yalileta ile product .
Mathias Chikawe akakamilisha kazi , ndio maana nikisia suala la vetting kwa viongozi wa bongo huwa nabaki kucheka tu.
Wakawa wametapeliwaKama Unakumbuka Na Kufuatilia Hotuba Za Jiwe Utagundua Mengi
Akiwa Arusha Halafu RC Ni Mrisho Gambo Walinunua Wapinzani Kwa Gharama Kubwa
Utakumbuka Ilikuwa Kama Fashion Kutangaza Hadharani Wapinzani Leo Wanarudi CCM
Ajabu Wale Wahuni Wa Chadema Walichukua Cash Siku Jiwe Akiwa Sheikh Amri Abeid Stadium, Gambo Anasema Leo Mheshimiwa Rais Utapokea Wapinzani Wanaorudi CCM
Oops Jamaa Hawakuwepo Wamekimbia Na Cash Ya CCM
Kwa Hasira Jiwe Bila Kuzima Microphone Alitamka Pumbavu Sana Hawa
Akamuuliza Mkuu Wa Mkoa Wako Wapi Watu Wako?Kimyaa
akasema Pumbavu Sana Hawa
Jiwe hakuwa na kashfa? Acha kuchekesha watu. Halafu aliyekuambia Magu alikuwa msukuma kamuulize tenaKwa upepo wa siasa kipindi kile,ulihitajibmtu asiye na kashfa ya ufisadi,kabila kubwa na mkatoliki, uchaguzi ulikua ngumu..so vetting ipo
Ganzi alirudia form two mbeya day,tukamwacha darasa mojaMtela Mwampamba a.k.a Ganzi
Kuna mshua Alikuwa mkurugenzi alitwa mbele ya jiwe kujielezea utambulisho mbadala ya kusema Mimi mkurugenzi akasema Mimi mkuruzenzii full hofu, Chuma akasema Aya nenda kakae mkuruzenziiBarua ya kumtengua yule mama iliandaliwa palepale JIWE akiwa jukwaani
Yule Poti afisa magereza alifariki????? Aseeehuyu mwamba alikufa, nampata alikuwa askari magereza mbishi balaa
Watu walifanya kazi kwa hofu lakini kwa maadiliKuna mshua Alikuwa mkurugenzi alitwa mbele ya jiwe kujielezea utambulisho mbadala ya kusema Mimi mkurugenzi akasema Mimi mkuruzenzii full hofu, Chuma akasema Aya nenda kakae mkuruzenzii
🤣🤣🙌Wabhongo mnajua kuekizagireti Mammbo🤣
Maghayo unamkumbuka huyu?Huyu mwamba yupo wapi siku hiziView attachment 2846906
Tuna miss San zile moments mkuuWatu walifanya kazi kwa hofu lakini kwa maadili
Tuna miss San zile moments mkuu
Geat Memory mkuuu umetaja sofa hapo ume nikumbusha mbaliSina lolote baya kwa yule mzee, mara ya mwisho kupata muda wa kuongea nae karibu, alikuja sofa monduli kwenye commission ya maafisa kabla hajabadili gia na kupeleka viwanja vya magogoni
Hongera kumbukiz nzur ya mzeeSina lolote baya kwa yule mzee, mara ya mwisho kupata muda wa kuongea nae karibu, alikuja sofa monduli kwenye commission ya maafisa kabla hajabadili gia na kupeleka viwanja vya magogoni
Afe kimya kimya bila media kweliYule Poti afisa magereza alifariki????? Aseee
Ilikula kwake
DuhIlikula kwake