Je, unatumia Chopping Board kwa kukatia vitunguu na nyanya?

Duuh kwa huo ukataji wa nyanya na hzo hoho mkuu nadhani bado unajifunza kupika


Ni aibu bora usingeweka hio picha
 
Hio chopping board inaonekana kama imeanza kuota moss na fungus, yaani kama ukiicha wiki mbili bila kuitumia unakuta uyoga umeota hapo.
 
Hio chopping board inaonekana kama imeanza kuota moss na fungus, yaani kama ukiicha wiki mbili bila kuitumia unakuta uyoga umeota hapo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Nawala Hiyo picha siifuti.... endelea tu kucomment ndo Raha yangu
 
Duuh kwa huo ukataji wa nyanya na hzo hoho mkuu nadhani bado unajifunza kupika


Ni aibu bora usingeweka hio picha
Kwakweli....Ila nachangisha mchango wa chopping board mpya.... Mwambie mwajuma wa Manzese anichangie....Dada yake
 
Cutting board ni muhimu ,siwezi kata chochote kawaida na huwa napenda itumia sana maana kitunguu nikishakigawa nusu nikikilaza kwenye cutting board in 30 sec nishakata kitunguu chote,inanisaidia siliii liiii tofaut na nikitumia mkono kukata kitunguu yani machozi na makamasi yatayonitoka sio ya nchi hiii.

Huwa napenda vitu vya zamani kupikia,kuanzia sufuria/mwiko kasoro sahani tu ndio napenda kulia kwenye sahani mpya na nzuri ila huko jikoni vitu vipya naonaga vinanipotezea muda.

hatujatofautiana sana kwenye hilo,wewe una cutting board imekula age,mimi nina kisu changu hichooo Nakiitaga WEMBE,nina mwiko wangu huo kwa kule mbele una sura nyeusiiiiii yani ndio nikiushika na feel napika kitu vizuri na kitamu.
 
Aisee... Cutting board yangu..sijawai iangalia kwa Masikitiko nlikua naipenda Sana....
 
Situmiagi chopping board naona inanichelewesha.Mboga ya majani ndo kabisa naona nakata makubwa makubwa.Mi mboga ya majani mfano chainiz napenda nikate nyembamba kabisa.
 
Natania sema..

Kufungua uzi Jf na kupata negative feedback ni kawaida.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....Bora negative comment za mapenzi...kuliko hii chopping board...nilikua naipenda Sana....[emoji25][emoji25][emoji25]
 
Nilisikia kwenye radio mtangazaji alisema... Ukiweka kitu kwenye mtandao unaweza kiona kidogo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]...Kumbe waja wa MUngu wanakikuuuza...

Nilijua ntapata Kama comment kumi Hivi.. loooh...Sio kwa kichambo hiki.
Ndo kujifunza kwenyewe....cha Kukusaidia kibebe vingine potezea
 
Hawa watu wenyewe wamezoea kula korodani za wanyama ,unapowaambia habari za nyama sijui hata kama wanakuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…