Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ndo maana mliiumbwa jamanAisee mi siku ya kwanza kumwona sikujua kama ni yeye.
Kupikiwa huko Mkuu.
Wee acha bana, mwanamke ndo kila kitu ndani ya nyumba na kwa Mume mwenyewe
Ewaaa!! Mi niliwahi kwenda kwa dada yangu naye alipika wali wa nazi akawekamo na njegere mule niliupenda kwani zilizidisha ladha fulani hivi.Et nijikaribishe[emoji23][emoji23] napenda sana njegere.... nisipoipika njegere kama mboga bas ntaiweka kwenye wali,pilau, nyama yaan popote pale itakapofit mradi roho yangu isuuzike
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa nikufundishe kupika nn hapo mkuuNifundishe kwa kunisimamia
Ewaaa!! Mi niliwahi kwenda kwa dada yangu naye alipika wali wa nazi akawekamo na njegere mule niliupenda kwani zilizidisha ladha fulani hivi.
Hahahaaa. Pole.Niligalagala hapo chini,nkawa siwez kupumua vzur sjui,maana tumbo limejaaa[emoji23][emoji23][emoji23] nilihangaika sana had nkaja kua sawa niliteseka mnoo ile siku,since then nikawa nakula kwa adabu.
Unajua utoto na mambo ya shule ile unapania msosi maana boarding ni makande ukibadili ni wali hata hauvutii sasa hapo unasema nikifika home misosi itanikomaa hee vikanitokea puani
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeaahh ,huwa tunajifanya tu ,lkn UKWELI nyumba ni mwanamke...na Mwanaume ni Mwanamke.
Namna ya kuvichanganya changanya Mkuu... Wali nyegere....Nyama nyegere... Nakitu ya Nazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo hapo sasa,ushindwe ww tu kuchagua uanze kula chakula gan!! Hapo usipo nenepa bas kutakua na mkono wa mtuYeaahh ,huwa tunajifanya tu ,lkn UKWELI nyumba ni mwanamke...na Mwanaume ni Mwanamke.
Imagine Chakula kinakupikia chakula chenzake hahahahahha ....unaanzaje kukonda ???
Ooh. Angalau We unajipa nafasi.Yeah nadhani ni ule moshi na harufu ya msosi me. Mm inanitokea sana nikipika samaki...ile process ya kukaanga then unakuja kuunga bas nikiona hyo hali hua baada ya kupika sili mda huo. Nasubir kama lisaa hv ndo naenda kula ndo ntaenjoy
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa hauna ivo, hahahaha ni mwendo wa Kula chakula jikon kikiwa kinapika chakula chenzake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo hapo sasa,ushindwe ww tu kuchagua uanze kula chakula gan!! Hapo usipo nenepa bas kutakua na mkono wa mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika!Yeah kuna kautamu flan hv kananoga ukitafuna zile njegere kwenye wali. Mapishi ni ubunifu kwakwel
Sent using Jamii Forums mobile app
Namna ya kuvichanganya changanya Mkuu... Wali nyegere....Nyama nyegere... Nakitu ya Nazi
Hahahahahaa hua ananifrahisha sanaNakazia Mtani. Heshima kwake mana anatujaza mbaya.