Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hahaha nmescreenshoot ..sema jiko la gesi ,halijawah niacha salama kwenye kupika waliOoh simple....kwa wali unachemsha njegere pembeni bt zisiive sana then ukiwa unapika wali baada ya maji kuchemka weka mchele + chumvi + mafuta then funika pika kwa moto mdogo maji yakikaribia kukauka weka njegere then geuza n funika had viive.... Moto mdogo unasaidia wali unaiva vzuri n hauunguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa hatari,soon nguo zinaanza kubana maana zitakua hazikutoshi tena vzuriHahahahahha ukiwa na bajeti nabahiri hunenepi ....Ukiwa hauna ivo, hahahaha ni mwendo wa Kula chakula jikon kikiwa kinapika chakula chenzake.
Baadae ule chakula mezani, umalizie chakula Room
HaaaaaaaaaHahahaa hatari,soon nguo zinaanza kubana maana zitakua hazikutoshi tena vzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nyama unaunga kama kawaida wakati wa kuweka nyama unaweka pamoja na njegere (ukiwa umezichemsha kidogo pembeni) then unaacha vichemke had viiveNamna ya kuvichanganya changanya Mkuu... Wali nyegere....Nyama nyegere... Nakitu ya Nazi
Kwa nyama unaunga kama kawaida wakati wa kuweka nyama unaweka pamoja na njegere (ukiwa umezichemsha kidogo pembeni) then unaacha vichemke had viive
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena chakula kiwe kinapikwa cha nazi sasa. Full kunenepa.Yeaahh ,huwa tunajifanya tu ,lkn UKWELI nyumba ni mwanamke...na Mwanaume ni Mwanamke.
Imagine Chakula kinakupikia chakula chenzake hahahahahha ....unaanzaje kukonda ???
Huuu mwaka huu kwakweli usipite......Kuoa ni Raha sana
Kiukweli hata Mimi jaman, napenda KULA MISOSI MITAMU TAMU NA MAPENZI ...Tena chakula kiwe kinapikwa cha nazi sasa. Full kunenepa.
Kumbe njegere zinachemshwaga kwanza? 😳 hapa kama ni mtihani ningefeli.Ooh simple....kwa wali unachemsha njegere pembeni bt zisiive sana then ukiwa unapika wali baada ya maji kuchemka weka mchele + chumvi + mafuta then funika pika kwa moto mdogo maji yakikaribia kukauka weka njegere then geuza n funika had viive.... Moto mdogo unasaidia wali unaiva vzuri n hauunguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona sibomana kaanza yakeHahahaaa. Nipo leo Mtani.
Mnitag tu Mtani mana hapa nilipo leo ni changamoto.
Kesho napika wali njegere wa Nazi...na nyama ya Nazi.
Huuu mwaka huu kwakweli usipite......Kuoa ni Raha sana
Hahahaa bas fanya mpango umuweke ndani,ili uyafrahie hayo kila siku kila saaMTU mmoja akasema kumshika mwanaume shika tumbo lake na mapenziKiukweli hata Mimi jaman, napenda KULA MISOSI MITAMU TAMU NA MAPENZI ...
Hivi viwili vinafanya nijihisi nipo Dunian mwanaume mmoja tu
Hahahahaaa. Umejua kunichekesha. Hahahaaa.MTU mmoja akasema kumshika mwanaume shika tumbo lake na mapenziKiukweli hata Mimi jaman, napenda KULA MISOSI MITAMU TAMU NA MAPENZI ...
Hivi viwili vinafanya nijihisi nipo Dunian mwanaume mmoja tu
Hahahahaaa. Umejua kunichekesha. Hahahaaa.
Ndio uoage sasa ili ujione uko peke yako kama usemavyo Mkuu.