the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
hapo jiandae kugongewa au tayar unagongewa ishu sio mboi tatizo hana hisia juu yako...pole sana ndugu ila tambua ndoa sio kabila...ingebidi umuulize kwahy unashaur nn apoMimi ni kijana nimeoa Kwasasa Nina mwaka mmoja toka nioane na mke wangu na tumejaliwa kupata mtoto ana miezi miwili.
Lakini pamoja na hayo Kuna kitu
Nilikuwa nashindwa kuelewana na mke wangu
Nilikuwa Niki sex naye naona reaction ya mwenzangu ni kama mtu ambaye hayuko pamoja na mimi ananipa ili anifurahishe tu
Kwa bahati nzuri Nika bahatika kumuuliza Leo nini tatizo
Ukweli alicho nijibu ndo kimeumiza mtima wangu
Amenijibu kuwa yeye haenjoy kabisa Sex na mimi kwasababu nikiingiza eti sifikagi kabisa kwenye sehemu ambazo zinampa msisimko kwa ufupi mboo yangu ni fupi kwake na ni ndogo kwake Hata akiwa na hamu nikiingiza hamu yake inakwisha maana hafeel chochote kabisa.
Lakini kila nikiangalia mboo yangu sio kwamba ni kibamia apana Nina mboo ya kutosha kabisa hata kama sio kubwa saana lakini ni yakutosha.
Najiuliza maswali mengi niachane na mwanamke uyu au niendelee naye.
Katika akili yangu nimehisi nimedharaulika.
Naombeni ushauri wenu ndugu zangu au msaada wenu kwa yeyote ambaye amewahi kupitia changamoto hii
msikilize
kingine mkuu kuwa mbunifu kabla hujala mzigo wako hakikisha unampiga touch sana nyonya hzo chuchu zake cheza sana na kinembe chake huenda humfanyi maandalizi anakuw mkavu inapelekea kutosikia rahaa