Hapana uchawi wa ngono uko kwenye ndele tuu na anayefanya hayo ni mpenzi wako....Mengine yote ni mapepoHadi ngono watu wanalogewa[emoji1787][emoji1787]
Inamaana wale mabaharia,, wazee wa mkongo teyari wamepigwa chuma[emoji1787][emoji1787]
Sio lazima sana.. lakini inawezekana.Hadi ngono watu wanalogewa[emoji1787][emoji1787]
Inamaana wale mabaharia,, wazee wa mkongo teyari wamepigwa chuma[emoji1787][emoji1787]
Uchawi wa huku kwetu pombe inaongoza aisee.. hasa za kienyeji.Hapo ni tofauti na nilichoandika huo ni uchawi wa kawaida kabisa ambao si pombe tu bali huyo mtu mbaya anaweza kufanya akikuona....na hapo harogi pombr bali matamanio yako kwa pombr
Kuna ule uzi mmoja humu mtu kamtembelea ndugu yake mganga umeupitia?Wachawi bana...yani mhanga mwenyewe anakunywa chimpumi halafu bado anarogwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wachawi bana...yani mhanga mwenyewe anakunywa chimpumi halafu bado anarogwa
Mkuu Nakupinga kwa nguvu zote.
Unaweza kulogewa ngono vizuri kabisa.
Pombe ndo kabisaaa.. natokea mtaa ambao wataalamu wakiona pombe unayopendelea kunywa huenda baa husika unayopendelea na kuinyooshea kidole na kunuia maneno yao. Baada ya hapo wewe unakuwa Chapombe mazima. Tiba yako ni kutapishwa.
Ulichosema ni sawa lakni lengo lao kunyooshea pombe yako kidole sio uwe cha pombe bali ni kufilisika, kutimuliwa kazini hvyo pombe, ngono, bangi inakuwa ni kama njia ila sio lengo la mchawiMkuu Nakupinga kwa nguvu zote.
Unaweza kulogewa ngono vizuri kabisa.
Pombe ndo kabisaaa.. natokea mtaa ambao wataalamu wakiona pombe unayopendelea kunywa huenda baa husika unayopendelea na kuinyooshea kidole na kunuia maneno yao. Baada ya hapo wewe unakuwa Chapombe mazima. Tiba yako ni kutapishwa.
Uchawi una viwango ama madaraja...madaraja ya juu ama viwango vya juu wanaroga ili kupata zaidi ama kulinda walichonachoKuna mtu Niliwahi kumsikia akisema eti mabilionea huwa hawarogwi. Uchawi hauendi kwa mtu mwenye pesa, wanaorogwa ni akina pangu pakavu tia mchuzi. Mfano wahindi wale matajiri wenye maduka makubwa mjini, watu wenye makampuni makubwa kama akina MoDewji, Manji n.k, huwezi kukuta karogwa kizembezembe.
Mkuu hili unaliongeleaje?
Mshana jr on the Peak[emoji123]Nimeamua kuandika mada kutokana na tatizo la mmoja wetu hapa JF kule kwenye mada ya pombe na wanywaji/walevi.
Huyo ndugu yetu ana tatizo na ulevi..hana control na kila akilewa hufanya mambo ya ajabu ambayo mengine huhatarisha maisha yake na uharibifu wa mali na usumbufu kwa wengine.
Pamoja na kwamba wengi wetu wanapinga uwepo wa uchawi na ushirikina lakini haya mambo yapo katika maisha yetu ya kila siku...lakini wakati huohuo kukiwa na upotoshaji mwingi pia kwenye dhana nzima ya uchawi ama ushirikina na waathirika wake.
Iko hivi uchawi pamoja na kwamba kwa sehemu kubwa sana ni kuharibu lakini kamwe hautumii njia ya starehe kuharibu...yaani
Huwezi kurogewa ngono
Huwezi kurogewa sigara
Huwezi kurogewa pombe
Huwezi kurogewa starehe ya aina yoyote hata kama matokeo ya mwishi yatakuwa na madhara
Viasili vya starehe huathiriwa na napepo..kumbuka mapepo ni roho zinazotangatanga ambazo miili yake ilishakufa...
Kuna mapepo ya ngono..haya hutokanna kwa sehemu kubwa na uchafu wa kingono kuaparamia hovyo...yaani kuwa chovyachovya ama chovywa chovywa..
Mapepo ya vilevi mbalimbali...kunenewa vibaya na wazazi ,mabibi mababu kwa baadhi.,.hawa hutoa maonyo ya mara nyingi na maonyo yanapogonga mwamba ..hunena mabaya
Hapa pia ishu ya laana huhusika yaani unalaaniwa pombe,sigara ngono nknk...
Inawezekana kabisa ulifanya kosa kubwa lililowaudhi wazazi na wao bila tafakuro ya kina huamua kulaani
Kuna watu wamelaaniwa pombe ..hawa hata iweje hawakosi pesa ya kunywa
Kuna watu wamelaaniwa ngono hawa walibaka wazazi ama wazazi wa wazazi wake
Ni mara chache mno kukuta mtu karogewa chanzo cha starehe kwakuwa uchawi msingi wake ni kuharibu na kuleta maumivu tangu mwanzo mpaka mwisho..na si starehe kwanza kisha maumivu baadae....
kanuga upooo....!!!!
Na udhaifu piaKuna jamaa alikua mkosoaji sana yaani wale wazee wa haki sawa
Mwishowe wakamlogezea hukohuko kwenye ukosoaji wake yaani akawa mtu wakuongea pekeake na ukimkuta unaweza sema ni chizi
Kwa namna moja ama nyingine watu wanaangalia wewe ni mtu wa namna gani ili hata wakifanya yao jamii ichukulie normal
Ndiyo maana unakuta mtu wanamlogea kwenye mabange ili jamii iseme huyu bange zake ndiyo zimfanya awe kichaa
Wachawi wanacheza na Saikolojia yako