Je, unaweza kurogewa viwakilishi vya starehe?

Kuna mtu Niliwahi kumsikia akisema eti mabilionea huwa hawarogwi. Uchawi hauendi kwa mtu mwenye pesa, wanaorogwa ni akina pangu pakavu tia mchuzi. Mfano wahindi wale matajiri wenye maduka makubwa mjini, watu wenye makampuni makubwa kama akina MoDewji, Manji n.k, huwezi kukuta karogwa kizembezembe.
Mkuu hili unaliongeleaje?
 

Nashukuru kwa kuweka na tiba yake ya ulevi... Upo sahihi...
 
Ulichosema ni sawa lakni lengo lao kunyooshea pombe yako kidole sio uwe cha pombe bali ni kufilisika, kutimuliwa kazini hvyo pombe, ngono, bangi inakuwa ni kama njia ila sio lengo la mchawi
Hivyo Mshana Jr yuko sahihi kabisa na wewe pia uko sahihi
 
Uchawi una viwango ama madaraja...madaraja ya juu ama viwango vya juu wanaroga ili kupata zaidi ama kulinda walichonacho
Madaraja ya kati wanaroga ili wasiibiwe wapenzi ama wapate kazi na vitu vingine vya kawaida kabisa
Madaraja ama viwango vya chini wanarogana ili kuumizana kutokana na wivu wa kimaskini, roho mbaya,roho ya kwanini husuda na kijicho

Yale maisha anayoishi tajiri yako hivyohivyo mpaka kwenye mambo ya kiroho na giza pia
Na yale maisha anayoishi maskini yako hivyo hivyo mpaka kwenye ishu za kichawi
Lunch ya tajiri si chini ya elfu 20...lunch ya fukara ni buku 2
 
Mshana jr on the Peak[emoji123]
 
Kuna jamaa alikua mkosoaji sana yaani wale wazee wa haki sawa

Mwishowe wakamlogezea hukohuko kwenye ukosoaji wake yaani akawa mtu wakuongea pekeake na ukimkuta unaweza sema ni chizi

Kwa namna moja ama nyingine watu wanaangalia wewe ni mtu wa namna gani ili hata wakifanya yao jamii ichukulie normal

Ndiyo maana unakuta mtu wanamlogea kwenye mabange ili jamii iseme huyu bange zake ndiyo zimfanya awe kichaa

Wachawi wanacheza na Saikolojia yako
 
Na udhaifu pia
 
nimeshindwa kukuelewa mzee wangu...ama pengine hiki kitabu si changu...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…