Je, unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba kinyume na maumbile?

Huu mwandiko unaonesha wewe ni mzoefu wa haya mambo maana unaandika pasipo kupepesa macho bila aibu. Aisee!!

Kwahiyo unatafuta wateja?
 
Anasubiri nini kumuacha? Au ni njia ya kuwaita nyie kisailensa kuwa huduma ipoo. Mimi wala siwazi kwamba kuna siku husband ataomba hiyo kitu kwa sababu ananisikia mara kwa mara nasema kwamba mwanaume anaeomba kinyume na maumbile hyo ni tiketi ya mwanamke kuomba talaka maana hamtakii mema.
 
Sa si umpe tu, unalalama bure tu, na hujagongwa!
 
Kabisa mwanaume anaekupenda haweza kukuomba nyuma na unapata ujasiri wa Kuomba ushauri kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…