Je, unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba kinyume na maumbile?

Je, unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba kinyume na maumbile?

Nilimpoteza mwanaume niliempenda kisa huu upuuzi. Sijui wapi tunaelekea
Ni upuuzi tuu wanadhani wasipojaribu sifa ya uanaume itapungua, hayo maponogarafia yanawaharibu sana.

Hizo connection wanazioangqlia za kinyume na maumbile ni ushetani watu hawajui kwa kuangalia akili zinatengeneza taswira kwny ubongo... anyway ni kuwaombea tu
 
Anasubiri nini kumuacha? Au ni njia ya kuwaita nyie kisailensa kuwa huduma ipoo. Mimi wala siwazi kwamba kuna siku husband ataomba hiyo kitu kwa sababu ananisikia mara kwa mara nasema kwamba mwanaume anaeomba kinyume na maumbile hyo ni tiketi ya mwanamke kuomba talaka maana hamtakii mema.
Baadhi ya wadada wanawanyima tigo waume zao wa ndoa, ila wanatoa tigo kwa michepuko Kalpana
 
Sema wapo wadada wengine wanawalazimiaha wenza wao wawaingilie kinyume na maumbile a.k.a ndogo dada unaonekana hata wewe uko miongoni mwao kwa maana ukuwa na haja kuomba ushauri bali ungechukua 50 zako sababu
1. Amekudharau yaan mwanaume anayemheshimu mwenzake hawezi kuongea jambo hilo hata kama hawara au mke

2. Amekuchukulia malaya hivyo unasubiri upate tatizo siku ukitaka kujifungua mtoto ni hayo tu.
 
Kama wewe ni mzima wa akili achana na huyo mwanaume kwasabab wanaume wanaopenda penda tigo wote wanamatatizo ya akili, ila kama unaweza kumvumilia chizi endelea nae, kama ndo kama mnavyosemaga kwamba "ila bado nampenda" mpe jicho maana wote machizi, kama umependa hela zake sasa ndo ugharamike.
 
Jamani unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba tigo? Ukimwambia hutaki huo mchezo anakaa baada ya muda fulani anakukumbusha tena anapenda nyuma, mbona mnataka kutuharibu wezenu tushindwe kukaa na watu kutwa kunuka bodi, hivi mwanaume wa namna hii anaweza akabadilika kwenye sita kwa sita au ana asili ya ushoga anazagamua wanaume wezake?

Hadi namuogopa jamani asije akani rape huko nyuma, mbona nitakosa amani hata kumwekea dog style maana ni style hatarishi hizi za kumgeuzia MTU mgongo jamani, nyie wanaume saizi mmebadilika sana, mpo busy kuwaza tigo kuliko mitandao mingine kwani tigo kuna GB ngapi huko ambazo unazikosa kwenye mitandao mingine?
Mdogo wangu...

Kama ni mpenzi tu unaweza kusepa. Na kama ni mume sina cha kushauri😅😅😅.

Hiyo kitu haitoki akilini ataendelea kuwa nayo milele na milele amina.
 
Jamani unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba tigo? Ukimwambia hutaki huo mchezo anakaa baada ya muda fulani anakukumbusha tena anapenda nyuma, mbona mnataka kutuharibu wezenu tushindwe kukaa na watu kutwa kunuka bodi, hivi mwanaume wa namna hii anaweza akabadilika kwenye sita kwa sita au ana asili ya ushoga anazagamua wanaume wezake?

Hadi namuogopa jamani asije akani rape huko nyuma, mbona nitakosa amani hata kumwekea dog style maana ni style hatarishi hizi za kumgeuzia MTU mgongo jamani, nyie wanaume saizi mmebadilika sana, mpo busy kuwaza tigo kuliko mitandao mingine kwani tigo kuna GB ngapi huko ambazo unazikosa kwenye mitandao mingine?
Hakuna wanaume wengine?Muendekeze tu.
 
Jamani unaweza kuwa na mwanaume ambaye muda wote anaomba tigo? Ukimwambia hutaki huo mchezo anakaa baada ya muda fulani anakukumbusha tena anapenda nyuma, mbona mnataka kutuharibu wezenu tushindwe kukaa na watu kutwa kunuka bodi, hivi mwanaume wa namna hii anaweza akabadilika kwenye sita kwa sita au ana asili ya ushoga anazagamua wanaume wezake?

Hadi namuogopa jamani asije akani rape huko nyuma, mbona nitakosa amani hata kumwekea dog style maana ni style hatarishi hizi za kumgeuzia MTU mgongo jamani, nyie wanaume saizi mmebadilika sana, mpo busy kuwaza tigo kuliko mitandao mingine kwani tigo kuna GB ngapi huko ambazo unazikosa kwenye mitandao mingine?
My dear akili kumkichwa, usijesema hukuambiwa. Ipo siku kama hutokubali kwa kupenda kwako basi atatumia nguvu alafu ndio utakua ushaleft group.
 
Back
Top Bottom