Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.

Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?

Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
 
Kwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning

Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
 
Kwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning

Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Walokole wanashida sana wapuuzie tu
 
Kwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning

Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
HELIKOPTA zilikuwa 3 siyo? Kwa hiyo moja tu ilombeba rais ndiyo ilopata shida ya ukungu?
 
HELIKOPTA zilikuwa 3 siyo? Kwa hiyo moja tu ilombeba rais ndiyo ilopata shida ya ukungu?
Ndio zilikuwa tatu(sina uhakika sana maana reporting ya Aljazeera wanaongelea helikopta moja tu iliyoanguka).Reporting za media nyingi duniani wanasema inaweza kuwa question of weather(Binafsi nimeangalia Aljazeera)

Jambo la Israel kuhusika au vinginevyo ni mapema.Yani unaweza kutoa hitimisho kizembe hivi
 
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.

Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?

Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
pyongyang kinachokukasirisha ni nini wewee?
 
Mshaambiwa hali mabaya ya hewa, sasa israel ndio kaweka hali mbaya ya hewa ama!!

Yule waziri wa israel ajali yake kulikuwa na mkono wa iran..

Binafsi nakubali ni hali mbaya ya hewa na siku zake zimetimia hakuna namna.
MKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.

Covax
 
Ndio zilikuwa tatu(sina uhakika sana maana reporting ya Aljazeera wanaongelea helikopta moja tu iliyoanguka).Reporting za media nyingi duniani wanasema inaweza kuwa question of weather(Binafsi nimeangalia Aljazeera)

Jambo la Israel kuhusika au vinginevyo ni mapema.Yani unaweza kutoa hitimisho kizembe hivi
Chezea Mossad weweee
 
Itakuwa ni ajali ya kawaida , japokuwa kuna maswali ilikuwaje wakaande helicopter kwenda nje ya nchi? Watu wa hali ya hewa hawakuwepo ili kuzuia wasisafiri kwenye ukungu?
Chezea Mossad wewee
 
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.

Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?

Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Mkumbuke, Iran ndiyo Taifa pekee lenye Full Islamic Theocratic Govt. Matukio yajayo Serikali kama hiyo haitatoa ushirikiano. An eye is still on Putin with his war on Ukraine
 
Back
Top Bottom