fukunyuku1234
JF-Expert Member
- Mar 12, 2024
- 243
- 494
Sijui hawakuuona ama!Kumpitisha Rais kwenye ukungu mzito nacho ni kipengele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui hawakuuona ama!Kumpitisha Rais kwenye ukungu mzito nacho ni kipengele!
Hali Ya Hewa Ni Hatari HubadilikabadilikaSijui hawakuuona ama!
Israel FOREVERKuna Matukio Unapigwa Alfu unajiuliza Sanaa Imekuwaje Hali hii Hapo Kwenye maswali MOSSAD NDO WANAPOPATAKA Ili Msipate Jibu Haraka Haraka Inakuwaje Hericopta ziwe 3 Alafu Hitilafu ipate Moja iliyombeba Rais ??????????????????????? ndio Maana ya Intelejensia ya Hali ya Juuuuuuuuu
MossadItakuwa ni ajali ya kawaida , japokuwa kuna maswali ilikuwaje wakaande helicopter kwenda nje ya nchi? Watu wa hali ya hewa hawakuwepo ili kuzuia wasisafiri kwenye ukungu?
Yani Mabus yatoke Dar yote yamefatana kuelekea Arusha, afu moja lina pinduka mnasema kuna mkona wa Israel 😄Kuna Matukio Unapigwa Alfu unajiuliza Sanaa Imekuwaje Hali hii Hapo Kwenye maswali MOSSAD NDO WANAPOPATAKA Ili Msipate Jibu Haraka Haraka Inakuwaje Hericopta ziwe 3 Alafu Hitilafu ipate Moja iliyombeba Rais ??????????????????????? ndio Maana ya Intelejensia ya Hali ya Juuuuuuuuu
Ni wao tu! Hata Ritz Malaria 2 FaizaFoxy Kosugi brazaj @alwaz na Covax wamejichimbia uvunguni mwa Vitanda vyao wakiogopa Israel! Hamas kwishaTunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.
Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?
Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Wewe ndiyo unajua! Kuishambulia Israel ilikuwa kosa kubwa! Iran president latest: Raisi’s life ‘at risk’ after helicopter crash in heavy fogChezea Mossad weweee
Hili nalo ni neno. Hiyo safari ilikuwa ni ya kufana kupona?Kumpitisha Rais kwenye ukungu mzito nacho ni kipengele!
na kwamba hyo "hali mbaya ya hema" hawakuiona ?! Au je ukungu ilitokea ghafla ?! Kama waliona hali hyo kmanini hawakuchukua hatua ?! Kama walijihakikishia kupita salama ? Je hawajawahi kupita katika "hali hiyo mbaya" ya hewa ?!Mshaambiwa hali mabaya ya hewa, sasa israel ndio kaweka hali mbaya ya hewa ama!!
Yule waziri wa israel ajali yake kulikuwa na mkono wa iran..
Binafsi nakubali ni hali mbaya ya hewa na siku zake zimetimia hakuna namna.
Huu utumwa wa kifikra sijui utaisha lini.MKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.
Covax
Ni makomando/makamanda wale.They care/fear nothing at all!na kwamba hyo "hali mbaya ya hema" hawakuiona ?! Au je ukungu ilitokea ghafla ?! Kama waliona hali hyo kmanini hawakuchukua hatua ?! Kama walijihakikishia kupita salama ? Je hawajawahi kupita katika "hali hiyo mbaya" ya hewa ?!
Huyo wamemfyatua tuu , sio rahs kiongozi mkubwa kama Yule kufia kizembe namba hyo , Kwa vyovyote ni hofu ya wayahudi ndo imepelekea kusafr kwenye chombo cha hovyo kisicho imara dhidi ya weatherItakuwa ni ajali ya kawaida , japokuwa kuna maswali ilikuwaje wakaande helicopter kwenda nje ya nchi? Watu wa hali ya hewa hawakuwepo ili kuzuia wasisafiri kwenye ukungu?