Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Kuna Matukio Unapigwa Alfu unajiuliza Sanaa Imekuwaje Hali hii Hapo Kwenye maswali MOSSAD NDO WANAPOPATAKA Ili Msipate Jibu Haraka Haraka Inakuwaje Hericopta ziwe 3 Alafu Hitilafu ipate Moja iliyombeba Rais ??????????????????????? ndio Maana ya Intelejensia ya Hali ya Juuuuuuuuu
Yani Mabus yatoke Dar yote yamefatana kuelekea Arusha, afu moja lina pinduka mnasema kuna mkona wa Israel 😄
 
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.

Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?

Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Ni wao tu! Hata Ritz Malaria 2 FaizaFoxy Kosugi brazaj @alwaz na Covax wamejichimbia uvunguni mwa Vitanda vyao wakiogopa Israel! Hamas kwisha
 
Screenshot_2024-05-19-23-11-58-69.jpg
 
Mshaambiwa hali mabaya ya hewa, sasa israel ndio kaweka hali mbaya ya hewa ama!!

Yule waziri wa israel ajali yake kulikuwa na mkono wa iran..

Binafsi nakubali ni hali mbaya ya hewa na siku zake zimetimia hakuna namna.
na kwamba hyo "hali mbaya ya hema" hawakuiona ?! Au je ukungu ilitokea ghafla ?! Kama waliona hali hyo kmanini hawakuchukua hatua ?! Kama walijihakikishia kupita salama ? Je hawajawahi kupita katika "hali hiyo mbaya" ya hewa ?!
 
Itakuwa ni ajali ya kawaida , japokuwa kuna maswali ilikuwaje wakaande helicopter kwenda nje ya nchi? Watu wa hali ya hewa hawakuwepo ili kuzuia wasisafiri kwenye ukungu?
Huyo wamemfyatua tuu , sio rahs kiongozi mkubwa kama Yule kufia kizembe namba hyo , Kwa vyovyote ni hofu ya wayahudi ndo imepelekea kusafr kwenye chombo cha hovyo kisicho imara dhidi ya weather
 
Back
Top Bottom