Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Kwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning

Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Kuna report wanausalama wa Iran wamevamia ubalozi wa India unafikiri kwann?
 
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.

Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?

Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Kuna baadhi ya matukio ya vifo vya viongozi yanatokea natural, mpaka pale uchunguzi utakapofanyika na kubaini sababu ya kifo. Huku kusema mara Mossad mara CIA, ni mazoea tuliojiwekea kutokana na matukio mbali mbali yaliyowahi kufanywa na mashirika mbalimbali ya kijasusi. Tusubiri majibu ya uchunguzi yatasemaje then tuchambue.
 
MKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.

Covax
Sasa ilikuwaje Hitler akawaua wayahudi Million 6?

Kingine hakutuma drones kuvamia ila alikua analipa kisasi kwa wayahudi kulipua balozi za Iran?

Kwahiyo Mungu anafurahia Israel kwenda kuua watu Syria ila Iran wakilipiza ndio anachukizwa? Kwa akili hizi no wonder Africa tupo nyuma
 
Ni kweli ni ajali ya kawaida tu, helcopter tatu zinafuatana ila "moja tu" tena "iliyombeba rais" ndio inaangushwa na ukungu huku nyingine zikichanja mbuga freeesh, na mpaka mda huu bado haijaonekana. Ni AJALI YA KAWAIDA TU.
Mbaya zaidi yaonesha hawakuwa na mawasiliano maana bodi guard alikuwa 1 tu, maana yake heli nyingine zilibeba bodigadi wengine ambao hawakujali kitu bali kusonga mbele
 
Sasa ilikuwaje Hitler akawaua wayahudi Million 6?

Kingine hakutuma drones kuvamia ila alikua analipa kisasi kwa wayahudi kulipua balozi za Iran?

Kwahiyo Mungu anafurahia Israel kwenda kuua watu Syria ila Iran wakilipiza ndio anachukizwa? Kwa akili hizi no wonder Africa tupo nyuma
Pale Syria Wairan wapo kwa ajili ya kuidhoofisha Israel.. ndio maana Idf inawatandika kila mara
 
Tayari nimeshakuwin kisaikolojia
Kuna makundi mawili ya hawa waabudu Shetani ambaye amejivika gwanda la mungu aitwaye Allah. Kundi la kwanza ni wale waabudu ambao wananufaika na mafundisho ya Allah (kuoa idadi ya wake wawatakao kuoa vitoto vidogo kama alivyofanya mtume kuoa Aisha akiwa na 6yrs, kufaidika kisiasa na mali) kundi hili hata uwahubirie vipi hawatamuacha shetani wao. Kundi la pili ni wale waliodanganywa na viongozi wao lakini wanamtafuta Mungu wa kweli. Kundi hili wanaipokea kweli ya Biblia ila kwa sasa bado wanakwazo kutoka huko kwa sababu ya kuogopa Sharia inayoagiza kila aliyeacha uislam auawe na pili wanaogopa waislam wenzao kuwatenga ktk jamii.
Huyu bwana yeye ni lile kundi la kwanza
 
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.

Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?

Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Anayetoa command ya mashambulizi ni kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah kwahiyo kama Israel ana uwezo huo wa kuuwa kiongozi wa juu wa Iran basi angemmaliza Ayatollah ambaye ndiye tishio la mataifa yote ya kishoga.
 
Sasa ilikuwaje Hitler akawaua wayahudi Million 6?

Kingine hakutuma drones kuvamia ila alikua analipa kisasi kwa wayahudi kulipua balozi za Iran?

Kwahiyo Mungu anafurahia Israel kwenda kuua watu Syria ila Iran wakilipiza ndio anachukizwa? Kwa akili hizi no wonder Africa tupo nyuma
Mkuu hawa Wayahudi weusi wanaishi huku wamekatwa vichwa. Yaani mtu anashupaza shingo kumuita Israel taifa teule.

Yaani Mungu ana taifa teule la wauaji, mashoga na magaidi?
 
Kwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning

Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Helicopter zingine mbili kwenye msafara huo hazikuona ukungu sikipokuwa iliyombeba yeye?
 
Kwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning

Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Kobaz effect.
Rais kapanda helicopta. Helcopta imeanguka. Helcopta ilioambatana nae imefika salama. Hali mbaya ya hewa wanausalama hawakuona hali ya hewa ni mbaya. ? Ok ilikua alipotoka nje ya taifa lake
Kama makamnda wakuu wanauwezo wa kuuawa ndani ya tehran kwa nn asiwezwe raisi.
Kisasi cha israel hiko amna haja ya kuficha.
 
Back
Top Bottom