Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tulio Wana wa ahadi wa Ibrahimu tuko na IsraeliTunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.
Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?
Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Ni 50/50Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza kisasi.
Je, ni kweli majasusi wa Israel wameweza kuingia kwenye mifumo ya mawasiliano ya Iran? Je, kama Israel imefanikiwa kutekeleza hujuma hii vita itaendelea?
Ipi kesho ya Iran kwenye mapambano haya ya uchumi, dini na siasa?
Inaumaaa eeeeh maamaeeHuu utumwa wa kifikra sijui utaisha lini.
Kwanini awe muuaji kiongozi wa taifa la kidini?mkiambiwa mnahalalisha uhalifu mradi tu uwe kiimani mnabisha,ndio maana points zenu ziko very shallow kama vyakula,mavazi,chooni uingieje and the alike.Historia imesoma kwa wakiristo? utadhani wakiristo wataandika historia nzuri?
JE,ukungu unaweza kutengenezwa au laa , aliyekuwa anajibu tukosalama wakati wanateketea alikuwa nanKwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning
Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Kumbe mkono wa Mungu umetuokoa wengi kwa kuwachukua watawala wenye roho mbaya kama shetani.Nimesoma historia yake, kwa kweli inatisha. Sikujua kama alikuwa mtu katili wa kiwango cha juu kiasi hicho dhidi ya wananchi wake.
Kuna wakati Mungu hutenda kwaajili ya kuwaokoa watu ambao kama kiongozi angeendelea kuishi, wangeteketea wengi. Huyu bwana alikuwa ni mkono wa chuma ambao haukuthamini uhai wa Wairan wengine, hasa wenye kuthubutu kumkosoa. Maandamano ya akina mama yalishuhudia mauaji ya watu zaidi ya 500. Lakini pia kabla yake alitoa idhini ya mauaji ya wafungwa zaidi ya 5,000 na majaji 6!! Leo naye amewafuata aliowatanguliza.
Uwe kiongozi, uwe tajiri, uwe msomi au maarufu kiasi gani, juu yako kuna mamlaka iliyo juu zaidi kuliko kiumbe chochote. Yawezekana kuna watu wenye ujuzi na uwezo mkubwa, walimtafuta, lakini wote walishindwa. Ila kwenye muda ulio sahihi, Mungu ametimiza mapenzi yake kwa namna aliyoitaka.
Wewe ni mpuuzi kama wapuuzi wengine, kwahiyo Israel ni taifa la Mungu na mengine ni mataifa ya shetani?MKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.
Covax
Man kuna story nyingi zinatengenezwa humu na sehemu kibao ambazo ni ngumu mtu kuja na conclusion kwamba ni ujasusi au ni Israel au ni ajali tu kama zingineJE,ukungu unaweza kutengenezwa au laa , aliyekuwa anajibu tukosalama wakati wanateketea alikuwa nan
ukiwa hapo Iran unaonaje hali watu wamepokeaje kifo cha huyo Chinja chinjaMan kuna story nyingi zinatengenezwa humu na sehemu kibao ambazo ni ngumu mtu kuja na conclusion kwamba ni ujasusi au ni Israel au ni ajali tu kama zingine
Hiko hivi katika Logic(reasoning),hili huweze kuchora hitimisho lako ambalo litasimama kama ukweli lazima tuone premises kibao ambazo ndio zitafanya hitimisho lako lisiwe na doubt na critism pia
Sasa mtu anakwambia ni ujasusi and blah! blah!.Ukiuliza nipe mpangilio mzuri wa mawazo yako mpaka umefika hapo hakuna.Sasa mnataka nani aje kuzoa uchafu wenu mnao dump hapa.
Hii habari baada ya investigation utapatiwa majibu ambayo yatasimama kama ukweli(and no one will question or doubt it) kwa sababu utapewa mpangilio wa matukio vizuri(kama Isreal yuko involved utaelezwa vizuri sio hizi hisia)
Taarifa iliyopo ni kuwa kiongozi(rais) wa Iran na wenzake wamefariki(hii ni fact and no one can question or debate on it) kwa maana wamefika eneo la tukio na kupata ukweli.The question of weather(ukungu hapa naongelea) inabaki kuwa premise ambayo pekee haiwezi ku-draw conclusion juu ya vifo vya hawa viongozi
Kuwa na subira,the final report will be out soon after investigation
Man siko Iran,mwenyewe nasoma habari kwenye media tu(Aljazeera is the source of information am relying on)ukiwa hapo Iran unaonaje hali watu wamepokeaje kifo cha huyo Chinja chinja
Wasalimie msikiti wa hidaya hapo magomeniMan siko Iran,mwenyewe nasoma habari kwenye media tu(Aljazeera is the source of information am relying on)
Kuhusu kupokea kifo kila mtu na mtazamo wake(kuna wanao furahi,wenye huzuni,ambao ni neutral kama mimi maana huyo kiongozi mwenyewe sijawahi kutana naye so why niwe na chuki juu yake)
Wanaofurahi labda waliumizwa na utawala wake au ni mkumbo tu.
Lakini ukweli utabaki kwamba we aren't divine creatures.so,no one is perfect.R.I.P to everyone
Hilo moja alitoe wapi?Mpaka sasa Israel goli 57........irani gol 1
Waliuwa kale kabint kwa drone mia700 umesahau mkuuHilo moja alitoe wapi?
Man am christian.Lakini hainifanyi niwe na negative attitude na Arabs(ambao most of them believe in Islam)Wasalimie msikiti wa hidaya hapo magomeni