Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Je, upo mkono wa Israel kwenye ajali ya Rais wa Iran?

Japo ni ajali,ila kwa kiongozi mkubwa wa nchi kutumia ndege iliyotengenezwa miaka zaidi ya 40 huko,pia nalo linafikirisha kwa Taifa kama Iran.......tena ndege ya mtu wanayemuona adui yao......na spea akawanyima
  • Ndege zilikuwa 3, imekuaje ndege ya raisi pekee ndiyo ipate ajali?
  • Imekuaje raisi kubebwa kwenye chuma chakavu tena kilichotengenezwa 1978 na USA?
 
Vipi uyahudi ni dini ya nani? Kwa wakristo Dini inayopinga kuwa Yesu sio Mungu sio ya shetani kweli?

Biblia gani? Nachojua Biblia inatambua wafuasi wote wa Yesu kama taifa teule?
Kwamba Budha sio ya shetani ila uislam pekee ni wa shetani? Nimeshajua una chuki tu za dini.
Biblia gani inasema haya? Unaweza nipa sura au mstari unaodai haya?
Dini ya Uislam ni shetani mwenyewe ndiyo Alimtokea mohamed na kumpa Quran (Quran 22:53) pia ktk Hadith hapo chini, inaonyesha moja kwa moja shetani ni Allah. Ktk Quran 19:83 yeye ndiye hutuma mashetani watusumbue. Je mtu mwenye mamlaka wa Kutyła mashetani ni nani kama siyo Shetani Mkubwa wao? Biblia imam tambura hivyo kuwa yeye neuter kiongozi wao
IMG_3386.jpeg
IMG_3590.jpeg
 
Hili tukio lingekuwa kinyume chake wale wa allah akbar wangekesha wakishangalia.
Watashangalia tu, Kwa kuwa Kila mwenye chuki na muuaji wa mwanadamu aliyezaliwa na akalelewa na Mungu hakika huyo mtu atakufa tena kabla ya wakati wake. Auaye atauawa- kabla ya wakati wake, haijalishi amemuua Nani!
 
MKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.

Covax
Yule mungu wa mashoga co????
 
Nimesoma historia yake, kwa kweli inatisha. Sikujua kama alikuwa mtu katili wa kiwango cha juu kiasi hicho dhidi ya wananchi wake.

Kuna wakati Mungu hutenda kwaajili ya kuwaokoa watu ambao kama kiongozi angeendelea kuishi, wangeteketea wengi. Huyu bwana alikuwa ni mkono wa chuma ambao haukuthamini uhai wa Wairan wengine, hasa wenye kuthubutu kumkosoa. Maandamano ya akina mama yalishuhudia mauaji ya watu zaidi ya 500. Lakini pia kabla yake alitoa idhini ya mauaji ya wafungwa zaidi ya 5,000 na majaji 6!! Leo naye amewafuata aliowatanguliza.

Uwe kiongozi, uwe tajiri, uwe msomi au maarufu kiasi gani, juu yako kuna mamlaka iliyo juu zaidi kuliko kiumbe chochote. Yawezekana kuna watu wenye ujuzi na uwezo mkubwa, walimtafuta, lakini wote walishindwa. Ila kwenye muda ulio sahihi, Mungu ametimiza mapenzi yake kwa namna aliyoitaka.
Yaan huna tofauti na zezeta
 
Inaweza ikawa ni ajali ya kawaida tu lakini inaweza ikawa pia ni kazi chafu ya MOSAD

Ndege zilikua 3 kwenye msafara lakini iliyopata shida ya hali hewa mbaya ni moja tu iliyobeba mtu muhimu kabisa kuliko wote kwenye msafara
Ila ndege zingine zika fika salama salimini

Inafikirisha sana
 
Alafu Nyie Waarabu Wa Buza kwa mpalange Muwe na Akili basi Wewe Una kuwa na kiburi na Wakubwa Alafu Unatumia Vyombo vyao vya Moto Si unatafuta kuungua tuu
 
Ndege moja tu tena ya Rais ndo iathirike na ukungu zingine mbili za raia zipete.Shughulisha ubongo!
Hata corona coron kuna walioathirika na hawakuathiriki kwa nini ww usiishirikishe ubongo kwanza. Hata tb kuna wanaopa na kuna wakuwa na kinga ni kawaida sana
 
Wenye akili ndogo yaani low IQ or poor reasoning ability kwao ni ajali ya kawaida…!! Na chanzo watasema ukungu, yaani bad weather with foggy day..!!

Wenye akili kubwa yaani highest IQ kwao si ajali ya kawaida, i am in this class,

Kuna sababu kubwa sana za kisayansi kuwa sio ajali ya kawaida, one is pilots failed even to declare emergency, yaani paap kimya kama wameuawa na Satellite laser weapon, pili, mabaki ya helicopter iliyoungua inasema mengi, kama imeunguzwa from outside source sio moto kwa mafuta ya helicopter, tatu, ELT ya helicopter haijaweza kutoa signal wapi ajali imetokea, yaani ELT kama imeunguzwa kabisa and failed to transmit emergency frequency to help search and rescue team to locate area of an accident, fourth, helicopter zingine mbili zimepita hapo hapo, wakati huo huo ktk msafara huo huo na hata kupata tatizo kidogo hakuna, ila helicopter ya Raisi tu iliteketea, Fifth, direct war between Israel and Iran ni sbb nyingine kubwa sana, Israel aliapa atalipiza kisasi kikali kwa Iran sbb ya makombora na drones za Iran kurushwa kwenda Israel ingawa 99.3% ziliangushwa kabla ya kufika Israel, all these huhitaji kujua kuwa hiyo haikuwa ajali ya kawaida.
 
Wenye akili ndogo yaani low IQ or poor reasoning ability kwao ni ajali ya kawaida…!! Na chanzo watasema ukungu, yaani bad weather with foggy day..!!

Wenye akili kubwa yaani highest IQ kwao si ajali ya kawaida, i am in this class,

Kuna sababu kubwa sana za kisayansi kuwa sio ajali ya kawaida, one is pilots failed even to declare emergency, yaani paap kimya kama wameuawa na Satellite laser weapon, pili, mabaki ya helicopter iliyoungua inasema mengi, kama imeunguzwa from outside source sio moto kwa mafuta ya helicopter, tatu, ELT ya helicopter haijaweza kutoa signal wapi ajali imetokea, yaani ELT kama imeunguzwa kabisa and failed to transmit emergency frequency to help search and rescue team to locate area of an accident, fourth, helicopter zingine mbili zimepita hapo hapo, wakati huo huo ktk msafara huo huo na hata kupata tatizo kidogo hakuna, ila helicopter ya Raisi tu iliteketea, Fifth, direct war between Israel and Iran ni sbb nyingine kubwa sana, Israel aliapa atalipiza kisasi kikali kwa Iran sbb ya makombora na drones za Iran kurushwa kwenda Israel ingawa 99.3% ziliangushwa kabla ya kufika Israel, all these huhitaji kujua kuwa hiyo haikuwa ajali ya kawaida.

Kwahiyo una uhakika gani kama ni israel ndie anaehusika, na sio ajali ya kawaida!

Helicopter ya kizamani ikichangiwa na hali ya ukungu kutanda, kwanini hili usiamini, ila umekazania ni israel ndie anahusika sbb ya kutoelewana!

Pili, majeshi yamefanya uchunguzi na kuonekana hakuna aliehusika
 
MKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.

Covax
Yesu wenu alitolewa rinder na kuuwawa ha huyo unaeimwita "mungu wa israhell"
 
Back
Top Bottom