Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Dah! Vp? hadi dk hii bado Iran hawajaweza hata kidogo kutoa fununu za kisababishi chenye mashiko kilichopelekea hadi chopa pekee lililombeba mvaa kobazi liathirike ilhali wenzake hawakudhurika?Ndege moja tu tena ya Rais ndo iathirike na ukungu zingine mbili za raia zipete.Shughulisha ubongo!