Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Natamani kufanya kazi za jioni-usiku baada ya mishemishe za asubuhi na mchana

kwenye malengo yangu ya mwaka huu ipo[emoji736]
Mkuu yaani... Wewe ndo unataka usiku usilale sio
 
Niliwahi kupiga sana kazi za usiku kipindi hicho tunaiba mafuta ya transformers (miaka hiyo yalikuwaga dili sana mjini)
Hivi ishu ya mafuta ya transfoma kutumika kwa chipsi ni kweli mkuu
 
Nimegee kadhaa nkusaidie kijana
 
Nimewahi kukesha mara 2 tangu nizaliwe moja nikiwa advance PCM nilitoboa mpaka asubuhi nikaona ni ngumu maana mchana wote nililala.
Pili nikiwa natoka dar kwenda Arusha na gari usiku siku zingine zote saa sita kama nimechelewa kulala
 
Kila mtu atakufa siku1, πŸ˜†!

Nipe mbinu kuu ya kupambana na baridi.
Pombe
Mashangzi

Alafu watoto wa huko sio wa asumbufu ukifika nambie nikuelekeze mitaa ya kiesa na triple 7
 
siku unapata demu wa kukuelewa na hizo energy drink zitakuwa zishafanya yake itakuwa double kutokuelewa.
 
Sawa sawa mkuu japo na balance..
Energy moja na chupa la maji moja hapo kikemia tunasema ratio ni water : energ ni 2:1
Hahaha sumu chupa moja ni chupa moja hata ukii dilute inabaki kuwa ujazo ule ule umeenda mwilini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…