Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #241
Aaaaah sasa wewe mkuu mbona bata sana unakua unakula kiyoyozi unacheki na muvi kabisaHospitali dirisha la dawa...
Kuna shifts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaah sasa wewe mkuu mbona bata sana unakua unakula kiyoyozi unacheki na muvi kabisaHospitali dirisha la dawa...
Kuna shifts
Kazi gani sasa...
Wewe huyu jamaa sio mlinziMlinzi uyo
Mgodini ni noma mkuuu ...Mi nilifanya mgodini. Aisee
Mchana naingia ofisini mkuuKwenye hela unachokaje si ulale mchana?
Unacheza gemu..Kawaida sana
Mimi sifanyi mambo ya kuingiza pesa usku ila nakesha kila sku
Saa5 ad saa 10pm nko zangu nakula ndwee na pembeni nacheza call of duty mobile
Usku ndo mda wangu wa kua free
😁😁😁😁😁😁Mwanaume halali anafumba macho tu
Sawa,endelea na kazi ya usiku kijana maana mapenzi yatakukondesha ubaki njiti.Faida ni kwa wewe kuwa umemchaguli mdogo wako kijan smart... 😁😁😁
Mkuu naona kuna topic muhimu hapo ila umeikimbiza chap chap an daaah....Sawa,endelea na kazi ya usiku kijana maana mapenzi yatakukondesha ubaki njiti.
Chemistry italeta faida gani kwake?Mkuu naona kuna topic muhimu hapo ila umeikimbiza chap chap an daaah....
Ebu tuongelee kuhusu mdogo ako
Yaan wewe hapo uwongoUsinywe energy kila siku ni hatari kwa afya yako. Mimi usiku ndiyo nakuwa more productive hasa kwenye programming natoboa mpaka asubuhi mara moja moja na play music.
Namaanisha kunipa mdogo ako bana achana na chemistry mkuuChemistry italeta faida gani kwake?
Ahahahaha mwanao ajambo kwanzaMbn kawaida sana binafsi nimeshazoea
Aaaaaah pablo ukizima beat nastukaaaaaaa.....Mimi naweza kuwa macho 48hrs bila kulala ni kazi tuu, ila kwenye kusoma hazipiti dakika tano nakuwa nimelala 😂
Wiki mara mbili au tatu,Nimeshawahi na bado nafanya kazi za usiku kwa week mara mbili au tatu
Na energy situmii
Oooh,kumbeWiki mara mbili au tatu,
RAtiba kama za hospital hizi.
Au unapasua pasua watu wewe 😁😁😁🙌🙌🙌Oooh,kumbe