Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Je, ushawahi kufanya kazi za usiku?

Mkuu hii issue ushawahi andika hapa jf...
Daah najikuta natamani sana kujua hii kitu ilikuaje maana kuna story huwa zinatembea mtaani kuwa walinzi wanakuwaga na bunduki bosheni yuu hazina kitu an
Sikuwahi kuandika popote na Leo ndiyo nkakomenti hapa hasa kisa Cha Mimi kuwepo jela .

Wapo ndugu na marafiki wengi hapa jamiiforums ninaojuana nao uso kwa uso ambao wanayajua madhira yaliyonikuta miaka kadhaa nyuma .

Siko tayari na Wala sitaweza kuandika kisa chore hapa kwa kuwaheshimu maboss wangu wa zamani Ila zaidi kuniheshimu taasisi yangu ya zamani na kiapo changu ,hivyo Kaka siwezi kuandika hapa .

Ila ni hayo niliyowahi kukutana nayo katika usiku wa manane na itoshe kusema usiku ule ulibadili maisha yangu mpaka leo na sijioni kuwa mpya tena zaidi najiona nishatumbukia katika uraibu nisioweza kuishi bila huo uraibu .

Kwaheri ,imetosha kwa leo ,Napambana najua maybe nitakuja kuwa sawa tena

Cc To yeye happy new year and merry Christmas .
 
Sikuwahi kuandika popote na Leo ndiyo nkakomenti hapa hasa kisa Cha Mimi kuwepo jela .

Wapo ndugu na marafiki wengi hapa jamiiforums ninaojuana nao uso kwa uso ambao wanayajua madhira yaliyonikuta miaka kadhaa nyuma .

Siko tayari na Wala sitaweza kuandika kisa chore hapa kwa kuwaheshimu maboss wangu wa zamani Ila zaidi kuniheshimu taasisi yangu ya zamani na kiapo changu ,hivyo Kaka siwezi kuandika hapa .

Ila ni hayo niliyowahi kukutana nayo katika usiku wa manane na itoshe kusema usiku ule ulibadili maisha yangu mpaka leo na sijioni kuwa mpya tena zaidi najiona nishatumbukia katika uraibu nisioweza kuishi bila huo uraibu .

Kwaheri ,imetosha kwa leo ,Napambana najua maybe nitakuja kuwa sawa tena

Cc To yeye happy new year and merry Christmas .
Daaah mkuu its so sad aiseee pole kwa yaliyokukuta aiseeee..

Mkuu pole sana daaah
Na imagine hyo siku uliyomla shaba huyo jamaaa daaah aiseeee
 
Kawaida sana
Mimi sifanyi mambo ya kuingiza pesa usku ila nakesha kila sku
Saa5 ad saa 10pm nko zangu nakula ndwee na pembeni nacheza call of duty mobile

Usku ndo mda wangu wa kua free
 
Pamoja mdau. Naomba nikuulize mdau, hivi minimum graphic card ya nvidia (gtx series) ipi inayofaa kwa bigginer? Maana nipitia review za mtandaoni ila sijapata chaguo sahihi
Daah mkuu sina utalamu sana wa graphic card..
Hata hvo kwa hayo maelzo ushanipiga Ko sijaelewa hata..But naposema kuwa uwe na graphics card kubwa namanisha unapoenda nunua unakuwa unapewa na specification zake...
 
Back
Top Bottom