[emoji23] [emoji23] jirani apo me ndo ninapopa shangaaaWapi anajipigia promo tu huyo.
Nina swali. Hivi mwanaume akimtaka mwanamke anatakiwa amwambie mwanamke amtafute au mwanaume mwenyewe anatakiwa aende jirani?
Au anakuogopa jirani?[emoji23] [emoji23] jirani apo me ndo ninapopa shangaaa
Me sijui jiraniAu anakuogopa jirani?
Unapitia jaribu zito saana jirani. Ila majaribu mtajiMe sijui jirani
Ntayashinda tu jirani katika yeye anitiaye nguvuUnapitia jaribu zito saana jirani. Ila majaribu mtaji
Yangu macho akutie nguvu tu wasije tokea wengine waliotumwa na shetaji wakakutia vingineNtayashinda tu jirani katika yeye anitiaye nguvu
Ni ngoma droo hata man huloweka huku na kulePole mdau..Ndo dada zetu walivyo,wanachovya huku na kule
SimuliaNikisimulia hapa wote mtanionea huruma
Fumanizi zuri ni lile la kupanga yan ushamshtukia nyenso zake mud mref alafu ukaweka mtego yn mpk raha
Leo nakukoti mkuu bichwa lako lina ufa nadhaniHiyo ndege uliyopanda labda ni mtumbwi..empty set