Uchaguzi 2020 Je, utabiri wa Mwalimu Nyerere kuwa upinzani wa dhati nchini utatoka ndani ya CCM kuanza kutokea katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu?

Aliwafukuza waliompinga....

Na kama taratibu ni pamoja na kikao...

Hakumfukuza kwa barua ya utenguzi[emoji3][emoji3]
 
Membe hana hata nusu ya ule ushawishi wa Lowasa wa 2015 ndani na nje ya CCM.

Mnaotegemea muujiza kutoka kwake mnapoteza muda tu.
 
Hiyo ya Nyerere kuwa upinzani utatoka CCM ilisha timia - ni Lowassa aliyeitimiza
 
Kwa hiyo kafukuzwa na mkutano mkuu au halmashauri kuu na cc ikaridhia?
Hapana

Hajafukuzwa na mkutano Mkuu wala Halmashauri Kuu, bali ni hiyo Kamati Kuu ambayo katika utawala huu wa awamu ya tano "inajimwambafai" na kujona yenyewe ni sawasawa na mungu mtu
 
Membe ni another false hope..
As long hakuna katiba mpya hata aje nani hana atakachopata
Membe ni sehemu ya game wanayo-play CCM kuendelea kuwa madarakani kirahisi.

Haya ni maigizo tu, ndio maana anaongea bila vitendo, hutamwona akienda kuchukua form.

Wapinzani nao kwa kukosa focus wanashabikia haya maigizo yatakayowapoteza.

Na kwa uhakika miezi michache after election hutasikia hizi mbwembwe za Membe kama ilivyo kwa Lowassa sasa.
 
Hiyo hali ya kumtetemekea huyo Magu, ndiko ambako kwa ujasiri mkubwa Mheshimiwa Membe amekugomea.......

Na yeye mwenyewe amesema upo umati mkubwa sana wa wanaccm ambao wapo nyuma yake, ambao hawakubali mfumo wa utawala wa hivi sasa wa ONE MAN SHOW
Unahangaika bure tu na huyo Membe wako!
Nakushauri rudi nyuma utafute threads za kuanzia julai 2015 kuelekea uchaguzi mkuu utajifunza kitu. Na uhakika ukisoma zile nyuzi utagundua kumbe hapa unafanya kazi ya kuchosha.
 
Mi hata sijui utatoka wapi
 
Wacha uongo.. sanduku la kura halihusiki kwny ushindi awamu hii
antimatter
Bora umemwambia ukweli huyo kada wa Lumumba

Kwani yeye hajui kuwa katika awamu hii ushindi unapatikana kwa kuporwa masanduku ya kura waziwazi, kwa kutumia mitutu ya bunduki?
 
Unahangaika bure tu na huyo Membe wako!
Nakushauri rudi nyuma utafute threads za kuanzia julai 2015 kuelekea uchaguzi mkuu utajifunza kitu. Na uhakika ukisoma zile nyuzi utagundua kumbe hapa unafanya kazi ya kuchosha.
Mbona swali langu la msingi hutaki kunijibu, je ni halali Membe kufukuzwa kupitia kikao cha Kamati Kuu pekee?
 
Mbina swaki langu la msingi hutaki kunijibu, je ni halali Membe kufukuzwa kupitia kikao cha Kamati Kuu pekee?
Kwani Membe amekwambia kuna kamati gani nyingine inapaswa kumfukuza?

Je, hiyo kamati imeshakaa kikao? May be ikikaa ndio itamfukuza? Kwani kuna timeframe kwamba ni lazima hiyo kamati ikae ndani ya muda flani ili kuridhia kufukuzwa kwa Membe?
 
~Labda mbingu igusane na ardhi sio kwa utawala huu...zzm!
 
Hio fomu atapatia wapi.
 
~Labda mbingu igusane na ardhi sio kwa utawala huu...zzm!
Wewe unawaza kibinadamu na Mungu ana mipango yake........

Lisilowezekana kwa binadamu, linawezekana kirahisi sana kwa Mungu wetu Mkuu kushinda vitu vyote
 
Bado.. kikao kilichomfukuza ni batili kwa mujibu wa katiba, hivyo bado ni mwanachama hai
Sasa kama Membe anaona hajafukuzwa chama, mwambie form hazipatikani twiter!
Mwambie aende makao makuu ya ccm akachukue form aache kelele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…