Namba 7 ni sifa yake kubwa1. Kupenda Dini na Kusali sana.
2. Kupenda Utani na Ucheshi.
3. Kukitukuza Kiswahili na Kujivunia Kukiongea Kiufasaha...
Tuko kwenye msiba.Popoma laongea kwa busara kwa mara ya kwanza toka lijiunge jamiiforum.
Wanyama tulivyokuwa nao wengi halafu rais achukue wachache kuuza inakuwa ishu ,Ile kashfa ya kuuza Wanyama kwa kupitia Mama Siti, wengi mlikua hamjazaliwa
Umesema kweli.Namba 7 ni sifa yake kubwa
ni Mwinyi pekee ndie hakujaribu kupandisha mabega akiwa Amiri jeshi , marais wote watano wengine kuna nyakati walikuwa wanajisahau na kujiona kama vile hawajaumbwa kwa udongo
Daima tutamkumbuka Mzee ruksa.1. Kupenda Dini na Kusali sana.
2. Kupenda Utani na Ucheshi.
3. Kukitukuza Kiswahili na Kujivunia Kukiongea Kiufasaha.
4. Kuridhika na Maisha aliyonayo huku akipenda sana Kula Vyakula vya Kiasili na vya kuutunza Mwili kwa muda mrefu.
5. Kupenda mno Mazoezi hasa ya Kutembea kwa Miguu kwa Umbali mrefu.
6. Huruma,, Kusamehe na kutokiwa na Kinyongo na Mtu hasa hasa Adui.
7. Kutopenda Kujitukuza kama Kiongozi na kupenda Ushirikiano na Watu na kuwa mwepesi Kushaurika na Kujifunza.
Pumzika Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Alhaji Ali Hassan Mwinyi hakika Mwendo Umeumaliza na huna baya hata kama lipo Watanzania tulishakusamehe Kitambo na Uhai wako huu mrefu ulikuwa ni Zawadi na Faraja kwetu.
Ulale mahala pema. Peponi AHM.
hahahahahahhaaa Dah utakua unataniaWanyama tulivyokuwa nao wengi halafu rais achukue wachache kuuza inakuwa ishu ,
Watu wanaroho ya kwanini sana
R.I.P The Rt. Hon. Pres. Ali Hassan Mwinyi1. Kupenda Dini na Kusali sana.
2. Kupenda Utani na Ucheshi.
3. Kukitukuza Kiswahili na Kujivunia Kukiongea Kiufasaha...
Yes, kama kweli amerithi hiyo namba 6.R.I.P The Rt. Hon. Pres. Ali Hassan Mwinyi
kama kweli umeyarithi hayo yote kwa huyu Mzee,
basi sitegemei kuona onyo, vitisho wala angalizo kwenye bandiko zako zinazofata...π
Mzee wetu Mwinyi azikwe kwenye ardhi ya chimbuko lake (Tanganyika yetu)Salaam,
Leo Februari 29, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi. Soma...
Alisimama jukwaani akasema, "anayetaka kula chura na ale asiwepo mtu wa kumpangia ale nini na akiwa wapi"Je, wewe utamkumbuka Mzee wetu huyu kwa mambo gani hasa?
Ndiyo hapo ujue kwenye mambo ya imani watu wengine wamepinda ubongo, yule kijana sijui alifikiria nini lakini ajabu Mzee Mwinyi hakuchukiaRais wa kwanza Kupigwa Kofi hadharani na raia.