kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Ulitakiwa useme kipindi hicho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitakiwa useme kipindi hicho!
Kuna watu flani flan walisema mama ndio anawauzia wanyama wetu kisa alienda nchi zao hukoHapn Ni mwinyi ndio amewapa eneo Hilo kwa Mika 2000
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sisi wa toka utawala wa Mwalimu tutamkumbuka Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi kwa meniSisi tulijaaliwa kuishi awamu zote za uongozi tutamkumbuka kwa aliyoyafanya ile awamu ya kwanza ya uongozi wake
LoliondogateSalaam,
Leo Februari 29, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi. Soma: Thread 'Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia' Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Kunako Utawala wake Hayati Mwinyi alifanya mambo mengi na kuacha historia kupitia Utawala wake na sera zake.
Mimi nitamkumbuka zaidi namna alivyoifungua nchi kupitia sera yake ya ruksa Miaka ya 1990.
Je, wewe utamkumbuka Mzee wetu huyu kwa mambo gani hasa?
Kuna zee la ovyo lili dinya hadi mama yake mzazi ....ila ndiyo hivyo wema hawafiSalaam,
Leo Februari 29, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi. Soma: Thread 'Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia' Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Kunako Utawala wake Hayati Mwinyi alifanya mambo mengi na kuacha historia kupitia Utawala wake na sera zake.
Mimi nitamkumbuka zaidi namna alivyoifungua nchi kupitia sera yake ya ruksa Miaka ya 1990.
Je, wewe utamkumbuka Mzee wetu huyu kwa mambo gani hasa?
Hakuwa na roho ya kutu au fitna. Nakumbuka kisa chake na Waziri mmoja aliyechukua nafasi yake baada ya Mzee Mwinyi kujiuzuru u-Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi. Kisa kilihusu mzigo wa saruji na mabati. Mzee aliporwa bati zake na saruji, lakini alipokwaa u-Rais miaka michache baadaye, alimteua mtu huyohuyo kuwa Waziri..!Salaam,
Leo Februari 29, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi. Soma: Thread 'Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia' Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Kunako Utawala wake Hayati Mwinyi alifanya mambo mengi na kuacha historia kupitia Utawala wake na sera zake.
Mimi nitamkumbuka zaidi namna alivyoifungua nchi kupitia sera yake ya ruksa Miaka ya 1990.
Je, wewe utamkumbuka Mzee wetu huyu kwa mambo gani hasa?
Pia aliweza kusema ukweli hadharani kwa kuzikubali Kaz za magufuli kwamba Wai mwemshindwa kufanya mamb makubwa lkn magufuli wewe umeweza aliyaongeaa hadharani hayo1. Kupenda Dini na Kusali sana.
2. Kupenda Utani na Ucheshi.
3. Kukitukuza Kiswahili na Kujivunia Kukiongea Kiufasaha.
4. Kuridhika na Maisha aliyonayo huku akipenda sana Kula Vyakula vya Kiasili na vya kuutunza Mwili kwa muda mrefu.
5. Kupenda mno Mazoezi hasa ya Kutembea kwa Miguu kwa Umbali mrefu.
6. Huruma,, Kusamehe na kutokiwa na Kinyongo na Mtu hasa hasa Adui.
7. Kutopenda Kujitukuza kama Kiongozi na kupenda Ushirikiano na Watu na kuwa mwepesi Kushaurika na Kujifunza.
Pumzika Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Alhaji Ali Hassan Mwinyi hakika Mwendo Umeumaliza na huna baya hata kama lipo Watanzania tulishakusamehe Kitambo na Uhai wako huu mrefu ulikuwa ni Zawadi na Faraja kwetu.
Ulale mahala pema. Peponi AHM.
Kipindi akiwa RAIS WA ZANZIBARI aliruhusu gari aina ya "PICK-UP" maarufu kama CHAI MAHARAGE kubeba abiria 🙏🏾Salaam,
Leo Februari 29, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi. Soma: Thread 'Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia' Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Kunako Utawala wake Hayati Mwinyi alifanya mambo mengi na kuacha historia kupitia Utawala wake na sera zake.
Mimi nitamkumbuka zaidi namna alivyoifungua nchi kupitia sera yake ya ruksa Miaka ya 1990.
Je, wewe utamkumbuka Mzee wetu huyu kwa mambo gani hasa?
Kuna familia moja ya waarabu wa Mombasa ( akina Akasha) wauza madawa ya kulevya mmoja wao alikamatwa hapa nchini, mzee Ruksa akamuachia!!Ile kashfa ya kuuza Wanyama kwa kupitia Mama Siti, wengi mlikua hamjazaliwa
Loliondo na uwanja wa mpira wa kikapu wa gymkhanaSalaam,
Leo Februari 29, 2024 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassan Mwinyi. Soma: Rais wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia
Kunako Utawala wake Hayati Mwinyi alifanya mambo mengi na kuacha historia kupitia Utawala wake na sera zake.
Mimi nitamkumbuka zaidi namna alivyoifungua nchi kupitia sera yake ya ruksa Miaka ya 1990.
Je, wewe utamkumbuka Mzee wetu huyu kwa mambo gani hasa?
Yule mama aliefungwa iringa kwa Nyama ya swala ila jiwe alieibiwa tausi wa mjengoni hakuguswaWanyama tulivyokuwa nao wengi halafu rais achukue wachache kuuza inakuwa ishu ,
Watu wanaroho ya kwanini sana
Yule dogo aliempiga kofi mzee Mwinyi alikuwa na matatizo ya ki afya alisona tabora boys lakin mwishoni kama alichanganyikiwa vile dini ilimkaa vibaya sanaPale Mzee aliteleza,Ila mpiga Kofi naye akili Hana,ule ushauri ni sawa na polisi kushauri wezi njia nzuri na salama ya kuiba,Nina Imani mzee alifanya toba