Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Magufuli ameacha nini? Ameacha wizi wa Tsh 2.4 Trilion, chuki dhidi ya upinzani, ubaguzi wa maendeleo kwa kupendelea Chato, umalaya kwa akina Jokate na Kairuki, matusi kwenye majukwaa, kuropoka, ubishi wa Corona mpaka imemuua, uuaji wa akina Ben Saanane na Azory Gwanda, utekaji wa akina MoDewji, maonezi kwa akina Eric Kabendera na Tito Magoti na dharau kwa wanawake tu.

Atakumbukwa kwa UDIKTETA, kukandamiza Demokrasia, Wizi wa uchaguzi Serikali za Mitaa 2019, wizi wa kura uchaguzi Mkuu 2020, kuvunja Katiba, kudhibiti Bunge na kuitishia Mahakama. Vilevile kuminya uhuru wa kujieleza na kuitishia vyombo vya habari.

Nani atanikamata leo nikisema Magufuli alikuwa muuaji? Hakuna kwa vile Rais SSH anakubali kukosolewa kwa misingi ya Sheria.
Ubungo unapita haupiti? Tazara unapita hupiti? Mbezi unapita hupiti? Hospital unaenda huendi? Vyeti feki vipo havipo? Msoga gang walikuwepo au walidhibitiwa? Bwawa la umeme linajengwa au la?SGR ipo au haipo? Ni kazi ngumu sana kuongoza washenz washenz wasiojua nchi inapaswaaa kuwaje? Democrasia unaijua ww? Niambie nchi yenye democrasia hata moja duniani? Watu kama nyie ni kuwalima shaba tu pumbavuu mnatucheleweshea maendeleo..tazama sasa hv mswahil anachofanya..
 
Jitu roho mbayaa nani alikumbuke, nyie sukuma gang veepeeee, we ukitaka kujua lilikua na roho mbaya angalia hata mkewe alivyonawiri baada ya lenyewe kufwa, crap kabisa lile jamaa
 
Hatutaki mtu asimamie anaochokiamini na anachokijua kwa sababu kama anajua matunguri na consiparcy ni janga zaidi ya C19. Tunataka kuongozwa na Sayansi ya kisasa kama binadamu waliostaarabika.
Nini maana ya kustaarabika???
Sayansi ya kisasa???
So ulitaka lockdown????
Empty tin
 
Wahusika wote waliofanya hiyo crime against humanity akiwa ni pamoja na mwendakuzimu wanatakiwa watambuliwe rasmi ili kuweka kumbukumbu za historia vizuri na walio hai washtakiwe ili walipe gharama za uovu wao waliotenda.
It won't save any purpose.....
kuzimu ni swala mtambuka hatujui kama kupo au hakupo......
so relax bro usije pata stree then troke....!
 
It won't save any purpose.....
kuzimu ni swala mtambuka hatujui kama kupo au hakupo......
so relax bro usije pata stree then troke....!
Sitarelax kwa sababu yeye wakati akiwa hai hakurelax katika kuteka watu,kutesa,kuua, kufanya ukabila,udini,ukanda,ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzie,wateule wake kubaka na kulawiti(akina Sabaya),kunyang'anya watu haki zao za kidemokrasia,kuua uhuru wa kujieleza,kuua uhuru wa vyombo vya habari,kuua uchumi,kudanganya katika takwimu za uchumi na kadhalika.

Nitaendelea kufanya haya ninayoyafanya ili kuwakera wafuasi wake waliokuwa wanamuunga mkono kwa sababu njia za kutafuta haki dhidi ya wale waliofanyiwa maovu haya zimefungwa na mifumo laghai tuliyonayo na ambayo aliitengeneza yeye.
 
Nini maana ya kustaarabika???
Sayansi ya kisasa???
So ulitaka lockdown????
Empty tin
Nilitaka Chanjo na lile banda la nyungu pale Muhimbili liwe kuni za kukaangia mihogo.
Pia ile juice aliyokuja nayo Kabudi kutoka Madagascar wagaiwe watoto wa shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko.
 
Sitarelax kwa sababu yeye wakati akiwa hai hakurelax katika kuteka watu,kutesa,kuua, kufanya ukabila,udini,ukanda,ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzie,wateule wake kubaka na kulawiti(akina Sabaya),kunyang'anya watu haki zao za kidemokrasia,kuua uhuru wa kujieleza,kuua uhuru wa vyombo vya habari,kuua uchumi,kudanganya katika takwimu za uchumi na kadhalika.

Nitaendelea kufanya haya ninayoyafanya ili kuwakera wafuasi wake waliokuwa wanamuunga mkono kwa sababu njia za kutafuta haki dhidi ya wale waliofanyiwa maovu haya zimefungwa na mifumo laghai tuliyonayo na ambayo aliitengeneza yeye.
Endelea utachoka mwenyewe
 
Katiba pia inasaidia maana inaongeza uwajibikaji. Mfano Rasimu ya wariona

Mfano wabunge wanaweza pinga bajeti

Bunge linaweza mtumbua waziri

Bunge lenyewe linawajibika kwa wananchi so akishindwa kufikia KPI anafukuzwa kwa majority vote ya jimboni.

Mahakama inakua guaranteed uhuru tofauti na sasa ambapo inaenda na tune za Rais husika.

Bunge linashindwa kuwa na meno hata ripoti ya CAG ikipelekwa sababu wabunge ni lazma wawe na chama so wakipinga serikali wanaweza vuliwa uanachama ila kwa warioba bado unabaki kma mgombea binafsi.

Mambo ni mengi ikiwemo kupunguza post za kisiasa ili kila nafasi iwe accountable kwa wananchi directly.

To be honest hta kma waafrika hatuna ustaarabu ila katiba mpya ikiweka clear lines of authority walau kuna asilimia ya ustaarabu inaongezeka. Rejea south Africa na Kenya
Naheshimu mawazo yako.
 
Watu kupotezwa bila kujua walipo ..kunyonga Uhuru na demekrasia .kufujuza wafanyakazi bila kuwalipa..nitamkumbuka kwa hayo jp up mengine.meeeeeeengiiiiiiii saaaaaaanaaaa
 
Watu kupotezwa bila kujua walipo ..kunyonga Uhuru na demekrasia .kufujuza wafanyakazi bila kuwalipa..nitamkumbuka kwa hayo jp up mengine.meeeeeeengiiiiiiii saaaaaaanaaaa
Kwani ndio hayo tu uliyohadithiwa kuhusu utawala wa Magufuli?
 
Vipi kuhusu familia ya Ben Saanane au Azory Gwanda ambayo mwendakuzimu aliwaua kikatili na kuwapoteza wasome hiyo posti yangu?

Vipi kuhusu famili za Zanzibar ambazo mwendakuzimu aliua watu wake pamoja na kusababishia watu wake vilema wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020 wasome posti yangu hiyo?View attachment 1897720
Lete ushahidi sio blabla..
 
Jitu roho mbayaa nani alikumbuke, nyie sukuma gang veepeeee, we ukitaka kujua lilikua na roho mbaya angalia hata mkewe alivyonawiri baada ya lenyewe kufwa, crap kabisa lile jamaa
Hujawahi kuona watu wananepa mwezi wa ramadhani na wakati mchana mzima wanashinda njaa? usipokuwa makini unaweza kusema njaa inanenepesha.
 
Shujaa wa Tanzania kwa ujumla wake. Nidhamu Serikalini, Miradi yote ya kimkakati pamoja na kuongeza Hospitali kila mahali, wachilia mbali barabara za lami kila kona. ''Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.''

Fedha ya Tanzania ikarudi kuwa na hadhi wakati wote wa uhai wake. Wale walanguzi uchwara waliokuwa wana-biashara na pesa za walipa kodi walipotea jumla.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Back
Top Bottom