We mkumbuke Bibi yako pale kijijini inatoshaHuyu mtu hata iweje sitokaa nimkumbuke. Sijui ni kwann?
Naona wanalazimisha tukumbuke mateso tuliyopitia watanzania.Na kweli. Maana kumkumbuka muuwaji ni ngumu sana
Sema unamkumbuka wewe, mimi simkumbuki wala sitamkumbuka kamweHakika Mwendazake alijua walalahoi wanahitaji Nini Ni Kama vile Mzee Makamba alivyo jua wana KGM,TA na DSM walihitaji nini katika wakati wake.
Hakuna shida endelea kulinda kaburi la munguNaishi chato
Kwani kuna shida?
Hakika Mwendazake alijua walalahoi wanahitaji Nini Ni Kama vile Mzee Makamba alivyo jua wana KGM,TA na DSM walihitaji nini katika wakati wake.
Hakuna Mwendazake alijua walalahoi wanahitaji Nini Ni Kama vile Mzee Makamba alivyo jua wana KGM,TA na DSM walihitaji nini katika wakati wake.
Hakuna shida endelea kulinda kaburi la mungu
Daima Nitamkumbuka Rais Wa Wanyonge Magufuri. Hakika ulitupigania Baba.
Pumzika kwa Amani.
Daima Nitamkumbuka Rais Wa Wanyonge Magufuri. Hakika ulitupigania Baba.
Pumzika kwa Amani.
Mi nikimkumbuka nakuwa kama navyomkumbuka ibilisi...Huyu mtu hata iweje sitokaa nimkumbuke. Sijui ni kwann?
Ukiwaambia wanywe sumu wamfuate hawataki...Mmetuchosha mno na maneno yenu ya kila cku. Nendeni basi mkamfufue co kulalamika,, au mwambieni gwajima wenu amfufue kama uwezo huo anao.