moja ya kauli iliyokuwa inasikika kama ya kawaida katika masikio ya Watanganyika ni hii ya aliyokuwa akiitamka Rais Dr. Magufuli.

shida ya Watanganyika ni kufumbwa katika mijadala ya kijinga ya Simba na yanga. wapo tayari kusikiliza kwa umakini na kuchukua hatua juu ya masuala ya Simba na yanga lakini katu huwezi kuwasikia wakijadili chochote juu ya kauli tafakarishi hasa za viongozi wakuu.

kauli ya Rais Dr. Magufuli leo inatimia. nchi ishaanza kuchezewa tayari. kundi la wapigaji wasiokuwa na huruma wanaidhibiti nchi kwa uwekezaji wa kifisadi na rushwa.

Watanganyika tujipange hawa Wakojani na vibaraka wao hawafiki hata 100. washaanza kuwapanga wana wa vizazi vyao katika nafasi za uongozi kwa lengo lilelie...kuiweka nchi chini ya familia fulani. halafu sisi watoto wa wengine tunatoana ngeu katika kugombania UCHAWA.

watanganyika amkeni.
 
Revolution kwa nchi yenywe watu milion karibu 60...lkn waliopata elimu had kidato cha nne hawazidi million 10...nchi hii watu kuamka n had sku aone njaa inamuuwa akiwa kijijin huko huko
 
Kuna watu wao Kilio kila siku ni kulia na kulalama tu.

Hhmmmm haas hmmmm mnyonge mm hhhs nchi nsiiiii kuchezewa hiiii.
 
Magufuli mwenyewe alikuwa hapendi mijadala ya kisiasa, labda ile ya kumsifia. Ni mnafiki mkubwa, afadhali amekufa
 
Watu mnapenda kujichosha! Subirini kwa utulivu. 2030 siyo mbali.
 
Revolution kwa nchi yenywe watu milion karibu 60...lkn waliopata elimu had kidato cha nne hawazidi million 10...nchi hii watu kuamka n had sku aone njaa inamuuwa akiwa kijijin huko huko
Kweli labda chumvi iadimike ndipo watajitambua
 
MATAGA wameomba commercial break waburudishe kidogo kwani siku bado ni ndefu😁😁😁
Your browser is not able to display this video.
 
WiFi kila sehem mazingira yanavutia kwa mbali unasikika mziki mzuri kutoka kwa Ed sheeran, I found a love, to carry more than just my secrets, To carry love, to carry children of our own 🎶🎶

Anyways, hakuna rais atakuja kutokea kama magufuli. Tukisema hivi kuna watu wanaona wivu. Nyie oneni wivu tu ila huo ndo ukweli.
 
NAANDIKA HIVI ILI MODERATORS MSINIBLOCJ......
Sysyemu mara zote ni wapuuzy mlioshindwa na mtajuta milele...
NADHANI WACHAWI HAMTANILOGA NIFUNGIWE... naskia ili kauli 'unanijua mimi nani wewe' ETI IMERUDI MTAANI
...
 
Unazungumzia ule wa chato? Kama ni terminal 3 ya Jk Nyerere nakusanua kuwa ujenzi wake ulianza awamu ya Kikwete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…