Mshamba huyo anajua wapi? Halafu WiFi ya airport ipo miaka kibao ukishacheck in kule unaipata free tu miaka kibao mshamba ashazoea kupanda punda anataka tujue amepanda ndege kwa mara ya kwanza maana mtu aliyezoea hivyo vitu vipo miaka mingi tu.Unazungumzia ule wa chato? Kama ni terminal 3 ya Jk Nyerere nakusanua kuwa ujenzi wake ulianza awamu ya Kikwete.
Uwanja wenyew wa chato mnaupaishaga wkt ni kiwanja local tu km vya wilaya nyingine , sujui hamkutaka wilaya ya Chato isiwe na kiwanja cha ndege ?Unazungumzia ule wa chato? Kama ni terminal 3 ya Jk Nyerere nakusanua kuwa ujenzi wake ulianza awamu ya Kikwete.
Ukichaa ukonao dhahiri kapimweMshamba huyo anajua wapi? Halafu WiFi ya airport ipo miaka kibao ukishacheck in kule unaipata free tu miaka kibao mshamba ashazoea kupanda punda anataka tujue amepanda ndege kwa mara ya kwanza maana mtu aliyezoea hivyo vitu vipo miaka mingi tu.
Mshamba wahedi. Halafu airport kajenga Kikwete sio huyo Magufuli wenu. Tena alisimamisha ujenzi alipoingia takribani miezi saba. Ushamba tu chukua manati ukawinde kware pumbavu.
Jizi, jambazi, liuaji, roho mbaya, liehu. Mungu uhimidiwe kwa matendo yako makuuWiFi kila sehem mazingira yanavutia kwa mbali unasikika mziki mzuri kutoka kwa Ed sheeran, I found a love, to carry more than just my secrets, To carry love, to carry children of our own 🎶🎶
Anyways, hakuna rais atakuja kutokea kama magufuli. Tukisema hivi kuna watu wanaona wivu. Nyie oneni wivu tu ila huo ndo ukweli.
Mfufueni basiWiFi kila sehem mazingira yanavutia kwa mbali unasikika mziki mzuri kutoka kwa Ed sheeran, I found a love, to carry more than just my secrets, To carry love, to carry children of our own 🎶🎶
Anyways, hakuna rais atakuja kutokea kama magufuli. Tukisema hivi kuna watu wanaona wivu. Nyie oneni wivu tu ila huo ndo ukweli.
Jamani hata daraja la kigamboni mliamua kumpa magufuli? Daraja lilijengwa na j.k tena kuna scandal ya ufisadi mkubwa unaomhusu bwana dau kwenye hili daraja leo imekuwa kuwa kajenga magufuli? Barabara zote mmempa magufuli hata daraja la kigamboni? Watanzania tuna kumbukumbu fupi
Maniner izo picha zina mb nyingi ivyo afu nimezifungua mleta mada ni famba sana wewe
Wapigaji hela wanaanzishaga miradi mingi , wanakula hela, miradi haiishi. MAGUFULI alisimamia miradi mingi iishe. Na ni kweli airport mpya ya dar iko na hadhi ya kimataifa.WiFi kila sehem mazingira yanavutia kwa mbali unasikika mziki mzuri kutoka kwa Ed sheeran, I found a love, to carry more than just my secrets, To carry love, to carry children of our own 🎶🎶
Anyways, hakuna rais atakuja kutokea kama magufuli. Tukisema hivi kuna watu wanaona wivu. Nyie oneni wivu tu ila huo ndo ukweli.
Utakufa na migundi gundi ya roho ulio nayo hivyo...Unavyosema kuwa hakutakuja kutokea Rais kama Magufuli maana yake ni kwamba umekudharau kizazi chako cha sasa na cha baadaye.
Kwakweli nilipumzika kumkashifu huyo marehemu nikamwacha atumikie adhabu zake za kuzimu ila wewe umeniamsha.
Magufuli ni mshenzi sana kama washenzi wengine waliowahi kutokea duniani.
Haiwezekani umuue Raia mwenzako ili kulinda kit chako kwa kisingizio cha unapigana vita ya kiuchumi.
Yule mzee ni jehanamu direct, hata kauli yake ya mwisho kabla hajakata roho ni ya kipumbavu iliyojaa ujinga , ni dhahiri kifo kilimpata kama mtego umnasavyo paa.
Yeah umeongea kweli kabisa mkuu!Wapigaji hela wanaanzishaga miradi mingi , wanakula hela, miradi haiishi. MAGUFULI alisimamia miradi mingi iishe. Na ni kweli airport mpya ya dar iko na hadhi ya kimataifa.