Duuuhhh
 
Utakufa na migundi gundi ya roho ulio nayo hivyo...

He will always be remembered as the best president to happen in Tanzania japo ametumikia kwa muda mchache. Waliomuua nao ni swala la muda tu watauana wao kwa wao!
He is no more.
Kila aliyeshabikia umwagaji damu wa yule mzee atamfuata.
Nakuambia kuwa utaniacha naperuzi jf kipindi hicho ushaoza.
Kwa hili sina mashaka
 
Asingewaumiza Msoga Camp still angeendelea kudumu licha ya magumu yote.

Ila hizi akili za Mkwere za kutaka kumchopeka February Marope na mwanae Rizimoko Mkwere ili wafanye mambo ya hovyo alizikataaga. Kumkamata wife wa Mkwere na kumuhenyesha alipomdaka na cargo bandarini😅 hizi ni miongoni mwa pigo ambazo mkwere hakupenda.

Kosa la marehem Magu ni ku clash na Msoga Empire tu! Aliukataa mfumo wa mkwere wa kupanga safu ya udokozi😅
 
"Ku clash na msoga maana take unapigana na chama cha mapinduzi which is a mostly deadly fighting"
N.b; I like the way our ccm is protected,against malugaluga.
 
Bila picha ya huo uwanja wa ndege wa chato, hii story hainogi.....
 
NAANDIKA HIVI ILI MODERATORS MSINIBLOCJ......
Sysyemu mara zote ni wapuuzy mlioshindwa na mtajuta milele...
NADHANI WACHAWI HAMTANILOGA NIFUNGIWE... naskia ili kauli 'unanijua mimi nani wewe' ETI IMERUDI MTAANI
...
Mbona hiyo kauli ilikuwepo tu hata enzi za mwendazake, sabaya, makondya, slowslow, dotto na wengine kibao tu mbona waliitumia sana hiyo kauli mzee. Kweli haon kundule, ni kauli hatofutika kibinadam hata aje rais wa namna gani
 
Tz tumezoea sana ujinga ujinga na jamaa hapendi ujinga na tumerudi zama za ujinga.. wajinga wengi sana sasa ... MIJINGA HIYOO INATUONGOZA
 
MOJA YA MADHILA YA KIJINGA ALIYO ACHA MAREHEMU MAGUFULI KTK TAIFA KUDHULUMU MAJIMBO YA UCHAGUZI NA KUTUACHIA BUNGE LA KIJINGA KTK HISTORIA YA NCHI HII
 
Huwa namuwaza Sana Raisi wangu mpendwa JPM!
MUNGU amlaze mahali pema

Alipokuwa mtoto bwana Yule wa Yerusalemu alinusurika kuuwawa!
Hayo yalimfika JPM, ingawa yeye si wakati angali mtoto!

Bwana yule wa Yerusalemu aliishi maisha ya watu wanyonge, ooh ni sawasawa na ndugu yetu JPM

Alipoanza kazi bwana yule wa Yerusalemu alikemea uonevu kwa wanyonge, na tabaka la Wala Nchi halikumpenda,,
Alichukiwa pia na serikali ya kibeberu ya Rumi.!!
Raia weengi wa Taifa lile, hususani wanyonge walimpenda
Duuh yaani vivyo hivyo kwa Magufuli.

Bwana wa Yerusalemu alizunguka kila mkoa wa Israel kufundisha na kutatua matatizo mengi ya wenye shida.
Hii ndio kazi aliyoamini comrade Magufuli!

Alipambana na wafanya biashara haramu hekaluni na akaharibu biashara zao, walimchukia kwa tendo Hilo, hivyo walikuwa miongoni mwa walioshangilia kifo chake baadae!
Sote tunakumbuka wafanyabiashara haramu walivyofunga biashara zao huku wanamtukana JPM, na baadae kusherehekea kifo Cha Magufuli.


Bwana yule aliuwawa kule Yerusalemu,
Bado Raia wanajiuliza Hadi Leo the real cause of death of JPM the hero!

Baada ya kifo chake Bwana wa Yerusalemu, wafuasi wake waliishi kwa mahangaiko na wengi wao waliuwawa na serikali ya kibeberu ya Rumi ktk kuhakikisha Legacy ya bwana yule haidumu!!
Leo kauli mbiu ni chama kimerudi kwa wenyewe, Vita ya wahuni na viroboto!
Hakika ukweli utabaki kuwa wahuni wanashinda!!


Nenda JPM, raia wengi walikupenda!
Watakukumbuka daima
 
Kama kuna mtu wa kukumbukwa daima Tanzania ni Magufuli kwa mema aliyolitendea taifa.
Always anabaki kuwa shujaa wa mstari wa mbele aliyefia kwenye uwanja wa vita.
Na kifo chake ni ushindi tosha.
Naomba Mungu amrehemu huko aliko.
 
Katika hari ambayo baadhi ya watu hawatarajii kuiona ni hii ya kuendelea kukumbukwa kwa Hayati Magufuli.

Inabidi sasa watawala wachutame ili kupata uungwaji mkono na wapiga kura walio wengi.

Juzi pale Magomeni Kota alikumbukwa.

Leo Ikulu pia amekumbukwa na wamachinga, Rais Samia aliamuru wasimame kwa dakika Moja ili kumkumbuka.

Wakati wa kusaini mikataba ya Madini alikumbukwa pia.

R.I.P Jembe/Chuma/Jiwe. Ulale salama Hayati Magufuli.

Tutakuenzi hadi miradi yote ikamilike.
 
Relax

Hata firauni anakumbukwa.
 
Oil chafu haichafuki..
Legends never die,
Died but never forgotten.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…