RockieTJ
Member
- Oct 28, 2020
- 74
- 79
Kwan si haki yaoWamekuja kuchukua hela. Furahi sasa!!!
Sent from my TECNO KG7h using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan si haki yaoWamekuja kuchukua hela. Furahi sasa!!!
Hyo mutu itakuwa "sukuma gang"Inawezekana mwenzangu umenizidi kwa ujinga, unadhani kwa miaka sita bei ya bidhaa zilikuwa zimesimama zinamsubiria yeye? Na kikubwa kinachoshusha bei ya bidhaa ni mafuta siyo umeme
Ngoja tuone hayo Maridhiano ya Mbowe na Wassira yatakapoishiaMambo ya serikali 2 au 4 sio issue kwasasa, wazenji ndiyo walikua na nafasi kubwa kwenye hili ila ndiyo walishaingizwa cha kike na zito hawana namna.
Angle inayowahusu mnaijua na inawakera sana Uvccm kwasababu mnajua mtapoteza pakubwa mnoo ndiyo maana enzi za kambale nyie uvccm mlikua mko tayari hata kuua mtu kisa kadai katiba mpya 😂😂😃
Wewe umesoma Biblia Kinyumenyume. Kwa ivo Kanisa lilijengwa wakati gani Juu ya Petro na wakati Gani Petro aliruidia uvuvi!!?? 🙁 🙁Ngoja tuone hayo Maridhiano ya Mbowe na Wassira yatakapoishia
🤩🤩 Simon aliambiwa " Juu ya Mwamba Huu nitalijenga Kanisa langu"
Baada ya Kanisa kujengwa Simon Petro hakuwa Mwamba tena alirudia Uvuvi wa saladini 🤩🤩
RA ni fundi Afrika Mashariki 😅😅
🤣🤣🤣Mjinga ni wewe uliyeishi kwa kumtegemea mtu kama muumba wako.
Kumbuka amtegemeaye mwanadamu kama muumba wake basi huyo amelaaniwa
Usirudie tenaa kuiba vyetiiSiwezi chukua cheti cha mtu kama Makonda na Musiba rafiki zake mwendazake walivyofanya.Inaonekana asilimia kubwa ya wateuliwa na wapambe wa Magufuri walikuwa ni vyeti feki.
Kama ni kipofu mpaka kwenye ubongo hamna namna unaweza kujua Samia anaupiga vipi mwingi.Ni mda sasa nnachoona Ni machawa wanakua wengi kupita kawaida na kauli mbiu yao ya "anaupiga mwingi" alaf sielewi Ni kwenye nini. Ni upuuzi wa kiwango cha flyover....ivi... Are they even real people!?
Mjinga ni wewe unaishinda unagombana na mtakatifu JPM. Utaraniwaa shauri yakooo.Mbona mnamtetea mjinga mwenzenu DAB?
Samia amejua kuwaumiza uvccm kweri-kweri 😂😂😂Ngoja tuone hayo Maridhiano ya Mbowe na Wassira yatakapoishia
🤩🤩 Simon aliambiwa " Juu ya Mwamba Huu nitalijenga Kanisa langu"
Baada ya Kanisa kujengwa Simon Petro hakuwa Mwamba tena alirudia Uvuvi wa saladini 🤩🤩
RA ni fundi Afrika Mashariki 😅😅
ThubuutuuuuuuUlikosea kidogo "Tz tulifika pazuri enzi ya JPM". Uchumi wa kati sio mchezo
Mtakatifu wa kwenuMjinga ni wewe unaishinda unagombana na mtakatifu JPM. Utaraniwaa shauri yakooo.
Wewe unadhani angekuwapo mngeshinda mnawatukana bodabodaa eti wamelaaniwaa, na huku Kila kamkutano kenu lazima muwatumiee halafu mnawatukana eti wamelaaniwaa.
Ujumbe umekufikaa. Maigizo yenu yakumchafua unadhani watu hawayajui.Mtakatifu wa kwenu
Ule utawala ulikuwa wa hovyo kuliko shetaniKiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?
Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.
Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .
Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.
View attachment 2549998
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?
Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.
Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .
Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.
View attachment 2549998
Magufuri aliteua asilimia kubwa ya wenye vyeti feki ili kumtetea matokeo hao watu hawakumsaidia siku ya kifo chake.Usirudie tenaa kuiba vyetii
Hakina nani wapo mahakamani kwa sababu ya wizi huu?.Hakuna wizi mkubwa uliwahi kufanyika zaidi ya 1.5 trillion
HakikaBora alivyoendazake.
Wao waliaminishwa kuwa yeye ndiye Mungu wao maana walikuwa wanapata ugali kupitia yeye"muheshimwa mungu"