Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mambo ya serikali 2 au 4 sio issue kwasasa, wazenji ndiyo walikua na nafasi kubwa kwenye hili ila ndiyo walishaingizwa cha kike na zito hawana namna.

Angle inayowahusu mnaijua na inawakera sana Uvccm kwasababu mnajua mtapoteza pakubwa mnoo ndiyo maana enzi za kambale nyie uvccm mlikua mko tayari hata kuua mtu kisa kadai katiba mpya 😂😂😃
Ngoja tuone hayo Maridhiano ya Mbowe na Wassira yatakapoishia

🤩🤩 Simon aliambiwa " Juu ya Mwamba Huu nitalijenga Kanisa langu"

Baada ya Kanisa kujengwa Simon Petro hakuwa Mwamba tena alirudia Uvuvi wa saladini 🤩🤩

RA ni fundi Afrika Mashariki 😅😅
 
Ngoja tuone hayo Maridhiano ya Mbowe na Wassira yatakapoishia

🤩🤩 Simon aliambiwa " Juu ya Mwamba Huu nitalijenga Kanisa langu"

Baada ya Kanisa kujengwa Simon Petro hakuwa Mwamba tena alirudia Uvuvi wa saladini 🤩🤩

RA ni fundi Afrika Mashariki 😅😅
Wewe umesoma Biblia Kinyumenyume. Kwa ivo Kanisa lilijengwa wakati gani Juu ya Petro na wakati Gani Petro aliruidia uvuvi!!?? 🙁 🙁
 
Ni mda sasa nnachoona Ni machawa wanakua wengi kupita kawaida na kauli mbiu yao ya "anaupiga mwingi" alaf sielewi Ni kwenye nini. Ni upuuzi wa kiwango cha flyover....ivi... Are they even real people!?
Kama ni kipofu mpaka kwenye ubongo hamna namna unaweza kujua Samia anaupiga vipi mwingi.

Endelea tu kuomboleza kifo cha Dhalimu maana Ijumaa anatumiza miaka 2 toka arudishe namba. Mungu fundi sana kwa kweli
 
Mbona mnamtetea mjinga mwenzenu DAB?
Mjinga ni wewe unaishinda unagombana na mtakatifu JPM. Utaraniwaa shauri yakooo.

Wewe unadhani angekuwapo mngeshinda mnawatukana bodabodaa eti wamelaaniwaa, na huku Kila kamkutano kenu lazima muwatumiee halafu mnawatukana eti wamelaaniwaa.
 
Ngoja tuone hayo Maridhiano ya Mbowe na Wassira yatakapoishia

🤩🤩 Simon aliambiwa " Juu ya Mwamba Huu nitalijenga Kanisa langu"

Baada ya Kanisa kujengwa Simon Petro hakuwa Mwamba tena alirudia Uvuvi wa saladini 🤩🤩

RA ni fundi Afrika Mashariki 😅😅
Samia amejua kuwaumiza uvccm kweri-kweri 😂😂😂
 
Mjinga ni wewe unaishinda unagombana na mtakatifu JPM. Utaraniwaa shauri yakooo.

Wewe unadhani angekuwapo mngeshinda mnawatukana bodabodaa eti wamelaaniwaa, na huku Kila kamkutano kenu lazima muwatumiee halafu mnawatukana eti wamelaaniwaa.
Mtakatifu wa kwenu
 
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.

View attachment 2549998
Ule utawala ulikuwa wa hovyo kuliko shetani
 
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.

View attachment 2549998

Bora alivyoendazake.
 
Back
Top Bottom