Toka last week namwangalia utube siku nzima na vile nina unlimited bando, yaan najikuta nazidi kumpenda yule baba, alikua mtu mzuri sana, Mungu ni mwema kwa kila jamabo hata kwa hili la majonzi
 
Toka last week namwangalia utube siku nzima na vile nina unlimited bando, yaan najikuta nazidi kumpenda yule baba, alikua mtu mzuri sana, Mungu ni mwema kwa kila jamabo hata kwa hili la majonzi

Vaa viatu vya tundu lissu,vaa viatu vya wazazi na mke wa Ben saanane ,vaa viatu vya azory,lwajabe,kanguye!!
 
Una maana haujui walichafanyiwa hao watu enzi za JPM au unajitoa ufahamu?
Nasikiaga tuu watu wanasema ila sijawahi ona ushahidi wowote hivyo siwezi hukumu, halafu hata sisi tuna mapungufu yetu mkuu, nasisi tusipendwe kwasababu tuna mapungufu?
 
Nasikiaga tuu watu wanasema ila sijawahi ona ushahidi wowote hivyo siwezi hukumu, halafu hata sisi tuna mapungufu yetu mkuu, nasisi tusipendwe kwasababu tuna mapungufu?

Ushahidi gani unaohitaji? Kenywe kupigwa risasi lissu,nani aliyetoa order ya kuwaondoa walinzi wote getini? Nani aliyetoa CCTV kamera na Harddisk ndani kwa waziri? Mbona Katelephone alikataa scotland yard kuja kuchunguza tukio la lissu? Kuhusu Ben saanane zitto alisema bungeni nani aliyemteka ben saanane ,labda nimnukuu zitto ," mh speaker tumefatilia vituo vyote na mwisho wa siku askari wakatuambia wao wamefatilia hadi mwisho na waliomteka ben saanane ni teeth kwahiyo sisi hatuwezi kwenda huko mbele" -sasa nani ndiyo sponsor wa teeth?
 
Jambo hili halifanyiki kwa bahati mbaya,kwa sababu wale wanaoyafanya haya.tunawajua na tunawaelewa historia zao.Ni ushirika ulioundwa makusudi ili kutimiza malengo yao upya.
Ndio hao wanaogawana keki ya nchi hii kama ilivyokuwa mazowea kabla ya 2015.
Wengine wakijiita walamba asali.

Kuanzia EPA,RICHMOND MEREMETA, SYMBION POWER na ma uozo lukuki yaliykuwa yameichungulisha kaburi "CCM."
Ikiwemo na ile HOME SHOPPING CENTER ambayo sasa ndio SILENT OCEAN. Ambayo Mzee Asali Junior aliwauxia kiwanja cha CCM.kinyemela wakati akiwa K/M CCM asali ilee!
Ambapo sasa ndio makao makuu yao hao "Bahari kimya".

Pale alipoingia Magufuli na kuanza kuusafisha huu uozo.
Na ndipo CCM na wafuasi wake walipopata nguvu mpya ya kukijenga upya chama.
Hadi leo wanapopata nafasi ya kumsimanga wakati akiwa hayupo tena mbele za familia yake!

*Magufuli kafa na kuacha...
*IKULU mpya ya Chamwino.
*ATCL mpya.
*SGR Mpya.
*Nyumba mpya za Magomeni.
*Mabweni Mapya UDSM.
*Daraja jipya la Tanzanite.
*Daraja jipya la Wami.
*Bwawa jipya la umeme JNHP.
*Stendi kuu za mabasi za kisasa Dodoma,Morogoro na Mwanza.
*Meli mpya Ziwa Victoria na ukarabati wa Mv Victoria.
*Meli Mpya ziwa Nyassa.
*Ndege na Helikopta mpya jeshini.

Pia kanunua Rada mpya nne nchini na kuondoa utegemezi wa Rada za Kenya.

Akafhibiti utoroshaji madini Mererani kwa kujenga ukuta na akaanzisha madoko huru ya madini nchi nzima.

Akazuia utoroshaji wa fedha kupitia utitiri wa Bureau de change mitaani.

Akarudisha nidhamu kwa watumishi sekta ya Umma na hakusita kutumbua mtu kwa uzembe hata kama alikuwa rafiki yake kama Charles Kitwanga.

Akaondoa vyeti feki na mushahara hewa nchi nzima.

Amekufa na kuiacha Tanzania ikiwa uchumi wa kati tukiwa kasi ya ukuaji ya 7.1%.

Yote haya ameyafanya ndani ya miaka mitano.halafu wajinga fulani wanajikusanya na kudhani wanaweza kuja kuizima legacy ya mtu kama huyu kwa kusjiri wajinga fulani mitandaini ili kumtukana?

Itakuwa ngumu sana hilo kutokea na labda mkabomowe hiyo miradi na kuwauwa wale wote wanamkubali na kumkumbuka Magufuli.


 
Mimi kakiongezea nyama kitabu changu cha ujasiriamali kuhusu sera ambazo hazina mwelekeo 'uncertainty policies' zinavyoweza kuua biashara ama kukuza biashara kwa maneno mengine maamuzi ya kisiasa yana weza kukuza ama kuua biashara
 
Sikutegemea katika maisha yangu kama nchi yangu ingeweza kuongozwa na kiongozi mshamba, katili na muuaji kama dikteta Magufuli. Mungu atuepushie mbali tusipatwe na janga lingine kama hilo
 
Kwa Kasi yake Ile ya kufanya KAZI usiku na mchana,

Ni kama alijua hatoishi muda mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…