SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mzungu kapelekeka [emoji91] mwingi sana hadi Bashite anatembea migulu bajaMakonda mwenyewe shoga tu, muangalie hapo katoka wapi na mzungu hajachomekea shati!!
View attachment 2561602
Rais bora huko jehanamJPM atabaki kuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania.
Anakumbukwa na atakumbukwa daima.
Mitanzania unaiacha tu ife ipate taabu kwa sababu haijitambui. Nina uhakika leo Rais Samia akiamua akaze yataanza ohh dikiteta mara ohh maisha magumu. Komeni sana na bado
JPM aliishia Maisha ya chini sanaaa sanaaaaa yaan Urais wake aliufanya kua nabhadhi ya mlala hoi.
Jamaa alikua mkweli sanaz aliyevaa Viatu vya watu
Sheria ni sheria hata kama ni ngumu.
Je, wakazi hao walijenga kwenye eneo ambalo ni la barabara? Au barabara iliwafata wao?
Sheria lazima ifuatwe, na ndicho alichosimamia JPM.
JPM hakuwa na roho ya kumuumiza mtu mnyonge!!
Mafisadi na majangili waliyaumiza sababu kwanza yaliiumiza nchi hii, lakini pia, yalitumia nguvu kubwa kutaka kumfanya ashindwe uchaguzi.
Hata kama ni mimi, ningewashughulikia tu.
JPM was exceptional president, charismatic leader
Babu Seya suala lake liko wazi linajulikana.
JPM hakua mjinga, hakua na faida yoyote ya kumuachia Papii na Babu Seya.
Ukweli nikwamba, wanapenda wote Hela, sio kwamba wanamakosa.
JK ndo alimpeleka Papii Jela . Ilo liko wazi na libaki kua hivohivo tu.
Swali nikwamba, alimuachia Papii Kwa motives zipi?.
Hutumii hata akili
Magufuli hakuwahi kuunga mkono masuala hayo .
Na Kwa MANTIKI hiyohiyo aliamua kumpa Makonda Go ahead ya kupambana nao.
Babu S na Papii, walitiwa gerezen Kwa Stori za kutengeneza na kuzipachika kwenye magazeti Kila siku. .
Na ndio maana JPM aliwaachia, Mkapa akiwa hai.
Mkuu,Aiseeee muacheni apumzike,mnavyozidi kuleta thread zenu ndivyo anavyozidi kupopolewa.
Kiranga anakwambia kwa watu walioona utawala wa magufuli hauwezi kuwaambia hivyo wakakubali labda usubiri vizazi vya mbele huko ambavyo vitakuwa havijauona utawala wake ndiyo uwadanganye.
Hakuna kama JPM na ukitaka kujua, mtu katangulia mbele za haki, ila watu wanaunda makundi na makundi kupambana na mtu ambae hayupo
JPM atabaki kuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania.
Anakumbukwa na atakumbukwa daima.
Sukuma gang tupa kureeeeeeeee na hampati tena hiyo nafasi mpaka dunia itakapo geukaTusubirini. Makamanda mnataka IGP, Paroko, Mufti, Refa, na Kapteni wa Yanga wote wachaguliwe na Mangi kwa ukabila, wamesahau kabisa hapo zamani Waziri Mkuu alitoka kwao mara 4, akiwamo Naibu Waziri Mkuu, na Waziri wa Fedha mara 4, watendaji wote Taasisi nyeti za Kitaifa walitoka kwa makamanda, sasa hamtaki wengine wawe na Waziri Mkuu au hata Meneja wa TAZARA, nao wajenge kwao? Huo ukabila utawatafuna, Nyerere aliufuta kwa kutumia JKT, shule za Boarding, Kanisa na TANU, nyie mnataka kurudisha Ukabila tena? Unamkumbuka Jenerali Muhidin Kimario, Shujaa wa Nchi hii, alikuwa Katibu wa CCM Kusini Pemba akaitwa vitani kuigomboa Nji yake dhidi ya nduli Idi Amin aliyejitia anatetea Uislamu, yaani mnataka General Kimario awe Mangi wa Uswaa tu asitutumikie Watanzania wengine? Kama mkianza tena jiwe litarudi au yatatokea mawe zaidi, hamtoyaweza good night.
Wacha uongo we gaidi.Alipinga ushoga kwa kumzuia Makonda aka bashite asipambane nao, pia alitatuta matatizo ya wananchi kwa kuwauwa, kuwateka, kuwapiga risasi, kuanzisha genge la wasiojulikana, kufungulia kesi watu za uhujumu uchumi na kupora uchaguzi
Walinyooka kweli kweli!Sheria ni sheria hata kama ni ngumu.
Je, wakazi hao walijenga kwenye eneo ambalo ni la barabara? Au barabara iliwafata wao?
Sheria lazima ifuatwe, na ndicho alichosimamia JPM.
JPM hakuwa na roho ya kumuumiza mtu mnyonge!!
Mafisadi na majangili waliyaumiza sababu kwanza yaliiumiza nchi hii, lakini pia, yalitumia nguvu kubwa kutaka kumfanya ashindwe uchaguzi.
Hata kama ni mimi, ningewashughulikia tu.
Wakati huo bei za mazao zilikuwaje pamba hadi sh. 500 kwa kilo kutoka walizoahidiwa wakulima wanyonge 1,560 lakini sasa bei hadi Sh. 2,200 kwani kuna mnyonge zaidi ya sisi wakulima.Jioneeni wenyewe Wakuu!
Hakuwahi kutokea mtu kama huyu, aisee JPM aligusa Maisha ya mnyonge yule wa chini Moja Kwa Moja kabisa.
Naomba Mungu anipe Angalau robo ya Roho ya JPM.
Huyu Mtu hapana, Eeehh, Kwakweli Mungu aliamua kuruhusu apumzike baada ya kazi kubwa aloifanya!
View attachment 2561435
Ulikookota au unabwabwaja tuSiku hizi hawataki mabango
Siku hizi hawataki kusikiliza watu, Eti Wana kikaratasi na kalamu wanaandika.
Wakishaondoka, kile kikaratasi kinatupwa!
JPM hakuwai kuwa ibilisi na hakuna mwanadamu anaweza akawa ibilisiNani apambana na yule ibilisi, watu wanayasema maovu yake.