Mitanzania unaiacha tu ife ipate taabu kwa sababu haijitambui. Nina uhakika leo Rais Samia akiamua akaze yataanza ohh dikiteta mara ohh maisha magumu. Komeni sana na bado

Wewe sio mtanzania. Huwezi kuongea hivyo. Nchi ni ya watanzania sio kiongozi, lazima uwasikilize wanataka Nini, sio kujiamulia Kama unakomoa watu.
 

Unaongea kwa kujifurahisha. JPM alikuwa na Roho mbaya Sana. Mpaka leo saanane na Azory hawajulikani walipo. Yule Bora aliondoka alikuwa anakinai tu.
 
JPM was exceptional president, charismatic leader

Charismatic unaiba kura? Charismatic unaambulia asilimia 57 ya kura 2015 hata pamoja na wizi?. Linganisha charismatic ya Kikwete 2005 na Magufuli 2015 uniambie.

Exceptional ni Nyerere na Maalim Seif tu, huyo ibilisi kiongozi wa wasiojulikana tupa huko jalalani.
 

JPM alikuwa ana ego ya kutaka apendwe na kila mtu. Hata kumtoa baby seya ilikuwa kutengeneza base yake.
 

Kitendo Cha Magufuli kuwaachia wafiraji ilikuwa ni kuunga mkono ushoga.
 
Mkuu,

Mimi ndiye niliambiwa hivyo, mimi sikusema hivyo.

Kuna watu kweli huwezi kuwaambia kitu, jinsi wanavyompenda Magufuli.

Sababu ni ujinga wa kawaida tu wa Watanzania wengi.
 
JPM atabaki kuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania.

Anakumbukwa na atakumbukwa daima.

Atakumbukwa kwa lipi? Halafu hiyo ya Rais Bora kutokea mnaiongea kinafiki. Akina Nyerere wasemeje?. Tatizo mnaangalia mambo mwisho wa pua zenu.
 
Sukuma gang tupa kureeeeeeeee na hampati tena hiyo nafasi mpaka dunia itakapo geuka
 
Alipinga ushoga kwa kumzuia Makonda aka bashite asipambane nao, pia alitatuta matatizo ya wananchi kwa kuwauwa, kuwateka, kuwapiga risasi, kuanzisha genge la wasiojulikana, kufungulia kesi watu za uhujumu uchumi na kupora uchaguzi
Wacha uongo we gaidi.
Genge la Wasiojulikana halipo, genge unalo dai halijulikani linajulikana na muasisi wake ni Jakaya Mrisho Kikwete na alianzisha hao ki sheria na wapo karibu nchi zote Duniani, hivyo basi Umedanganya.
Watu waliofunguliwa kesi ni wahujumu Uchumi na wamekiri hayo kwa maandishi na rekodi zao zipo mahakamani. Ni wezi. Ni mufilisi. Ni mafisadi. Usihadae.

Uchaguzi umeporwa kivipi? Wanaodai uliporwa washachukuwa ruzuku, ikiwaina maana wamekubali, wameridhiana kuwa hakuna kura iliyoporwa. Waulize wakuu wako kuhusu saini walizopiga kukubali ruzuku....hakuna kitu kinafanyika bila makubaliano. Wacha Uwongo na Ugaidi.
 
Walinyooka kweli kweli!
 
Wakati huo bei za mazao zilikuwaje pamba hadi sh. 500 kwa kilo kutoka walizoahidiwa wakulima wanyonge 1,560 lakini sasa bei hadi Sh. 2,200 kwani kuna mnyonge zaidi ya sisi wakulima.
 
Zamani Jf ilikuwa ya great thinkers ila sasa imejaa wapumbavu wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…