Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Rais Magufuli hakubagua upinziani, alipenda upinzani wenye dira ya mendeleo sio upinzani wa kukosoa kosoa na kukejeli kila kitu. Magufuli alikuwa mtu smart ndio maana wale wapinzani smart almost wote aliwachukua akawaingiza serikalini. Wapinzani wa nchi hii wengi walipoteza dira kipindi cha utawala wa Magufuli sababu iko wazi tu, Magufuli alideal na makundi ambayo ndiyo yanaupa nguvu upinzani ikiwa yataachwa bila kutatuliwa kero zao, mfano machinga, bodaboda mama lishe nk. Agenda muhimu kam kupambana na ufisadi nazo zilimpa credit, ndio sababu wapinzani wazalendo walihama wakabaki wale wenye maslahi toka nje na wachache wazalendo walibaki.

Kuna wapinzani wanadhani kuwa baada ya Magufuli kufariki upinzani utakuwa haraka, wanasahau kuwa upinzani wa kweli unatoka kwa wananchi na sio kwa wanasiasa, wanasiasa wao husimamia zile hoja za wananchi hasa wale wanyonge. Image ya upinzani wa Tanzania hasa CHADEMA inaharibika kwa kasi kwa kuwa wameanua kuhushi kiharakati zaidi kuliko kama chama kikukuu cha upinzani. Mtu mmoja anaweza kuharibu image ya chama halafu wote mkaonekana sio wazalendo au hampendi maendeleo ya nchi. Upinzani unabidi uwe option B au chaguo la pila kwa walioko chama tawala, sasa tujiulize ni rahisi kwa mwanasiasa wa sasa wa ccm kuhamia chadema kama ilivyokuwa ? na kama sivyo basi kutakuwa na shida fulani. Zamani ilikuwa ni fahari kuwa chadema ila kwa sasa ukiwa huko unajihisi sio mzalendo kutoka na mrengo wa baadhi ya watu ndani ya chama.
Tusubiri wamalize mazishi yake kisha urudi humu jf kusoma tena commets zako.
 
Mli
He is My sons's legacy

Amenisaidia Mambo mengi.

JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo

Naogopa nchi yetu inarudi shimoni

MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Mliopends kitonga kutoka kwake mjiandae kisaikolojia
 
Kuna clip moja ambayo vyombo vya habari wanairudia rudia mara kwa mara.

Clip yenyewe ni moja ya hotuba ambazo hayati Magufuli alizitoa wakati wa uhai wake.

Maneno yanayosemwa kwenye clip hiyo ndiyo ambayo ni mada yangu kuu, kwenye uzi wangu huu.

Anatamka kuwa "Mtanikumbuka kwa mema wala si kwa mabaya yangu, nawasihi tusibaguane kwa vyama vyetu vya siasa, wala ukabila na udini na kamwe tusiache kumwabudu Mungu wetu" mwisho wa kunukuu.

Kwa maelezo hayo na namna alivyokuwa akiiendesha nchi hii vina umbali kama kutoka mbinguni hadi duniani!

Hebu turudie baadhi ya matamshi yake wakati akiwa hai.

Mkinichagulia mpinzani mtakuwa mnajichelewesha wenyewe maendeleo yenu!

Nyinyi wenyewe ndiyo mlifanya makosa safari iliyopita kwa kuchagua mbunge wa upinzani, safari hii msirudie kosa hilo!

Kaskazini (hususani mkoa wa Kilimanjaro) mlipendelewa sana katika awamu zilizopita, hivi sasa na nyinyi subirini, wakati maendeleo ninapopeleka kwingineko(akimaanisha mikoa ya kanda ya ziwa)

Wakati akiyatamka maneno hayo, alijua fika kuwa nchi yetu toka tupate Uhuru, imejengwa katika misingi ya umoja wa kitaifa, ambayo hatubaguani kwa vyama vya siasa, ukabila wala dini zetu, kwa maana nyingine ni yeye aliyetaka kuligawa Taifa hili.

Vile vile akifahamu kuwa tokea mwaka 1992, nchi yetu iliandika ndani ya Katiba ya nchi kuwa nchi yetu itakuwa ya mfumo Wa vyama vingi, jambo ambalo hayati Magufuli, alionekana wazi wakati Wa uhai wake kuwa anauchukia mfumo huo na alikuwa akitamani nchi yetu irejee kwenye mfumo wa chama kimoja!

Lakini haishangazi kwa hayati Magufuli kutamka maneno hayo, kwa kuwa tunajua fika kuwa alkkuwa ni mtu wa "double standards"

Anatamka Leo kuwa maendeleo hayana chama, wakati kesho yake anawaambia wapiga kura kuwa msinichagulie betri na gunzi!
msipomleta silinde siwaletei maji kutoka ileje,,,marehemu alikuwa namdomo sana namimi kama mkalimani wa ikulu nathibitisha hilo😝😝😝😝😝😝
 
Nenda John nenda na ninamuomba sana mwenyezi Mungu akurehemu katika makao yake mbinguni.

John uliijenga CCM na hata wapinzani wakakuheshimu.

Uliwapa uongozi wapinzani Prof Kitila Mkumbo, Anna Mghwira, Lyatonga Mrema nk nk

Hata Chadema hukuwasahau kwani uliwashirikisha kwenye uongozi akina Juliana Shonza, Mwita Waitara, Dr Mollel. patrobas Katambi, Gekui, David Silinde nk nk

CUF pia hukuwasahau tunaye DC pale Tunduru ndugu Mtatiro

John wewe ni shujaa, kaketi pema peponi

RIP Magufuli!
 
Wewe huelewi kitu bora tuu ukanyamaza. Eti wazalendo wakahamia ccm... Walihamia kwa kupenda ama walishinikizwa?

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wewe unaelewa nini kama sio mihemko tu unaweza kumlamisha mtu kuhama chama? Mbona hamkuwalazimisha wasihame Hivi mtu smart kama Davd Silinde anaweza kubakiana na aina ya upinzani uliokuwepo.
 
Hii ndio shida yenu wana CCM siasa siasa mpaka kwenye misiba. Mwacheni apumzike na hizi sifa zenu za kinafiki.
 
Nenda John nenda na ninamuomba sana mwenyezi Mungu akurehemu katika makao yake mbinguni.

John uliijenga CCM na hata wapinzani wakakuheshimu.

Uliwapa uongozi wapinzani Prof Kitila Mkumbo, Anna Mghwira, Lyatonga Mrema nk nk

Hata Chadema hukuwasahau kwani uliwashirikisha kwenye uongozi akina Juliana Shonza, Mwita Waitara, Dr Mollel. patrobas Katambi, Gekui, David Silinde nk nk

CUF pia hukuwasahau tunaye DC pale Tunduru ndugu Mtatiro

John wewe ni shujaa, kaketi pema peponi

RIP Magufuli!
Nenda Ngosha
 
Hatuzungumzii mambo ya Chato.Hoja hapa ni lini na ni wapi wamesema kuwa mtakatifu Meko alikuwa jasiri!
Lijualikali atakuambia safari hii Ufipa mmeshindwa kuiba kura mmeuambulia mbunge mmoja.

Huu ni Ujasiri wa mwenyekiti wa CCM!
 
JPM hatutamsahau

Kakomboa Majimbo makongwe ya Upinzani kama ya kule Pemba na Karatu ambayo tangu kurudishwa mfumo wa vyama vingi yalikuwa yanashikiliwa na Upinzani
 
Nenda John nenda na ninamuomba sana mwenyezi Mungu akurehemu katika makao yake mbinguni.

John uliijenga CCM na hata wapinzani wakakuheshimu.

Uliwapa uongozi wapinzani Prof Kitila Mkumbo, Anna Mghwira, Lyatonga Mrema nk nk

Hata Chadema hukuwasahau kwani uliwashirikisha kwenye uongozi akina Juliana Shonza, Mwita Waitara, Dr Mollel. patrobas Katambi, Gekui, David Silinde nk nk

CUF pia hukuwasahau tunaye DC pale Tunduru ndugu Mtatiro

John wewe ni shujaa, kaketi pema peponi

RIP Magufuli!
Haindoi ukweli kuwa alikuwa mtawala wa kiimla asiyependa kukosolewa na aliweka wazi hata ushauri hataki.

Aliahidi akiwa rais tutalimia meno na kweli alitekeleza kwa vitendo kusudio lake hilo

Alikula yamini ya kuua upinzani ili atawale milele sema ndiyo hivyo aliyemleta kampenda zaidi.

Upinzani hususani CHADEMA imebaki yeye kaondoka.
 
JPM hatutamsahau

Kakomboa Majimbo makongwe ya Upinzani kama ya kule Pemba na Karatu ambayo tangu kurudishwa mfumo wa vyama vingi yalikuwa yanashikiliwa na Upinzani
Kwa kweli alikomba kwa kukwiba na siyo sifa nzuri kwa marehemu. Hata uchaguzi wa serikali za mitaa alipora kwa kushirikiana na Jaffo.

Ameondoka na sifa nyingi mbaya kuliko nzuri
 
Lijualikali atakuambia safari hii Ufipa mmeshindwa kuiba kura mmeuambulia mbunge mmoja.

Huu ni Ujasiri wa mwenyekiti wa CCM!
Acha kuhama mada wewe mbumbumbu!Nyoka akifa watu wakienda kumshangaa haimaanishi kuwa wanampenda huyo nyoka na wanamuunga mkono!
 
Nenda John nenda na ninamuomba sana mwenyezi Mungu akurehemu katika makao yake mbinguni.

John uliijenga CCM na hata wapinzani wakakuheshimu.

Uliwapa uongozi wapinzani Prof Kitila Mkumbo, Anna Mghwira, Lyatonga Mrema nk nk

Hata Chadema hukuwasahau kwani uliwashirikisha kwenye uongozi akina Juliana Shonza, Mwita Waitara, Dr Mollel. patrobas Katambi, Gekui, David Silinde nk nk

CUF pia hukuwasahau tunaye DC pale Tunduru ndugu Mtatiro

John wewe ni shujaa, kaketi pema peponi

RIP Magufuli!
usituletee balaa la kupigwa ban. Wapinzani wamesemaje? Nani Mbowe, Lisu? au wenzenu wanaoiponya nchi?
 
Back
Top Bottom