johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati Hamas wanaingia Waisrael mlikuwa wapi?As if yeye ndie aliyewatuma hamas waanze uchokozi
R.I P JPM
Wakati Hamas wanaingia Waisrael mlikuwa wapi?
Fikiria Lema alivyovuka Namanga bila kutambuliwa akaingia Kenya 😂😂India kutalii
Kwa kutuchagulia Serikali mbovu na Bunge bovu 2020.View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
APUMZIKE KWA AMANAI HAYATI MAGUFULIKumtajataja Magufuli kwenye shida za nchi alizozikabili kwa tija iko siku kama Waebrania kule jangwani tutafinyanga sanamu ya Magufuli tuiabudu itupatie majibu.
Dhambi hii hatutahukumiwa waabudu sanamu bali Musa aliyeshindwa kukaa kwenye zamu yake sawa sawa ili tujibiwe shida zetu ndiyo maana hakuingia Kanaani kula matunda ya jasho lake kule Misri.
Juzi PCM anapokelewa Lumumba watu wanaimba Magufuli... Magufuli... Magufuli...
Mzaha mzaha hutumbua usaha (sanamu ya Magufuli itajengwa)
Unabii.
Everything is happening for a reason !!Kumtajataja Magufuli kwenye shida za nchi alizozikabili kwa tija iko siku kama Waebrania kule jangwani tutafinyanga sanamu ya Magufuli tuiabudu itupatie majibu.
Dhambi hii hatutahukumiwa waabudu sanamu bali Musa aliyeshindwa kukaa kwenye zamu yake sawa sawa ili tujibiwe shida zetu ndiyo maana hakuingia Kanaani kula matunda ya jasho lake kule Misri.
Juzi PCM anapokelewa Lumumba watu wanaimba Magufuli... Magufuli... Magufuli...
Mzaha mzaha hutumbua usaha (sanamu ya Magufuli itajengwa)
Unabii.
Shetani lazima apigwe mawe.Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.
Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.
Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
Wacha uwehu wako!! Nini Dar Dodoma?. Kipande cha Moro-Dar kilipangwa kianze Novemba 2019. Magufuli kafariki March 2021 bila kuanza. Leo hii Misukule ya Magufuli inasema Samia kachelewesha.Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.
Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.
Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
"Watanzania,nilijua haya yatatokea, kwasababu majizi na matapeli yameshika Kasi kwasasa. Na saa nyingine Rais wa Sasa ni dhaifu"Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.
Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.
Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
Hiyo 2021 mradi ulifikia asilimia ngapi?Wacha uwehu wako!! Nini Dar Dodoma?. Kipande cha Moro-Dar kilipangwa kianze Novemba 2019. Magufuli kafariki March 2021 bila kuanza. Leo hii Misukule ya Magufuli inasema Samia kachelewesha.
Wadanganyeni watoto wenu na wajinga wenzenu. Magu alianzisha miradi mikubwa kwa wakati mmoja bila kujua vyanzo vya fedha ya ujenzi atapata wapi
Hiki ndo kitu kinaogopwa kusemwa.We malori,mabasi tukale wapi
Ova
Kuna chawa wao kazi mapambio hilo hawalioni!Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.
Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.
Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.