Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Jamaa alikuwa hana Rafiki wala Adui wa kudumu bali aliongozwa na Uzalendo zaidi

Kwenye Haki alisimama upande wa kweli hakumuogopa yoyote

RIP Shujaa Magufuli

Nawatakia Sabato Njema 😀
 
As if yeye ndie aliyewatuma hamas waanze uchokozi

R.I P JPM
 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Kwa kutuchagulia Serikali mbovu na Bunge bovu 2020.
 
Kumtajataja Magufuli kwenye shida za nchi alizozikabili kwa tija iko siku kama Waebrania kule jangwani tutafinyanga sanamu ya Magufuli tuiabudu itupatie majibu.

Dhambi hii hatutahukumiwa waabudu sanamu bali Musa aliyeshindwa kukaa kwenye zamu yake sawa sawa ili tujibiwe shida zetu ndiyo maana hakuingia Kanaani kula matunda ya jasho lake kule Misri.

Juzi PCM anapokelewa Lumumba watu wanaimba Magufuli... Magufuli... Magufuli...

Mzaha mzaha hutumbua usaha (sanamu ya Magufuli itajengwa)

Unabii.
 
Kumtajataja Magufuli kwenye shida za nchi alizozikabili kwa tija iko siku kama Waebrania kule jangwani tutafinyanga sanamu ya Magufuli tuiabudu itupatie majibu.

Dhambi hii hatutahukumiwa waabudu sanamu bali Musa aliyeshindwa kukaa kwenye zamu yake sawa sawa ili tujibiwe shida zetu ndiyo maana hakuingia Kanaani kula matunda ya jasho lake kule Misri.

Juzi PCM anapokelewa Lumumba watu wanaimba Magufuli... Magufuli... Magufuli...

Mzaha mzaha hutumbua usaha (sanamu ya Magufuli itajengwa)

Unabii.
APUMZIKE KWA AMANAI HAYATI MAGUFULI
 
Kumtajataja Magufuli kwenye shida za nchi alizozikabili kwa tija iko siku kama Waebrania kule jangwani tutafinyanga sanamu ya Magufuli tuiabudu itupatie majibu.

Dhambi hii hatutahukumiwa waabudu sanamu bali Musa aliyeshindwa kukaa kwenye zamu yake sawa sawa ili tujibiwe shida zetu ndiyo maana hakuingia Kanaani kula matunda ya jasho lake kule Misri.

Juzi PCM anapokelewa Lumumba watu wanaimba Magufuli... Magufuli... Magufuli...

Mzaha mzaha hutumbua usaha (sanamu ya Magufuli itajengwa)

Unabii.
Everything is happening for a reason !!
Ngoja Tusubiri tuone !!!
Yetu macho na masikio !!
 
Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.

Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.

Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
 
Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.

Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.

Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
Shetani lazima apigwe mawe.
 
 
Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.

Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.

Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
Wacha uwehu wako!! Nini Dar Dodoma?. Kipande cha Moro-Dar kilipangwa kianze Novemba 2019. Magufuli kafariki March 2021 bila kuanza. Leo hii Misukule ya Magufuli inasema Samia kachelewesha.

Wadanganyeni watoto wenu na wajinga wenzenu. Magu alianzisha miradi mikubwa kwa wakati mmoja bila kujua vyanzo vya fedha ya ujenzi atapata wapi
 
Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.

Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.

Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
"Watanzania,nilijua haya yatatokea, kwasababu majizi na matapeli yameshika Kasi kwasasa. Na saa nyingine Rais wa Sasa ni dhaifu"
 
Wacha uwehu wako!! Nini Dar Dodoma?. Kipande cha Moro-Dar kilipangwa kianze Novemba 2019. Magufuli kafariki March 2021 bila kuanza. Leo hii Misukule ya Magufuli inasema Samia kachelewesha.

Wadanganyeni watoto wenu na wajinga wenzenu. Magu alianzisha miradi mikubwa kwa wakati mmoja bila kujua vyanzo vya fedha ya ujenzi atapata wapi
Hiyo 2021 mradi ulifikia asilimia ngapi?
 
Nchi zetu za kiafrika huwa zinatakiwa kupata viongozi wababe na wabishi ili kufikia pale panapotakiwa.

Alikuwepo mwamba hapa, leo Moro - Dar mngekuwa mnatereza tu ila sasa mkampiga mawe na kila aina ya maneno ili aonekane fedhuri na mkafanya yenu dhidi yake.

Ila jana na leo kila mtu analia vile wanaona haibu kusema ukweli ila nafsi zinawasuta!.
Kuna chawa wao kazi mapambio hilo hawalioni!
 
Back
Top Bottom