Yule alipiga wakubwa na kushuka chini kubembeleza wanyonge....Naomba kukuliza mkuu hivi unadhani bwana yule hakuwa mpigaji kwa namna flani au kwakuwa tulifumbwa[emoji40]
Hakuwa mpigajiNaomba kukuliza mkuu hivi unadhani bwana yule hakuwa mpigaji kwa namna flani au kwakuwa tulifumbwa[emoji40]
Mods waliniomba nibaki[emoji38]Ulisema utaacha JF for 3 years still bado upo
Wew acha uku.....acha us*nge
Ulimmark nini? Nakumbuka ule uziUlisema utaacha JF for 3 years still bado upo
Umeshaona MADUDU ya utawala wa MEKO?Sitak kuongea sana...
Alijipambanua kwa kazi zake
Kuondoka kwake ni pigo na ni pengo ambalo halitozibika miaka 40 ijayo
Amiin amiin nawambia...
Rules of the game have changed...
Kama wew ni mfanyabiashara..jipange kupigana na kujilimbikizia,...kama uko wap sjui do the same..
Sabab.kuna uwezekano upigaj ukarud na ukaja laumu ooh.nin .kile
Game limebadilika ukizubaa imekula kwako .yaan wenzio wapige wew ukae tu
Mwamba ameenda..hakutakiwa kwenda muda huu....ni pigo pigo pigo kwa taifa
Sjui uzi utafutwa ila usipofutwa..inshalah
Ngoja niangalie Ukabidhiwaji wa report ya CAG....nitapata tathmini mbelen huko dira inasomaje.
Hujuma ni kokote shekheUmeshaona MADUDU ya utawala wa MEKO?
Hujuma ni kokote shekhe
HOFU KUU INAKUJA KWA SABABU:Sitak kuongea sana...
Alijipambanua kwa kazi zake
Kuondoka kwake ni pigo na ni pengo ambalo halitozibika miaka 40 ijayo
Amiin amiin nawambia...
Rules of the game have changed...
Kama wew ni mfanyabiashara..jipange kupigana na kujilimbikizia,...kama uko wap sjui do the same..
Sabab.kuna uwezekano upigaj ukarud na ukaja laumu ooh.nin .kile
Game limebadilika ukizubaa imekula kwako .yaan wenzio wapige wew ukae tu
Mwamba ameenda..hakutakiwa kwenda muda huu....ni pigo pigo pigo kwa taifa
Sjui uzi utafutwa ila usipofutwa..inshalah
Ngoja niangalie Ukabidhiwaji wa report ya CAG....nitapata tathmini mbelen huko dira inasomaje.
Zile kelele zetu za nchi dhaifu,nchi ipo kwenye auto-pilot zitaanza kurudi.
Zile zama za "unanijua mimi ni nani....' zitaanza kurudi.
Zile zama za " laki si pesa million hela ya soda zitarudi...."
Ngojea tuache muda uongee wenyewe.
Chenchi ya dream liner haikurudi hazina,unajua ilinunuliwa bei gani?Hakuwa mpigaji