Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Hili halina ubishi wakuu atakaye bisha basi either ana upungufu wa akili.
Kipindi cha JPM ndicho tulicho shuhudia watoto wawanyonge
wanashika UDC, URC na Ukurugenzi.

Lakini pia tulishudia watoto wawanyonge wanaajiriwa
TANROADS, TANESCO, TRA, TPDC, EWURA, TBA, n.k.

Kwa kifupi kabla ya hapo mtoto wa mnyonge asingeweza kupenya katika sehemu hizo.
Sijawahi ona kilaza kana huyu kenge ...

Watu wamepigika hakuna ajira ,ila unakuta tahira kama hili linaongea pumba ...
 
Hili halina ubishi wakuu atakaye bisha basi either ana upungufu wa akili.
Kipindi cha JPM ndicho tulicho shuhudia watoto wawanyonge
wanashika UDC, URC na Ukurugenzi.

Lakini pia tulishudia watoto wawanyonge wanaajiriwa
TANROADS, TANESCO, TRA, TPDC, EWURA, TBA, n.k.

Kwa kifupi kabla ya hapo mtoto wa mnyonge asingeweza kupenya katika sehemu hizo.
Hao watoto wa wanyonge ndio walioiharibu nchi, kwa unyonge wao kazi yao kubwa ilikuwa kujipendekeza na sio kufanya kazi.
 
Hili halina ubishi wakuu atakaye bisha basi either ana upungufu wa akili.
Kipindi cha JPM ndicho tulicho shuhudia watoto wawanyonge
wanashika UDC, URC na Ukurugenzi.

Lakini pia tulishudia watoto wawanyonge wanaajiriwa
TANROADS, TANESCO, TRA, TPDC, EWURA, TBA, n.k.

Kwa kifupi kabla ya hapo mtoto wa mnyonge asingeweza kupenya katika sehemu hizo.
Kwahiyo mzazi akiwa mfanyabiashara mkubwa, Waziri, Balozi, Meneja, Muhadhiri nk unapoteza sifa ya kutumikia nchi yako kwenye nafasi ulizotaja?
Huoni kama unashabikia ubaguzi?
Mnaaza kubagua watanzania kwa unyonge wao, utajiri wao, ukabila wao, dini zao, nk.
Mnapata faida gani?
 
Hili halina ubishi wakuu atakaye bisha basi either ana upungufu wa akili.
Kipindi cha JPM ndicho tulicho shuhudia watoto wawanyonge
wanashika UDC, URC na Ukurugenzi.

Lakini pia tulishudia watoto wawanyonge wanaajiriwa
TANROADS, TANESCO, TRA, TPDC, EWURA, TBA, n.k.

Kwa kifupi kabla ya hapo mtoto wa mnyonge asingeweza kupenya katika sehemu hizo.
Hakuna sifa itakayomsafisha katili na mtu mwenye roho mbaya kuliko wote duniani.
 


Marijani Rajab angekuwa yuko hai huu wimbo wake wa DUNIA UWANJA WA FUJO angeongeza maneno ya Mwendazake!
 
Daah mnanichanganya sana, ebu pitia uzi wa MK54
 
Kuna kikundi kimekua kikisisitizia kauli ya marehemu mwendazake ya"mtakuja kunikumbuka",kana kwamba tulifanya kila liwezekanalo kumuondoa madarakani.
Mwendazake kachukuliwa na Muumba,na zaidi hata tulipotaka kuujua ukweli juu ya shida yake kama anaumwa ama vp,ili tumuombee apone maake tulikua tayari tushaamua kuishi nae ,bado tulifichwa.
Haina haja ya kutoa toa iyo kauli,sababu hatukua na uwezo wowote wa kupinga alichohitaji,hakuna chombo chochote cha habari ,wala mitandao ya kijamii iliyokua na ubavu wa kumuwekea kauzibe kwenye utendaji wake wa kazi.
Yaani katika marais waliofanya kazi bila presha basi mwendazake alikua free saaana,hapingwi na bunge,wananchi wala media.
So kusema kwamba tutakuja kumkumbuka ndio kweli tutamkumbuka kwa mema aliyofanya lakini hatujawahi kufanya jaribio loloooooote la kumuondoa mwendazake,aidha MAANDAMANO,BUNGE,kila aliyefanya hivyo nadhan inajulikana kilichomkuta.
Kusema kwamba tutakuja juta ni sawa na kuwa na mpenzi wako kila siku analalamika utakuja mkumbuka na wakati haumfanyii chochote kibaya unampa kiiila kitu anaishi kulalalama tu.
.........


Kwa kweli kifamilia atakumbukwa daima mana ni baba wa familia, ni mume wa mtu, ni mtoto wa mtu, ni kaka wa watu,ni mjomba wa watu na ni babu wa watu. Mungu ampe pumziko la milele.

Lakini Kama mtawala juu ya mamilioni ya watu kuna tatizo kuwalazimisha watu kumkumbuka. Hasa unapobaini kuwa kuna propaganda nyingi zilizokuwa zinatumika tangu mwanzo na zimekuwa zikitumika sana kuhalalisha uovu ndani ya CCM na serikali yake.

Udini,
Ukabila,
Ukanda,
Ujinga wa watu.
Vitisho,
Umaskini watu wanaitwa wanyonge.
Ulaghai
Rushwa ya madaraka.
Rushwa ya fedha.
Makada wa CCM walioko kwenye vyombo vya dola kutumia ukereketwa wao kuumiza watu na kuhujumu chaguzi.

Hivyo vyote ndio ngao ya CCM kuwatawala na kuwanyonga na kuwafanya watanzania kuwa wanyonge na kisha kuwaletea ibada za kuabudu watawala mpaka mizimu yao. Laana kubwa kwa Taifa.


Kuna watu wameanza kudanganya watu kuwa Marehemu amefanyiwa njama jambo ambalo ni hatari sana kwa usalama wa nchi.

Kwa nini hawa watu wasikamatwe ili watoe ushirikiano wa kujua ukweli.
Jeshi la polisi kuwafumbia macho ni kuhtarisha usalama wa nchi.
Jeshi la polisi sasa lirudi kwenye utendaji wake wa kulinda watu na mali zao na usalama wa nchi.
Kuwaacha wajinga waliolaaniwa na hulka zao za Ukabila kupotosha na kuvuruga usalama wa nchi kwa sababu tu ya madaraka ni jambo baya na la hatari kwa usalama wa nchi yetu.

Marehemu hata wakati wa Kampeni mwaka Jana alionekana kudhoofika kiafya.Ndio maana hasimu wake mkubwa alikua anazuiwa mara kwa mara kufanya kampeni. Ili waende sawa.



Hata hivyo kitaifa pia kuna watu wafuatao :-
Watu waliopata uenyekiti wa serikali za mitaa kwa dhulma.
Wapinzani waliohongwa uwaziri na ubunge,
Watu waliopata ubungwe kwa dhulma,
Watu waliopewa madaraka kikabila.
Watu waliopewa madaraka kwa vyeti feki.

Watu waliopewa fedha ili kuwachafua watu wengine na kumpamba mtu mmoja.
Watu wasiojulikana waliompaga risasi Lisu na kuachwa bila kukamatwa .
Watu waliowateka watu mchana kweupe bila kulamatwa.
Watu waliolewa madaraka na kuwa kama miungu watu.

Hakika hao watamkumbuka daima dumu.

Kila mmoja atamkumbuka kwa mazuri au mabaya. Ni binadamu yule sio mungu pamoja na kwamba mbinyo na njaa ziliwafanya watu wamfananishe na Yesu kristo wa Nazareti.
 
Damn!

Privileged brat!

Wewe si mtoto wa mnyonge[emoji16].
Funny thing is, we did not look at it like that at all. Na ilikuwa more responsibility than privilege. To be humble, to act appropriately, to be of service, to not be brats etc.Watu wengine ndiyo waliona privilege.

Baadaye nikagundua hapo mjinikati watu wana assume chochote utakachofanya umebebwa na baba.

Ndiyo maana nikajichanganya viwanja vya watu nisikojulikana.

Maana hapo mjini kati kila nilichofanya ilionekana "ni kwa ajili ya baba yake".

Kazi yangu ya kwanza mjini mshua aliambiwa baada ya mimi kuanza kazi. Lakini watu wakawa wananiambia "Mzee amekuunganishia eeh..." as a matter of course.

Juzi hapa baada ya Rais mpya kuteua watu, naongea na mshkaji mmoja Bongo, kaka yetu mmoja kateuliwa na rais mpya Ukurugenzi. Jamaa ni mpiga kazi kwelikweli, kitu cha kwanza nilichoambiwa na jamaa mmoja ni "nadhani ana wapambe wazuri ndani ya serikali na nahisi yuko kwenye system kama baba yake".

Nikasema ndiyo yale yale niliyoyakimbia kuja Gotham City huku I am just another African living by my own wits.
 
Tanzania imekuwa na viongozi wengi katika nyanja mbalimbali pindi wanapoaaga dunia ubakia kuzungumziwa vizuri tu wakati wote lakini hivi karibuni taifa liliondokewa na kiongozi mmoja aliyekuwa mkuu cha kushangaza amekuwa akisemwa kwa ubaya sana kila kona yaani ni kama katili mkubwa duniani aliyetesa watu na kuua , sisi kama binadamu hali hii inatoa tafsiri gani kwasisi tulio hai ? mana duniani tunapita tu makazi yetu sio hapa duniani.
 
Kipindi cha JPM ndipo watoto wawanyonge walianza kushika UDC na URC na Ukurugenzi

Je na huyu wa 364 ni mtoto wa mnyonge gani? 👉 CAG agundua ufisadi wa Tsh milioni 364 Halmashauri ya Bahi ambayo mke wa Spika Ndugai ni DED
 
He is My sons's legacy

Amenisaidia Mambo mengi.

JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo

Naogopa nchi yetu inarudi shimoni

MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Pia kafanya ukatili mwingi kuliko rais yeyote aliepita
 
Kushughulika na kero za miaka nenda rudi na kutuaminisha kuwa tunaweza.

Kujaribu kutuheshimisha wananchi wa kawaida mbele ya watumishi wa umma.

Ile mentality ya ujanjaujanja aliyoikuza JK na kuwa siasa/nafasi za siasa ziikuwa za kununua kufutika kwa kiasi kikubwa.
Nitamkumbuka kwa kutumia mabavu kuwaweka madarakani wabunge anaowataka yeye
 
Back
Top Bottom