Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Hayo mengi makubwa itakuwa kwenye familia yako, nauwakika hata ukoo wako haujafanyiwa hayo makubwa.He is My son's legacy
Amenisaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewah pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Mjiandae sasa hali yote hiyo inakuja kurudiWafanyakazi hewa + Vyeti feki. Ila ninampongeza kwa kuleta nidhamu serikalini na kuwakomesha wauza sembe.
Ndio basi tena.1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Mungu anapenda uonevu km aliokuwa anaufanya?Usimhusishe Mungu na urais wa tz.He is My son's legacy
Amenisaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewah pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
He is My son's legacy
Amenisaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewah pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Da Umenikumbusha hadithi ya kwenye biblia ya Tajiri alievuna Sana akajaza ghala zote akajipiga kifua, na Nile na kunywa maana Nina kila kitu, MUNGU akamjibu mpumbavu wewe usiku huu naichukua roho yako.1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Unaona kama chuki yenyu itatupunguzia hewa ama?Ni kweli inawezekana kuna baadhi ya mambo tulikua tunamchukia magufuli lakini misimamo yake kuhusu kenya na baba zenu mabeberu nipende kuwaakikishia tu tutazidi kuienzi na kwanza ndio tutawakazia zaidi maana naona wakenya mmefurai sana
Hongera kwa kusaidiwaHe is My son's legacy
Amenisaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewah pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
haturudi nyuma na kwanza ndio mjiandae zaidi kisaikolojia tutawakazia zaidi ya mgufuli alivyokua anawakaziaUnaona kama chuki yenyu itatupunguzia hewa ama?
Hakika tumeumia kwa msiba huuWafanyakazi hewa + Vyeti feki. Ila ninampongeza kwa kuleta nidhamu serikalini na kuwakomesha wauza sembe.
Gbadolite tayari imeisha hiyo.1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Unatukazia wapi,how does it affect us, wewe na nani, what position do you hold ama uko to hapk vijiweni[emoji1787][emoji1787]haturudi nyuma na kwanza ndio mjiandae zaidi kisaikolojia tutawakazia zaidi ya mgufuli alivyokua anawakazia
Mkuu unamaanisha ile Airport inaenda kutumika kwa mara ya mwishoGbadolite tayari imeisha hiyo.