Na hiyo yote sababu ya sukuma gang!Kwa nchi kama Tanzania sababu waga haziishi, Unaweza kuambiwa hata maji yameanza kupungu, mara sijui Turbines zinafeli kuzunguka, au upepo ni mkali sana eneo la Rufiji una sababisha maji yanarudi kinyumenyume hivyo mashine hazizunguki..
Hii nchi ngumu sana..
Kabisa mkuu!Sukuma gang and Chato Inc at their best! He is gone! Tunalinda legacy!! Chato Hoyeee!!
Kwamba umeme ulikuwa haukatiki? Majambazi na wanyanganyi wakubwa!! Mkafanye kazi sasa mle kwa jasho mlizoea vya kunyonga na kushangilia watu wakiumia!
Tulia wewe!..Kwanza nianze kwa kukiri kwamba mimi ni sio mwanasiasa ila kwa kipindi fulani nilikuwa shabiki mkubwa wa chadema.Kiukweli miongoni mwa wale waliokuwa wakimponda sana na hata kutokuhuzunishwa na kwenda kwa mwendazake na mimi nilikuwemo.Ninakiri wazi kuwa nilifanya makosa makubwa sana na sikujua kuwa nilikuwa nakataa almasi kwa kukusanya kokoto...
Watu mnapenda sana kujisahaulisha. Kipindi cha Shujaa mambo mengi ya hovyo yalikuwa yanatokea, likiwemo hilo la umeme kukatika ila uhuru wa kupiga kelele dhidi ya hayo maovu haukuwepo kama ilivyo sasa. Sasa bahati mbaya wengi kukosekana kwa uhuru huo wa kuongea manakutafasiri kama mambo yalikuwa yanakwenda vizuri.Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga...
Kweli mkuu. Hiyo yote ni ili kupata reputation kumbe ndo kuharibikiwa[emoji23][emoji23][emoji23]Muda utaongea!
Jiandae na miungurumo ya mijenereta kila kona!..
Tumia sola au generator
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga...
Hata simjui nachojua nchi inaongozwa na team ya jk wazee wa michongoMh. Samia Suluhu Hassan
Labda ulikuwa haukatiki salon kwake pekeekwamba kipindi chake umeme ulikuwa haukatiki?
umesahau mpaka nyuzi za malalamiko zilivyotamalaki humu Jf?
wapambane na hali zaoSukuma Gang! Watu wa "Doho shida" wanapenda kusifia hata ambayo havistahili... Si ajabu hata ukiwaibia mke unaweza kusifiwa tu na Sukuma Gang, Watasema "Ole ngosha gete"..
Mkuu nikuombe msamaha ila nyie team jk mmetuharibia nchi na saizi mnataka kumpeleka mama wa watu ila msijali tupo hapa chiniAcha mambo yako! Hapa npo naishi mtaa wa Bugando, jijini Mwanza Toka mwezi wa 12 mwaka jana mtaa jirani wa Igogo kusini kila siku umeme ikifika saa 1 lazima ukate na urudi saa 5 au 6 usiku na siku zingine asubuhi ya siku inayofata, ila kuanzia mwezi wa 3 mwishoni tatizo halipo saiv naona umeme upo 24hrs labda zitokee inevitable emergencies za kawaida...
Naungana na babu ajira zilijaa tele, kilimo kililipa, biashara zilitoka mkoloni hakuwa na shida mwafrika kumiliki mali. Nyerere alituletea umasikini nchini akishirikiana na sokoine hawakutaka watu wamiliki mali waliwapora watz mali zao pesa, majumba, ardhi nk.Sis huwa hatujali tumeona Awamu zote za Maraisi wa Nchi hii kila mmoja alikuja na yake kwahiyo tukianza kuwakumbuka si itakuwa tafrani
Kuna hadi Babu (Rip) mmoja alikuwa akisema anawakumbuka Wakoloni alikuwa anasema Wakoloni walikuwa wanajua Kutawala kuliko Nyerere
Tatizo mlimuabudu kupitiiza na mkafikia mahali kuona kuwa yeye ni yote juu ya yote. Teknolojia tunayotumia ya mawasiliano tumekopa kwa mliokuwa mnawaita beberus hivyo kukwama sio jambo la ajabu.
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga...
😂😂😂 Kitu kama unakipenda ni vigumu kuficha. Sio kosa kumkumbuka mwendazake Kwani hata Idd Amin, Mobutu, Hitler kuna watu wanasononeka mpaka leo.Jana niliona uzi mwingine ukimpongeza hapa leo umemkumbuka
Kuna wajinga wamezusha eti umeme haununuliki kwenye simu nimewasceenia nilinunua Jana kupitia TIGO pesa saa 11 jioni wameingia mitini. Matendo anajifanya Mama ni mwiba Kwa vibaraka WA Dicteta waliachwa ndio maana wanampaka Mama matope asiyostahili.aiseee