Upuuzi tu.Magufuli's legacy will live for ever.
Miradi ya shemeji yako ndio imekua yako?Hadi kuniona humu jua kuwa natumia hela, nina miradi yangu mingi tu ambayo hata nikiamua kutokufanya kazi mpka miaka 100 ijayo nitaendelea kula vizuri na kusomesha ndugu, familia na wasiojiweza kama navyofanya sasa.
Wa kwakoUjinga wa nani sasa[emoji28][emoji28][emoji28] wa kwako au!?
Usingeongea upuuzi huu,Hadi kuniona humu jua kuwa natumia hela, nina miradi yangu mingi tu ambayo hata nikiamua kutokufanya kazi mpka miaka 100 ijayo nitaendelea kula vizuri na kusomesha ndugu, familia na wasiojiweza kama navyofanya sasa.
Kwa wajinga tu....Magufuli's legacy will live for ever.
Hili bandiko hojaPinga kitu kwa hoja mkuu...sio unaropoka tu.
Huo ukweli anaousema sasa ndo unafiki wenyewe nyie nyumbu mnaubariki na kumuona diallo ni mtu poa kasema ukweli kipindi chote alikuwa wapi? Kama magufuli alipitishwa na nec 100% na yeye ni mnec kwanini wasinge mcrush kuanzia mwanzo? Au ni vile kaonge vile vitu mnavyopenda kusikia ?... nani ana muda wa kumtuma nani na ukweli uko wazi hivyo? ... acha wakina Diallo waseme ukweli utakaotuweka huru! UNAFIKI TUPA KULEE!
View attachment 1848043
Changia mamang acha vijembeWengine saa hizi ndio kumekucha. Wewe jilalie kwa faida yako