Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Umeandika upuuzi na riwaya ya kufikirika.
Eti 90% ya watanzania, ni lini ulifanya utafiti huo. Magufuli alikuwa kiongozi dikteta ambaye aliitawala nchi kwa siasa za hila na uwongo. Wapo wajinga waliohadaika na hila zake lakini kila mwenye akiki alijua kuwa tuna kiongozi wa ajabu
Eti 90% ya watanzania, ni lini ulifanya utafiti huo. Magufuli alikuwa kiongozi dikteta ambaye aliitawala nchi kwa siasa za hila na uwongo. Wapo wajinga waliohadaika na hila zake lakini kila mwenye akiki alijua kuwa tuna kiongozi wa ajabu