Hata huyu mama azingue vipi tutamuhukumu kama yeye, lakini yule dhalimu hatuwezi kumkumbuka kwa lolote zaidi ya ulevi wake wa madaraka.
Mi sijasoma chochote kile ila nachojua atakumbukwa na watu watatu tu hapa nchini Kabudi,MAKONDA,NA SABAYA
 
BORA NIMKUMBUKE MBWA WANGU KOKO KULIKO MTU YULE
 
 
Investment zilishuka kutoka dola milion 2000 mwaka 2015 hadi dola milion 800 tu mwaka 2019 kabla hata ya korona.

Na deni la taifa lilikuwa linakua kwa kasi ya airbus
Investment kama Richmond, Dowans and Symbjon! Haya si makampuni yakinyonyi tu hayo yote tuliyapigia kelele weeee
 
Hao wanyonge nao wachangie maendeleo ya nchi yao, sio tu kutegemea kubebwa na tabaka la kati na la juu wenye kulipa kodi!
 
Hivi mkuu huo uchumi wa kati wa chini uliofikiwa na awamu ya tano, unafahamu ni tsh.ngapi?zimeongekeza kutoka kwenye awamu ya nne?kwani unaonekana kama kidogo unaufahamu na mambo haya lakini kinachonishitua ni eti uchumi upae hadi kufikia uchumi wa kati?ingekuwa uchumi wa kati wa juu sawa!!awamu wa tano kazi yao ilikuwa ni kuweka propaganda kwenye uchumi tu hakuna lolote!!eti uchumi tuko kwenye 7% kumbe ni 4% yaani dunia nzima uchumi ulikuwa unashuka ni TZ, tu ndio ulikuwa unapanda kipindi chote cha corona!!eti tumefikia uchumi wa kati kabla ya muda 2025!!ndio yalikuwa malengo hayo ya uchumi wa kati wa chini?!!au ilikuwa wa juu?!!
 
Kwaiyo ndege zilizokuwa zinaletwa azikuwa zinanunuliwa cash,zahanati azikujengwa, Dodoma city azikujengwa,CGR, aikujengwa wakati wa utawala wa Magufuri,Bwawa kubwa la umeme alikuanzishwa na Magufuri,Jamani hata kama ni uongo,mambo mengi nyamaze tu,kama alikuwa anapika data hiyo ela ya kufanya haya alikuwa anaitoa Wapi?
 
Sijawahi tafuta ridhki yangu kiujanja janja, JPM atabaki kuwa rais wangu bora kwa miaka yote, na sidhan kama atatokea kama yeye, nitawa adithi wanangu na wajukuu na vitukuu vyangu mema ya JPM kama YEHOVA atanijalia maisha marefu.
 
CGR, ndio mdudu gani?sasa mkuu labda utuambie nini maana ya kulipa kitu kwa CASH!!ina maana kama unakopa kutoka A, unaenda kumlipa B, kwa cash hapo ki uchumi utasema wewe una pesa??alichokuwa anakifanya ndio hicho!!kama aliyoyafanya yote hayo na deni la taifa likawa ni lile lile alilolikuta 2015 la trilioni 25, hapo ningekuelewa na angetakiwa pongezi!!lakini kama ndani ya miaka mitano tu aliweza kukopa trilioni 35 na huku kila kitu anasema ni pesa za ndani tuelewe vipi?kama sio ulaghai tu?
 
Wote ni wale wale,yule alitengeza tabaka la chini Ili alitumie kisiasa.
Aliuwa sekta binafsi akazalisha machinga Ili wampigie kura.
Mwingine ajuacho ni kurembua tu
 
Mi sijasoma chochote kile ila nachojua atakumbukwa na watu watatu tu hapa nchini Kabudi,MAKONDA,NA SABAYA
Bila kusahau Musiba.
Musiba hadi anaumwa siku hizi kwa kukosa ruzuku,tangu mfadhili wake amekufa ajaweza tena kulipa mishahara wafanyakazi wake anaburuzwa mahakamani.
 
Hakika.....

Na Magufuli ndiye aliyemchagua Kipenzi chetu mh.SSH na wakaja na slogan ya "HAPA KAZI TU".....

Leo awamu ya 6 ni mwendelezo wa AWAMU YA 5...."KAZI INAENDELEA"......

Kisichofanana ni kimoja tu ,kuwa TAIFA halirudi nyuma....

Njia za kutatua changamoto za taifa hubuniwa Kila uchao....na awamu hii imebuni njia zake....

JANA SI LEO.....

Makosa ya LEO hayatokuwa ya KESHO.....

Najitayarisha KISAIKOLOJIA kuiona AWAMU YA 7 ikiwa na njia MSETO ama TOFAUTI kidogo na AWAMU HII YA 6 hata kama Rais atakuwa ni Kipenzi cha Watanzania mh.SSH!!

#RipJPM
#MunguMbarikiNaKumlindaSSH

TUSEME....

Aaaaaaaaamin
Aaaaaaaaamin
Aaaaaaaaamin🙏
 
Ndo maana ataki katiba mpya Ili kuhalalisha ujambazi huu kwa tozo hizi za dhuluma za kuwaibia masikini,sijui muislamu gani huyu anashiriki dhuluma Hakuna tozo kama hizi duniani kote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…