Wimbi #3 itaondoka sana na waganga wa kienyeji.
Waganga wa kienyeji ni wabobezi katika kupiga nyungu[emoji2][emoji2][emoji2]
Ww mjingaMi namkunbuka kwa kununua jogoo kwa laki moja na kulifanya kama mahari ya mama yake...
Pia namkumbuka kwa kuokota vichwa vya treni bandarini...
Sitamsahau kwa kula mahindi hadharani
Pipo yuzdi to dai in ze leki...
Not to say extent
Kila mtanzania na Noah yake kwenye mauzo ya makinikia...
Watu kama hawa hawana sababu ya kuishi...
Sadam Hussein Rais wa Kuwait...
Tanzania ni donor kantre...
Wapinzani ndio wametufikisha hapa...
Maendeleo hayana vyama...
Ili kusudi nikifa nikawe kiongozi wa malaika mbinguni...
Tumepima papai tukakuta lina Corona...
Mwamba ntamkumbuka kwa mengi sana wallah
Hizo ndio facts....SUKUMA GANG wanasifia cha kwao. Hongereni sana.
Sawa bwana mjinga mwenzangu...Ww mjinga
Nani akumbuke hilo takataka??kichaa?JPM alikuwa na Akili kubwa YAKUTAFUTA PESA za maendeleo, bila kuwaumiza Watanzania.
JPM alikuwa Mtu makini Sana, alifikiria mbali Sana, Kila alichofkria Kwanza aliwafkria Watanzania watafaidika vipi
Tunamkubuka kwa kuuwa watu
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi
Hii ni kauli ya the late sir John Pombe Magufuri ambayo aliipenda sana kuitumia, nakiri binafsi sikuwah kuielewa ila sasa ndio nimepata kuielewa vizuri
RIP Jembe!! Hakika tutakukumbuka sana.