Wimbi #3 itaondoka sana na waganga wa kienyeji.

Waganga wa kienyeji ni wabobezi katika kupiga nyungu[emoji2][emoji2][emoji2]

Hili siyo la pneumonia tena bali cardiovascular! Hapo lisikie kwenye bomba tu.
 
MATAGA na Misukule na Jiwe mnahangaika sana kutaka kuaminisha wasahaulifu kwamba kinachoendelea hivi sasa ni jambo jipya!! Tangu zamani tozo za miamala zilikuwa kubwa, alichofanya Samia ni kuweka pilipili tu kwenye kidonda! Yaani mnavyoongea mtu anaweza kusema hapo kabla hii miamala ilikuwa haina tozo wakati tozo ilikuwa kubwa kweli kweli!!
 
Nitamkumbuka sana kwa kuniongezea makato ya bodi ya mikopo kutoka 8 hadi 15

Nitamkumbuka sana kwa kuongeza kodi na kupaisha bei ya sukari mafuta na vifaa vya ujenzi

Hakika nitamkumbuka sana kwa kuweka heshima mtaani kwa wahitimu maana hakutaka kutoa ajira

Hakika alikuwa Mwamba sana kwenye kupata pesa bila kuwaumiza wanainchi



Sent from my X-TIGI_V13 using JamiiForums mobile app
 
Ww mjinga
 
Ye ndo chanzo cha yote haya kwa kutuletea wabunge wa serikali
 
Hii ni awamu ambayo wafanyabiashara wakubwa watanufaika sana wananchi wa kipato Cha chini ambao ndio 85% ya watanzania wote watajutia kuwepo kwenye nchi yao.
 
Tunamkubuka kwa kuuwa watu
 
Hii ni kauli ya the late sir John Pombe Magufuri ambayo aliipenda sana kuitumia, nakiri binafsi sikuwah kuielewa ila sasa ndio nimepata kuielewa vizuri

RIP Jembe!! Hakika tutakukumbuka sana.
 
Hii ni kauli ya the late sir John Pombe Magufuri ambayo aliipenda sana kuitumia, nakiri binafsi sikuwah kuielewa ila sasa ndio nimepata kuielewa vizuri

RIP Jembe!! Hakika tutakukumbuka sana.

Pole sana Jembe letu bwana Bashiri, maumivu yako yanaeleweka. Ila sasa:

"Ndugu, jamaa na marafiki wa akina Azory, Ben, Mawazo, au wale waliopotea na wengine kupatikana hadi kwenye viroba, nk nao wana comment hapa hapa?

Vipi walioumizwa, waliojeruhiwa, waliodhulumiwa, nk nao wana comment kwenye uzi huu huu?"

Seriously?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…